GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,033
- Hakukuwa Na Mpangilio Mzuri Hasa Wa Maswali KUNTU Na Ya Kina Ambayo Yangewajenga Watu.
- Mtangazaji Muongozaji Hudson Kamoga Kuzidisha KIMBELEMBELE Ili Aonekane Yeye Mjuaji Pekee.
- Mtangazaji Mgeni Dakota Kutopewa Wasaa Murua Na Kamoga Kuuliza Maswali Kwa Koffi.
- Interview Ingefanyika Kwa Kilingala au Kifaransa Kisha Kungekuwa Na Mkalimani Ambaye Nilitegemea Angekuwa Ni Christian Bella Ambaye Alikuwepo Back Stage Hapo Studioni Ingekuwa Nzuri Zaidi.
- Interviewers Wenyewe Kutaka UFAHARI Wa Kujifanya Wanajua Kuzungumza Kiingereza Ambako Wote Wawili WALICHAPIA KUNAKOTUKUKA Kwa Hicho Kiingereza Kwa Mfano Hudson Kamoga Aliuliza Nanukuu " What Education Are You " Na Mwishoni Dakota Nae AKAJICHANGANYA Kwa Kuuliza Nanukuu " Between Fere Gola And Fally Ipupa Which One Is The Best For You ". Watakaonibishia Hili Waende Wakaulizie Footage Ya Hii Interview Ili Wajiridhishe.
- Interviewers Wote WALIZIDIWA Na Kitu Kitaalamu Na Hasa Kisaikolojia Kinaitwa Inferiority - Superiority Complex Ambapo Wote Kwa Pamoja ( Nikimaanisha Kamoga Na Dakota ) Walikosa SELF ESTEEM ( Kujiamini ) Na Muda Mwingi Walijionyesha Kama Vile Wanaogopa Na Kujishtukia.
- Hakukuwa Na PREPARATION Ya Kutosha Kabla Ya Kuamua Kufanya Interview Na Baba DIDISTONE ( Koffi Olomide ) Na Kuna Wakati Koffi Olomide Alikuwa Anaonekana KUBOREKA Fulani Hivi Hadi Akawa Anachati Lakini Shukrani Kwa Tu Kwa HESHIMA Kubwa Aliyonayo Kwa Brother Joseph Kusaga Na Mwanamuziki NGULI Kwa Sasa Tanzania Christian Bella Ambaye Ndiyo Alikuwa Anamchangamsha MOPAO Vinginevyo Kwa Ninavyomjua Koffi Alivyo Na Nyodo ( Maringo ) Na Dharau ANGESHAONDOKA Pale Studioni.
Otherwise Tunawashukuruni Tu CLOUDS MEDIA GROUP Kwa Kumleta KOFFI OLOMIDE Ila Ushauri Wangu Tu Mzuri Na Mkubwa Kwenu Ni Kwamba Siku Nyingine Mkiwa Mnataka Kupiga PESA NDEFU Na Kupata Watu KIBAO Mleteni Mwanamuziki Jean Bedele Tshituka Mpiana ( JB Mpiana ) Na Bendi Yake Nzima Ya WENGE MUSICA BCBG Nawahakikishieni Kuwa HAMTAJUTIA Kumleta ILA Kwa Koffi Olomide Leo MTAPIGA Tu Hela Kiasi.
Fanyeni Mpango MUMLETE JB MPIANA Muone Kazi Na Nitakuja Hata Na POPOMA Wangu Mkuu Humu nifah Tuje TUYAKATE Na TUSEREBUKE Na Tambueni Kuwa Hapa Nchini Tanzania Kati Ya Watanzania Milioni 48 Hivi Ni Kwamba Watanzania Milioni 40 Nzima Ni WAPENZI Na WASHABIKI Wa JB MPIANA Na Kundi Lake Zuri Na La KUTUKUKA La WENGE MUSICA BCBG Na Hao Milioni 8 Waliobaki Milioni 2 Mbili Mbili Ni Wa Koffi, Werrason, Fally Na Fere.