DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Kwa Watanzania walio wengi jina Mapedeshee au Mapapaa ni maalufu lakini natumaini watanzania baadhi hawajui Mapedeshee ni aina gani ya watu na wanafanya kazi gani kama sehemu ya maisha yao,manake sifa zao kubwa zilianza kutajwa kupitia miziki ya dansi lakini sasa wameamia kwenye ubongo wa fleva [Kizazi kipya].Majina maalufu kwenye kutajwa huko ni kama Papaa Msofee,Pedeshee Ndama Mtoto wa Mbuzi nk.
Nimeeandika thread hiii baada ya kumuona Mama mmoja mjane akilalamika kwenye taarifa ya habari ya ITV kuwa Pedeshee au Papaa Msofe amemdhulumu Mjane huyo kiwanja chake chenye nyumba juu yake ambayo mumewe alijenga ikiwa na thamani ya Shilingi Millioni Ishirini na Nne.
Mama huyo analalamika kuwa amepeleka malalamiko polisi lakini ajabu Polisi wakishaonana na Pedeshee au Papaa Msofe [Marijani] basi wanasepa kimya kimya na mjane huyo akiwafuatilia wanauchunu.Hivyo kupitia msaaada wa TAMWA [Tanzania Media Womeni Association] anaomba msaada wa Waziri Mkuu kumsaidia kukabiliana na Pedeshee huyo ili apate mali hiyo aliyoachiwa na marehemu mumewe.
Kwa wanajamii tujuzeni list ya hao Mapedeshee na Kazi zao manake uenda wengine humu jamvini tukajifunza kitu kuhusu hawa mapedeshee na kazi zao.Nlipatwa kudokezwa lakini dokezo ilo sikulipa tafsiri lasmi kwa kuwa kupitia jamvi, nilichoambia uenda kikawa na msaada kwa wanajamii ambao wameshapata kuathirika au wanategemea kuathirika na vitendo vya Mapedeshee hao.
Nawasilisha
Nimeeandika thread hiii baada ya kumuona Mama mmoja mjane akilalamika kwenye taarifa ya habari ya ITV kuwa Pedeshee au Papaa Msofe amemdhulumu Mjane huyo kiwanja chake chenye nyumba juu yake ambayo mumewe alijenga ikiwa na thamani ya Shilingi Millioni Ishirini na Nne.
Mama huyo analalamika kuwa amepeleka malalamiko polisi lakini ajabu Polisi wakishaonana na Pedeshee au Papaa Msofe [Marijani] basi wanasepa kimya kimya na mjane huyo akiwafuatilia wanauchunu.Hivyo kupitia msaaada wa TAMWA [Tanzania Media Womeni Association] anaomba msaada wa Waziri Mkuu kumsaidia kukabiliana na Pedeshee huyo ili apate mali hiyo aliyoachiwa na marehemu mumewe.
Kwa wanajamii tujuzeni list ya hao Mapedeshee na Kazi zao manake uenda wengine humu jamvini tukajifunza kitu kuhusu hawa mapedeshee na kazi zao.Nlipatwa kudokezwa lakini dokezo ilo sikulipa tafsiri lasmi kwa kuwa kupitia jamvi, nilichoambia uenda kikawa na msaada kwa wanajamii ambao wameshapata kuathirika au wanategemea kuathirika na vitendo vya Mapedeshee hao.
Nawasilisha