GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Kama ikitokea umeachishwa kazi (kibarua kimeota nyasi ) basi siku hiyo hiyo ukirudi nyumbani umwambie? Au ni bora tu uuchune na umchezee filamu ya kaole kwa kujifanya na wewe asubuhi unaenda mjini kisha unaenda kukaa kwa masela kijiweni na jioni unajirudisha kitaa?
Manake kwa aina hii ya hawa mademu au wake zetu kama akina nifah ukiwaambia tu huna ajira tena au kibarua kimeota nyasi utadharauliwa na kukanyagiwa hadi uone dunia hii chungu.
Naombeni michango yenu katika hili na karibuni tuchangie.
Manake kwa aina hii ya hawa mademu au wake zetu kama akina nifah ukiwaambia tu huna ajira tena au kibarua kimeota nyasi utadharauliwa na kukanyagiwa hadi uone dunia hii chungu.
Naombeni michango yenu katika hili na karibuni tuchangie.