Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,788
Ha! Ha! tunajua agizo ni kumsema Rais kwa mafumbo mnaogopa nini kama mna ukweli?
kuna watu mnatia kichefuchefu kwa unafiki...yaani haujajiweka tofauti na akili za akina Ridhwan! kusema EL mwizi na kumwacha Kikwete ni kutofikirisha ubongo wako kwa mapana, na kubaka hisia zako wazi wazi! CCM nyie wote wezi tu...hapa unajikomba kwa JK unapata nini na faida gani unajua mwenyewe!
Tumeamka hatutaki kundi lolote nyie wote wezi tu na Lowassa amevuna sawa sawa kuwa kwenye kundi la majambazi......kuwa umseme vibaya EL, na kumlinda JK , na wenzenu wengi ni kutaka kutupumbaza! I know your goals is to be one of the great thief through CCM, hii ni targets ya nyie wote watoto wa hao vibopa! Kaa kimya itakusaidia hapa unajianika na watu wanakuchora mkuu.....mlinyimana nini na Lowassa ,mlikorofishana wapi na kuweka magubu...inajulikana! pia ni adui wa Nyerere kwa sababu unamsaidia mzee ule uchungu wake wa kuitwa mhuni
Kaa kimya.....dunia inajua na sasa tumetambua na slogan hii iko very active na utaona mapinduzi yanayoenda kutokea...slogan ni kuwa CCM wote wezi!!! ukiwamo mkuu...I mean wewe mwizi!
x-mass isiwe njema kwako tumewachoka!