Hii aina ya interview jamani ni udhalilishaji

Wadau,nimetoka kuongea na ndugu yangu ambaye ameshiriki kwenye mchakato wa interview katika sekta moja nyeti sana nchini.

Kilichonistua ni kuwa intavyuu yenyewe ni ya ajabu sana
1. Kwanza;ilifika sehemu wakaingia kwene chumba wakiwa watupu kabisa kila mmoja.Na kisha walikuwa wanalazwa kitandani na kuamshwa hisia zao ili uume usimame. Kama usiposimama analetwa mwanamke mrembo na kukupapasa kuhakikisha kweli wewe ni rijali.

Kingine ni kuwa,ukiwa uchi hivo unaambiwa inama,kisha unapigishwa chafya ama kelele kwa nguvu,huku kwa nyuma mtu anaangalia njia yako ya haja kubwa..lengo ni kuangalia kama umewahi kujihusisha na ngono ya kinyume na maumbile(kukameruniwa)..ikirespond kwa namna fulani wao wanajua kuwa wewe ni shoga so huna ajira.

Pia wanakupima magonjwa yote hadi ukimwi na kukupa majibu. Ukifuzu stage zote hizo na nyinginezo kali kweli ndio unapata ajira.

Huyo ndugu yangu amepitia stage zote hizo za intavyuu,ila tu anadai wamemnyima kazi kwa sababu ana matatizo ya kifua chronic.

mkuu hiyo interview huwa mpaka kwa wanawake,unavuliwa nguo,kisha unaangaliwa tumbo na maziwa km umeshawahi kuzaa,pili unaangaliwa uke wako,hapo pengine 2mbo na maziwa havijatoa majibu sahihi kwahy unapigwa tochi ktk uke wako,je umezaa,k2 kingine je unakovu ktk mwili wako au umejichora tatuu..ukifaulu hapo basi kz umepata.
 
Dah wako sahihi ila sema tu kwenye kupima Ukimwi ndo wanakosea coz yahitaji utayari wa mtu mwenyewe au kama wakikupima basi hawakutakiwa kukupa majibu kwa kuwa hukipanga kupima....
Mambo mengine ni ya kawaida kwa kuwa watakuwa na uzoefu wa kukutana na mashoga....
Hivi unajua mwanaume hanisi ni km mwanamke? Ofisi haiendi kabsaaaaaaa

hapa nina kahoja kaduchu...una maana wanawake wakiwa ofisini,ofisi haiendi??nijuze fresh hapo.
 
Wadau,nimetoka kuongea na ndugu yangu ambaye ameshiriki kwenye mchakato wa interview katika sekta moja nyeti sana nchini.

Kilichonistua ni kuwa intavyuu yenyewe ni ya ajabu sana
1. Kwanza;ilifika sehemu wakaingia kwene chumba wakiwa watupu kabisa kila mmoja.Na kisha walikuwa wanalazwa kitandani na kuamshwa hisia zao ili uume usimame. Kama usiposimama analetwa mwanamke mrembo na kukupapasa kuhakikisha kweli wewe ni rijali.

Kingine ni kuwa,ukiwa uchi hivo unaambiwa inama,kisha unapigishwa chafya ama kelele kwa nguvu,huku kwa nyuma mtu anaangalia njia yako ya haja kubwa..lengo ni kuangalia kama umewahi kujihusisha na ngono ya kinyume na maumbile(kukameruniwa)..ikirespond kwa namna fulani wao wanajua kuwa wewe ni shoga so huna ajira.

Pia wanakupima magonjwa yote hadi ukimwi na kukupa majibu. Ukifuzu stage zote hizo na nyinginezo kali kweli ndio unapata ajira.

Huyo ndugu yangu amepitia stage zote hizo za intavyuu,ila tu anadai wamemnyima kazi kwa sababu ana matatizo ya kifua chronic.

...interview huendana na aina ya kazi!...so inawezekana kabisa aina ya watu wanaotakiwa ktk iyo sekta ni lazima wawe STRAIGHT person!
nahisi maeneo km upadri na jeshi wanaweza kua na aina hii ya interview!...tungejua ni sekta gani labda upana wa majibu ungeongezeka!..
 
Hawa wanajeshi wote mnaowaona wamepitia mambo hayo wala msishangae jamani, ni mambo ya kawaida sana!
 
Acha niendelee na kijikazi changu kumbe nikazuri sn!sipo tayari kudhalilishwa na mwanadam mwenzangu kwa ajili ya kazi hata km hakuna namna nyingine ya kuyaendesha ni bora nirudi kijijin!
 
Hyo room ya interview aingia mmoja mmoja au wote mlofika siku hiyo?na wanawake je watestiwaje tena?
 
mkuu hiyo interview huwa mpaka kwa wanawake,unavuliwa nguo,kisha unaangaliwa tumbo na maziwa km umeshawahi kuzaa,pili unaangaliwa uke wako,hapo pengine 2mbo na maziwa havijatoa majibu sahihi kwahy unapigwa tochi ktk uke wako,je umezaa,k2 kingine je unakovu ktk mwili wako au umejichora tatuu..ukifaulu hapo basi kz umepata.

Kwa hiyo ukizaa hustahili hiyo kazi?Na je ukishapata afu ndo ukazaa inakuaje,wanakufukuza?
 
Acha niendelee na kijikazi changu kumbe nikazuri sn!sipo tayari kudhalilishwa na mwanadam mwenzangu kwa ajili ya kazi hata km hakuna namna nyingine ya kuyaendesha ni bora nirudi kijijin!

We unacho hata hicho kijikazi,kuna wengne hawana kabsaa so inabidi waende
 
Poa bwana, ngoja niwahi Lecture kwanza, nadhani haka ka koz nachosomea hakuna uzalilishaji kama huo...
 
sasa ukishaitiwa mrembo na ukasimamisha,wanakupa nafasi ya kuulaza tena na huyo mrembo au ndio unaachwa ukafie mbele???...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom