Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Ndahani my kirusha roho, ulikuwa wapi? nahis kupona mimi. teh teh teh.
mwenzio naumwa na kuomba ushauri unaita vituko? is it fea?
Pole sana, kumbe na wewe moyo wako umemdondoshea mtu! Anyway, kila mtu ananasa kwa mtu mwingine kivyake vyake. Ila Kwa mwanamke wa shoka kama wewe, si umetokeee ana kwa ana, ukalishe chemba na kupima mwelekeo ukoje kabla ya kumwaga sera. Usianze kumwaga sera hata kujua unayeongea naye anafikiria nini ndani ya kichwa chake