Hii ni aibu Marine Hassan!

Ujumbe si ulifika?by the way english si lugha yake ya taifa.BRAVO MARINE U'VE TRIED YOUR BEST.

Jamani tuache tuuu!

Hii lugha ni janga la Taifa! Yeyote anayejitutumua kukiandika ni vituko tu!

Kwa kifupi hatukiweziiiiiiii, tukomae na Kiswa chetu bandugu!
 
yale yale ya katelephone dont smoke my river i cant you your tall water dont potcrying me.tuongeee lugha ya taifa tu kama ngeni hajui aatauliza kwani kujua kiingereza sio lazima tuenzi utamaduni wetu kwa kukuza lugha yetu.mbona china japan norway wameweza? sio lazima kiingereza je kama tusingetawaliwa na waingereza tukatawaliwa na mataifa mengien ingekuwaje kama ilivo msumbiji.
 
Kiingereza kigumu sana jamani, mbona waarabu wanaongea kiarabu vizuri sana. Kwanini kiingereza maneno yake mengi yanageukageuka halafu unakuta neno moja lina maana kibaoooooooo.
 
Ha! Ha! Ha! Shule za kata at work!
Badungu msaada nimejaribu kutafuta neno" Bule" mpaka kwenye kamusi mwenye kujua maana yake anisaidie
Hatuna neno hilo kwenye lugha yetu ya kiswahili ila kwenye lugha ya Kinyakyusa lipo, hata hivyo tuna neno BURE kama ulikuwa na maana ya hilo neno basi sasa tunaweza kuendelea
 
Nilikuwa naangalia kipindi cha Jambo Tanzania, Marine Hassan alikuwa na wageni ambao mmoja wao katokea S Africa. Marine Hassan alikuwa akimuhoji kwa kiingereza ambacho ni aibu tupu!!! Kwa Mfano " Before you to coming here how many countries you are visited?" Pia wakati wa kumuaga, " Ok! Mr Sami you are welcome again there!". Hili ni jambo la aibu kwa mwandishi kama yeye. Ni bora angegoma kumuhoji bila kuwa na mkarimani, kwanza ndo angekipromoti kiswahili. Nawasilisha

Na kama angezungumza kwa Kiingereza fasaha ingeleta tofauti gani ilhali muhojiwa kaelewa ujumbe?
 
Nilikuwa naangalia kipindi cha Jambo Tanzania, Marine Hassan alikuwa na wageni ambao mmoja wao katokea S Africa. Marine Hassan alikuwa akimuhoji kwa kiingereza ambacho ni aibu tupu!!! Kwa Mfano " Before you to coming here how many countries you are visited?" Pia wakati wa kumuaga, " Ok! Mr Sami you are welcome again there!". Hili ni jambo la aibu kwa mwandishi kama yeye. Ni bora angegoma kumuhoji bila kuwa na mkarimani, kwanza ndo angekipromoti kiswahili. Nawasilisha

Marin Hassan ni mwandishi .... sorry, MTANGAZAJI aliyefilisika kitaaluma. Yeye ajua kila kitu. Kama angekuwa mwandishi wa kweli, wala asingejishebedua kutumia lugha asiyeijua. Tatizo, wabongo wanataka kuonekana wanaweza mambo fulani, huku hawayawezi!
 
Kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza. kukosea ni jamabo la kawaida. Hebu na nyie mnaojidai kumkosoa jaribuni kuandika kiingereza chenu tukione!
Mtu aliyekosea ndo anaambiwa kakosea. Sasa wewe unataka watu waseme kapatia kwa sababu kafanya makosa yanayofanywa na watu wengi? This is layman solution. Think critically.
 
Mtu aliyekosea ndo anaambiwa kakosea. Sasa wewe unataka watu waseme kapatia kwa sababu kafanya makosa yanayofanywa na watu wengi? This is layman solution. Think critically.
Kumbuka kingereza siyo lugha yetu! Tunafanya makosa mengi sana wakati wa kuongea, kwa Marine kuchapia siyo big ishu mpaka iletwe huku kwa great thinkerz kujadiliwa.
We are wasting muda wetu wa muhimu kujadili mistakes za lugha ambazo kila mtu huwa anazifanya!
 
