Hawa wanamuunga mkono Lowassa ktk CCM. Nani mwingine unamjua?

Unampa Lowasa nafasi kubwa ya uhusika katika sakata la RICHMOND, tusaidie basi majibu ya hili. Unadhani ni kwa nini JK hajibu chochote kuhusu tuhuma alizopewa na Lowasa.
Juma Kidogo, kama ni tuhuma huwa zinathibitishwa, Lowassa hajamtuhumu jambo lolote JK bali tuu ame disclose asilimia 01% ya unknown facts kuhusu Richmond. Ile asilimia 99 iliyobakia ndio karata yake ya utakaso na ataitumia wakati muafaka!.

Alichosema Lowassa ndio ukweli wa mambo yenyewe na ukimya wa upande wa pili ndio uthibitisho kuwa hana la kujibu ambapo kimahakama silence means addmission of guilt!.

Naomba kusisitiza kwenye majibu yangu sijataja mtu sasa mshishangae watu wao wakija na kutaja taja majina humu!.
 
Hivi nawaomba niwaulize nyie mnaochangia huu Uzi hivi Lowassa kawambia Kuwa anataka kugombea urais? Na Kama atagombea kawambia kwa chama gani? Hebu tuache kufanya mambo kwa hisia we have a lot to do,nchi Hali ya nchi ni mbaya kila Mtu hasa watumishi wa umma wako busy kusaka ubunge 2015 kila kitu kinafanyika kwa malengo 2015 ikishafika 2015 then what? Je Tanzania tushakuwa nchi ya kuwaza chaguzi na sio maendeleo?? Watu porojo tu wengine hadi Leo salary haijatoka watu mnashabikia speculations au vyama vilishaanza kuruhusu watu Watangaze nia mi Sijui? No wonder viongozi wetu wanapita maendeleo yetu kwa Shule zisizokidhi viwango na urefu wa barabara coz waTz tumekuwa waduwanzi hatuwazi wala hatuongei vya maana Bali tuna stick kujadili upuuzi wao Daaaaaaaaaaaamn
 
Jumakidogo Rais wa Jamhuri apoteze muda wake kumjibu mbunge ambaye ni dead politically kama Lowassa are you kidding me or what? I mean Rais amemtoa Lowassa kwenye UPM, amemnyima Umakamu wa CCM, amemuondoa CC, now after all this kweli unahitaji PhD kujua what is coming next to Lowassa from Rais wa African Country aliyechezewa ego mbele ya NEC!

- Juma kweli you cant see Lowassa amekalia kuti kavu?

Lakini hoja ile ilitolewa katika kikao cha chama yeye akiwa mwenyekiti. Alikuwa na jukumu la kutoa majibu kupitia kofia yake ya uenyekiti wa chama siyo kama rais. Pia sakata hilo la RICHMOND Lilishika kasi wakati ule Lowasa akiwa waziri mkuu, tuhuma zake kwa rais zinasimamia wakati ule na wala siyo sasa katika hali aliyonayo kama mbunge wa kawaida. Alisema kilichotokea. Iko wazi kuwa Tuhuma za RICHMOND zinamgusa kidogo sana EL lakini wapinzani wake ndio wanaomchafua na kumpaka matope. Tunachota ili tuamini kuwa Lowasa hafai, ni ushahidi wa kuturidhisha ambao hata akifikishwa mbele ya hakimu akose cha kujibu. Utajiri wa mtu siyo kigezo, kama alikuwa tajiri tangu enzi za Nyerere kwa nini mwalimu huyo hakuchukua hatua zozote. Hii inaonyesha kuwa alikuwa akijua utajiri wa EL ni halali. Yote kwa yote kila mtu abaki na imani yake, mi binafsi ntaendelea kuamini kuwa EL ni msafi tu. Makosa madogomadogo ya kiutawala yapo kwa kila kiongozi.
 
Juma Kidogo, kama ni tuhuma huwa zinathibitishwa, Lowassa hajamtuhumu jambo lolote JK bali tuu ame disclose asilimia 01% ya unknown facts kuhusu Richmond. Ile asilimia 99 iliyobakia ndio karata yake ya utakaso na ataitumia wakati muafaka!.

Alichosema Lowassa ndio ukweli wa mambo yenyewe na ukimya wa upande wa pili ndio uthibitisho kuwa hana la kujibu ambapo kimahakama silence means addmission of guilt!.

Naomba kusisitiza kwenye majibu yangu sijataja mtu sasa mshishangae watu wao wakija na kutaja taja majina humu!.

Aha, nimekupata barabara kiongozi.
 
