The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Wadau,nimetoka kuongea na ndugu yangu ambaye ameshiriki kwenye mchakato wa interview katika sekta moja nyeti sana nchini.
Kilichonistua ni kuwa intavyuu yenyewe ni ya ajabu sana
1. Kwanza;ilifika sehemu wakaingia kwene chumba wakiwa watupu kabisa kila mmoja.Na kisha walikuwa wanalazwa kitandani na kuamshwa hisia zao ili uume usimame. Kama usiposimama analetwa mwanamke mrembo na kukupapasa kuhakikisha kweli wewe ni rijali.
Kingine ni kuwa,ukiwa uchi hivo unaambiwa inama,kisha unapigishwa chafya ama kelele kwa nguvu,huku kwa nyuma mtu anaangalia njia yako ya haja kubwa..lengo ni kuangalia kama umewahi kujihusisha na ngono ya kinyume na maumbile(kukameruniwa)..ikirespond kwa namna fulani wao wanajua kuwa wewe ni shoga so huna ajira.
Pia wanakupima magonjwa yote hadi ukimwi na kukupa majibu. Ukifuzu stage zote hizo na nyinginezo kali kweli ndio unapata ajira.
Huyo ndugu yangu amepitia stage zote hizo za intavyuu,ila tu anadai wamemnyima kazi kwa sababu ana matatizo ya kifua chronic.
Kilichonistua ni kuwa intavyuu yenyewe ni ya ajabu sana
1. Kwanza;ilifika sehemu wakaingia kwene chumba wakiwa watupu kabisa kila mmoja.Na kisha walikuwa wanalazwa kitandani na kuamshwa hisia zao ili uume usimame. Kama usiposimama analetwa mwanamke mrembo na kukupapasa kuhakikisha kweli wewe ni rijali.
Kingine ni kuwa,ukiwa uchi hivo unaambiwa inama,kisha unapigishwa chafya ama kelele kwa nguvu,huku kwa nyuma mtu anaangalia njia yako ya haja kubwa..lengo ni kuangalia kama umewahi kujihusisha na ngono ya kinyume na maumbile(kukameruniwa)..ikirespond kwa namna fulani wao wanajua kuwa wewe ni shoga so huna ajira.
Pia wanakupima magonjwa yote hadi ukimwi na kukupa majibu. Ukifuzu stage zote hizo na nyinginezo kali kweli ndio unapata ajira.
Huyo ndugu yangu amepitia stage zote hizo za intavyuu,ila tu anadai wamemnyima kazi kwa sababu ana matatizo ya kifua chronic.