Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,138
- 16,202
kumanuana.
hivi hili neno lipo kwenye kamusi ya kiswahili? Lilikuwa likitumika sana kitambo!.
kumanuana.
Ingekuwa hivyo kwenye jeshi la Marekani kusingekuwa na Mashoga.Erick52 said:Hivi unajua mwanaume hanisi ni km
mwanamke? Ofisi haiendi
kabsaaaaaaa
Hii itakuwa ya maafande .
Hahahaaamkuu hili jina laB-52 umelipata wapi? hilo jina mimi ndilo lilikuwa langu wakati wa vita vya AFaghanistan vita vya Amerika kumtafuta Mzee Osama bin Laden unajuwa nini maana ya ( B-52 )?
Kuwa shoga haina maana haisimami......Ingekuwa hivyo kwenye jeshi la Marekani kusingekuwa na Mashoga.
Sidhani kama kuna njia nyingine ya kumjua shoga bila kumkagua pysically....Kwani hakuna njia nyingine mpaka wakugeuze,wakuinamishe na kuangalia njia yako ya haja kubwa? Wewe uko okay kabisa kufanyiwa hivo tena na wanaume wenzako?
Ukweli utabakia palepale hakuna cha huruma kwenye ukweliNamuhurumia mzazi wako wa kike! This is what she raised, maskini weeh!
Na-unDO kidogo....si wote ila majority....we tembela ofisi kadhaa uone wadada walivyo na nyodo ila wanaume huwa wako smart sana....Mdada anaweza akakuambia boss hayupo wakati yupo...na mengineyo.....hapa nina kahoja kaduchu...una maana wanawake wakiwa ofisini,ofisi haiendi??nijuze fresh hapo.
Kwa hiyo ukizaa hustahili hiyo kazi?Na je ukishapata afu ndo ukazaa inakuaje,wanakufukuza?
km umezaa hupati kazi,na tena km umepata ni lazima ukae km miaka kadhaa ndio uzae,.
Dah wako sahihi ila sema tu kwenye kupima Ukimwi ndo wanakosea coz yahitaji utayari wa mtu mwenyewe au kama wakikupima basi hawakutakiwa kukupa majibu kwa kuwa hukipanga kupima....
Mambo mengine ni ya kawaida kwa kuwa watakuwa na uzoefu wa kukutana na mashoga....
Hivi unajua mwanaume hanisi ni km mwanamke? Ofisi haiendi kabsaaaaaaa