Lakini hoja ile ilitolewa katika kikao cha chama yeye akiwa mwenyekiti. Alikuwa na jukumu la kutoa majibu kupitia kofia yake ya uenyekiti wa chama siyo kama rais. Pia sakata hilo la RICHMOND Lilishika kasi wakati ule Lowasa akiwa waziri mkuu, tuhuma zake kwa rais zinasimamia wakati ule na wala siyo sasa katika hali aliyonayo kama mbunge wa kawaida. Alisema kilichotokea. Iko wazi kuwa Tuhuma za RICHMOND zinamgusa kidogo sana EL lakini wapinzani wake ndio wanaomchafua na kumpaka matope. Tunachota ili tuamini kuwa Lowasa hafai, ni ushahidi wa kuturidhisha ambao hata akifikishwa mbele ya hakimu akose cha kujibu. Utajiri wa mtu siyo kigezo, kama alikuwa tajiri tangu enzi za Nyerere kwa nini mwalimu huyo hakuchukua hatua zozote. Hii inaonyesha kuwa alikuwa akijua utajiri wa EL ni halali. Yote kwa yote kila mtu abaki na imani yake, mi binafsi ntaendelea kuamini kuwa EL ni msafi tu. Makosa madogomadogo ya kiutawala yapo kwa kila kiongozi.
Ndigu yangu Jumakidogo, utaambiwa umepokea pesa!. Kuna watu wanaamini kila mtetezi wa EL, kapewa pesa!.
 
Pukudu Lowassa alienda Nigeria kwa Mchungaji maarufu kuomba aombewe apate urais 2015, akaambiwa arudi kwanza Bongo aombe radhi wale wote aliowafanyia maovu cause ni wengi sana, aliporudi break ya kwanza kwa Six aliyemtolea nje! Ha! Ha! Ha! Yes anataka urais kwa CCM cause hakuna chama cha Upinzani kinachomtaka na vile vitisho vyake vya zamani kuwa ataanzisha Chama chake this time amegonga mwamba akitoka tu CCM kwishney!
 
Aha, nimekupata barabara kiongozi.
Tunatatizo la baadhi ya watu kuwa na chuki dhidi ya wenzao!.

Kwa mfano kwenye issue za ufisadi, mafisadi wa ukweli wapo, wanajulikana na wengine japo wamefikishwa mahakamani!, bado watu wazima na akili zao, walipanda jukwaani kuwanadi!, halafu watu wale wale wanaibuka kuwanyooshea kidole cha ufisadi watu wengine ambao hata kuhojiwa tuu kuhusu ufisadi, hawajawahi!.
 
Zamani alikuwa na tabia ya kutishia kuanzisha Chama chake, eti kwa hasira ya kuachwa Cabinet ya kwanza ya Mkapa akawa anapigia deki bendera ya CCM! Ha! Ha! Pasco si umeona afya ya bosi ilivyo mbaya anataka nini?
 
Pukudu Lowassa alienda Nigeria kwa Mchungaji maarufu kuomba aombewe apate urais 2015, akaambiwa arudi kwanza Bongo aombe radhi wale wote aliowafanyia maovu cause ni wengi sana, aliporudi break ya kwanza kwa Six aliyemtolea nje! Ha! Ha! Ha! Yes anataka urais kwa CCM cause hakuna chama cha Upinzani kinachomtaka na vile vitisho vyake vya zamani kuwa ataanzisha Chama chake this time amegonga mwamba akitoka tu CCM kwishney!
Kamanda heshma mbele, na huyo aliyemtolea nje kwa wanaoamini dini ina maanisha kitu gani?

Ukimwomba radhi uliyemkosea akaikataa radhi hiyo, je Mungu na yeye anaikataa radhi hiyo ama implications zikoje hapo?
 
Pukudu Lowassa alienda Nigeria kwa Mchungaji maarufu kuomba aombewe apate urais 2015, akaambiwa arudi kwanza Bongo aombe radhi wale wote aliowafanyia maovu cause ni wengi sana, aliporudi break ya kwanza kwa Six aliyemtolea nje! Ha! Ha! Ha! Yes anataka urais kwa CCM cause hakuna chama cha Upinzani kinachomtaka na vile vitisho vyake vya zamani kuwa ataanzisha Chama chake this time amegonga mwamba akitoka tu CCM kwishney!

Mkuu, una ushahidi wowote wa hayo maneno yako? Kama upo ni vizuri ubandike humu Jamvini mkuu ili tupate kujadili
 
Mkuu, una ushahidi wowote wa hayo maneno yako? Kama upo ni vizuri ubandike humu Jamvini mkuu ili tupate kujadili
So far Richmond is out of question, ni wote walishiriki nadhani, at least ushahidi mkubwa unaelekea huko.

So ni kweli habari hizo nyingine zinahitaji ushahidi kiasi flani...
 
Tunatatizo la baadhi ya watu kuwa na chuki dhidi ya wenzao!.