Kumbuka kingereza siyo lugha yetu! Tunafanya makosa mengi sana wakati wa kuongea, kwa Marine kuchapia siyo big ishu mpaka iletwe huku kwa great thinkerz kujadiliwa.
We are wasting muda wetu wa muhimu kujadili mistakes za lugha ambazo kila mtu huwa anazifanya!
Usijaribu kuhalalisha kosa eti kwa sababu tu linafanywa na watu wengi.
 
Kwani what is "English"? Mmesahau kuwa hata chizi wa ulaya anaongea kiingereza tena fasaha.. Watu wanakosea kiswahili sembuse hiyo lugha ya bara la mbali na kwetu Afrika jamani... Hebu tufunike kombe mwanaharamu apite..
 
DU! hadi mwandishi wa kaliba ya Marin anaongea blocken, kaz tunayo TZ! Mnataka kuniambia alivyokua akiripoti habari za uchaguz mkuu Kenya 2007 mengine alikua anatulisha sumu! maana jamaa kule ni kimombo tu, kiswahili kwa mbali!
 
Fe lady uko poa mbaya. Marine alikuwa ex-friend wako au? Lakini mjanja wa kimombo, akutanishwe na Mr Adamu simbeye, tv live.
 
Sijaona tatizo,, wengi wetu tunajua kigreza kwa kuandika au kusikiliza, ila kuongea ni tabu tupu. afterall hiyo ni lugha ya wakoloni.

Kwani kujua kigreza ndo ishu? rais wa China hajui kiingereza.
Big up marine, kwani umesubutu,,umeweza na unasonga mbele.

sema mwaya....huyo Nasir 9balozi wa palestina Tanzania) akiongea kiingereza utalia, sembuse Marine hasan?? kiingereza ni tatizo la taifa sio la mtu binafsi.... hii ni kwa sababu kimsingi sio lugha yetu ni lugha ya waingereza...
 
Na ujanja wake wote wa kuwachakachua wazalendo wa bongo kumbe kiboko yake ni kiingereza tu! ndege mjanja hunaswa na tundu bovu, nimeamini!
 
Nilikuwa naangalia kipindi cha Jambo Tanzania, Marine Hassan alikuwa na wageni ambao mmoja wao katokea S Africa. Marine Hassan alikuwa akimuhoji kwa kiingereza ambacho ni aibu tupu!!! Kwa Mfano " Before you to coming here how many countries you are visited?" Pia wakati wa kumuaga, " Ok! Mr Sami you are welcome again there!". Hili ni jambo la aibu kwa mwandishi kama yeye. Ni bora angegoma kumuhoji bila kuwa na mkarimani, kwanza ndo angekipromoti kiswahili. Nawasilisha

Hiyo kali,tatizo watanzania wavivu...kiingereza unaweza ukajifunza ukiwa makini...
 
Mtalii alimuiliza kijana mwenye boti "do you know biology, psychology, geography, geology and criminology?" Kijana kasema NO... Mtalii akamwambia "what the hell do u know on the face of this earth? u will die of illiteracy." Baada ya muda boti ikaanza kuzama, kijana akamwambia mtalii, "Do you know Swimology and Escapology from Crocodilogy?' Mtalii akajibu NO...Kijana akamwambia..."Well u will Drownology and Crocodilogy will eat your Assology and u will Dieology because of ur BADMOUTHOLOGY..."
 
Kumbuka kingereza siyo lugha yetu!
Sasa kama si lugha yetu, kwa nini afanye mahojiano kwa kutumia hiyo lugha? Kama aliyekuwa anahojiwa hana ufahamu wa Kiswahili, kwa nini asichaguliwe mtangazaji ambaye walau anajua Kiingereza? Huku ni kuaibishana!
 
Back
Top Bottom