Hiki Chama Lazime Kife!!!!

Bazazi

JF-Expert Member
Aug 18, 2008
2,806
3,476
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


Hebu tujikumbushe

"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:
 
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


Hebu tujikumbushe

"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:
Sasa wewe umeileta tena hapa JF ya nini? Masaburi @ work!
 
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


Hebu tujikumbushe

"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:
UNAOTA MCHANA WEWE,wewe na magamba wenzi ndo mtakufa.na mtahaha sana mpaka 2015 majibu mtakuwa nayo.gamba zito wewe,
 
Bazazi hawajakuelewa!! Walijua kitakufa kwa propaganda na kuwatisha tisha matokeo yake kinakaba kila kona!! This is 21st century, those days are over. Kila mmoja yuko huru bado kidogo tutawageuzia kibao wanasiasa watakuwa wanafanya kile tunachokitaka wananchi.
 
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


Hebu tujikumbushe

"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:

Nishasema na nitasema majungu hayatawasaidia kamwe,' tujenge taifa letu.
 
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


Hebu tujikumbushe

"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:

Utakufa ukiache kikitawala kizazi chako chote labda uhame nchi.
 
Kweli uelewa wa watu wengine bana ni tatizo!
Sasa mleta thread anasulubiwa kwa sababu ipi? Mbona yy kaileta ili makamanda waone jinsi CDM ilivyokuwa inatabiriwa mabaya na magwanda 2010 na sasa hali ni tofauti kabisa. Amejaribu kuonyesha kuwa sasa upepo umebadilika na ccm ndo wenye kutabiriwa kifo.
Tusikimbilie kujibu kabla ya kuelewa kilichoandikwa!
 
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.


Hebu tujikumbushe

"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.

HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:
hivi wewe unaweza kuwapa cheo watu usiowajua?duuuuuh,maajabu hayataisha Tz hii
 
mkuu acha kuanzisha thread za uchonganishi na ubaguzi. Hata Mungu hapendi. mia
 
Kweli uelewa wa watu wengine bana ni tatizo!
Sasa mleta thread anasulubiwa kwa sababu ipi? Mbona yy kaileta ili makamanda waone jinsi CDM ilivyokuwa inatabiriwa mabaya na magwanda 2010 na sasa hali ni tofauti kabisa. Amejaribu kuonyesha kuwa sasa upepo umebadilika na ccm ndo wenye kutabiriwa kifo.
Tusikimbilie kujibu kabla ya kuelewa kilichoandikwa!
wagaba Uelewa wa wengi ndani ya JF kwa sasa ni mdogo sana. Niliileta sms hiyo ili watu wakumbuke CDM ilivyokuwa inatabiriwa mabaya na wanachama wake wenyewe. Hii sms kama sikosei iliandikwa na aliyekuwa m/kiti (T) wa BAWACHAaliyetimkia NCCR.

JF kwa kweli hasa jukwaa hili la siasa limevamiwa na watoto wa FB ambao uwezo wako wa ku-"think critically" ni negligible. They just try kuongeza idada ya posts tu bila kujali mantiki. Vijana wetu hao tunaoategemea kupitia CDM waje kutuongoza lakini kufikiria uwezo namba za viatu. Aibu.

Yes! Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom