KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
WanaJF wenzangu hebu kumbuka zamani zile ndo ilivyokuwa siku ya kwanza kabisa kujisajiri kwenye ulimwengu wa malavidavi ilikuwaje mara baada tu ya kubarehe.Je uliyempa malavidavi hayo kwa mara ya kwanza kabisa ndo mwandani wako hadi sasa au bado yu hai!!!!!?????
Mimi kwa mara ya kwanza kabisa sikuwa najua kabisa shaha...a ndo nini nilidhani yule aliyenifungulia dimba kaniambukiza ugonjwa wa zinaa kumbe ndo ilikuwa asali yenyewe
Mimi kwa mara ya kwanza kabisa sikuwa najua kabisa shaha...a ndo nini nilidhani yule aliyenifungulia dimba kaniambukiza ugonjwa wa zinaa kumbe ndo ilikuwa asali yenyewe