PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,075
- 1,864
Nipende tu kuwakumbusha kauli ya Katibu mkuu CCM kwamba, watafanya kampeni kitanda kwa kitanda, na ndicho kinachoendelea, wako wanashugurika na kushawishi wanawake na wazee, walala hoi wasiokuwa na ajira na maskini kabasa.
Mfano, kupitia TASAF, Sasa hivi majina yameongezwa, haijalishi unakipato gani, ukiwa na umri kuanzia miaka 50 unapewa pesa kupitia TASAF, ndivyo khari ilivyo. Siyo tu hivyo, Kuna mbinu Kali zimepangwa ndani na nje ya chama Cha Mapinduzi, kupitia mgongo wa Serikali.
CCM wataendelea na uzinduzi wa miladi na kujinadi kwamba wao Ni vitendo, lakini pia wamechagua kukaa kimya bila kujibu mapigo ya wapinzani, na hapo ndipo watu wengi wanamatamanio kusikia Nani atakuwa mjibu mapigo ya upinzani, ila all in all.
Je kampeni za kitanda kwa kitanda zitawasaidia CCM? au wanashindwa jinsi ya kumsaidia m/kiti wa ccm?
Siasa Ni sayansi, usimdhalau mpinzani wako
Mfano, kupitia TASAF, Sasa hivi majina yameongezwa, haijalishi unakipato gani, ukiwa na umri kuanzia miaka 50 unapewa pesa kupitia TASAF, ndivyo khari ilivyo. Siyo tu hivyo, Kuna mbinu Kali zimepangwa ndani na nje ya chama Cha Mapinduzi, kupitia mgongo wa Serikali.
CCM wataendelea na uzinduzi wa miladi na kujinadi kwamba wao Ni vitendo, lakini pia wamechagua kukaa kimya bila kujibu mapigo ya wapinzani, na hapo ndipo watu wengi wanamatamanio kusikia Nani atakuwa mjibu mapigo ya upinzani, ila all in all.
Je kampeni za kitanda kwa kitanda zitawasaidia CCM? au wanashindwa jinsi ya kumsaidia m/kiti wa ccm?
Siasa Ni sayansi, usimdhalau mpinzani wako