Kwa mfano kwenye issue za ufisadi, mafisadi wa ukweli wapo, wanajulikana na wengine japo wamefikishwa mahakamani!, bado watu wazima na akili zao, walipanda jukwaani kuwanadi!, halafu watu wale wale wanaibuka kuwanyooshea kidole cha ufisadi watu wengine ambao hata kuhojiwa tuu kuhusu ufisadi, hawajawahi!.
CCM ni kweli kabisa wanatufanya sisi hamnazo mkuu.

Ni kweli mwenyekiti aliwanadi na chama kilifanya hivyo, everything else is illusions.
 
So far Richmond is out of question, ni wote walishiriki nadhani, at least ushahidi mkubwa unaelekea huko.

So ni kweli habari hizo nyingine zinahitaji ushahidi kiasi flani...

Du!! Leo kwa mara ya kwanza tumesimama mstari mmoja na Jmush1...ni mapinduzi makubwa, Sikukuu njema mkuu!
 
Ha! Ha! Pasco si umeona afya ya bosi ilivyo mbaya anataka nini?
Mkuu W. J. Malecela, ni kweli kabisa nilipoongea nae wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, nimemshuhudia afya yake ni mgogoro kwa sababu, bado umedhoofu ila ....

Nilisema kama huku Nigeria alikokwenda kuombewa, kama TB Joshua ni mchungaji wa kweli anayetumia nguvu za Mungu wa Kweli na sio nguvu za giza, na nikasisitiza kwa vile mpangaji wa rais wetu ni Mungu wa Kweli, na nikasupport kuwa JK ni chaguo la Mungu, sasa kama Mungu ndio amempangia Lowassa 2015, then hivyo ndivyo itakavyo kuwa, atamsafisha, atamtakasa na atamngarisha na kumeremeta ikiwemo kuimarisha afya yake!.

Ila pia kwenye siasa, hali ya afya ya mtu sio issue, ulitegemea mwanasiasa wa umri wa 75+ bado ataendelea kushindana na vijana wadogo kuomba kuteuliwa na chama chao?. Mbona kati ya viongozi wetu wengi tuu ni afya migogoro, tumeshudia watu kwa nje wanaonekana bukheri wa afya, lakini huku wanaanguka anguka majukwaani!, huu sii uthibitisho wa afya mgogoro!. Wako viongozi wetu wakisimama kuhutubia, unawashuhudia ni wadhoofu kabisa, huku wanatetemeka mpaka unaogopa ukidhania wataanguka hata kabla ya kumaliza hotuba zao, lakini hotuba wanamaliza bila kuanguka na wanaendelea kudunda, hivyo afya ya mtu kwa siasa za bongo sio issue!.

Nakumbuka bunge lililopita, kuna mbunge mmoja wa kuteuliwa, alikuwa amejizeekea, yeye bungeni ilikuwa ni kusinzia, mwanzo mwisho wala sikumbuki kama hata aliwahi kuchangia chochote!. Hivyo hili la afya sio tatizo, mwenzake si aliunda kikosi cha askari wa miamvuli, yeye ataunda Delta Force yake ya makomandoo!.
 
Lakini hoja ile ilitolewa katika kikao cha chama yeye akiwa mwenyekiti. Alikuwa na jukumu la kutoa majibu kupitia kofia yake ya uenyekiti wa chama siyo kama rais. Pia sakata hilo la RICHMOND Lilishika kasi wakati ule Lowasa akiwa waziri mkuu, tuhuma zake kwa rais zinasimamia wakati ule na wala siyo sasa katika hali aliyonayo kama mbunge wa kawaida. Alisema kilichotokea. Iko wazi kuwa Tuhuma za RICHMOND zinamgusa kidogo sana EL lakini wapinzani wake ndio wanaomchafua na kumpaka matope. Tunachota ili tuamini kuwa Lowasa hafai, ni ushahidi wa kuturidhisha ambao hata akifikishwa mbele ya hakimu akose cha kujibu. Utajiri wa mtu siyo kigezo, kama alikuwa tajiri tangu enzi za Nyerere kwa nini mwalimu huyo hakuchukua hatua zozote. Hii inaonyesha kuwa alikuwa akijua utajiri wa EL ni halali. Yote kwa yote kila mtu abaki na imani yake, mi binafsi ntaendelea kuamini kuwa EL ni msafi tu. Makosa madogomadogo ya kiutawala yapo kwa kila kiongozi.

Mimi naamini CCM wote wezi!! naamini zaidi tena siku ya leo ya X-MASS!
 
Zamani alikuwa na tabia ya kutishia kuanzisha Chama chake, eti kwa hasira ya kuachwa Cabinet ya kwanza ya Mkapa akawa anapigia deki bendera ya CCM! Ha! Ha!
Mkuu W. J. Malecela, mimi ni kama Tomaso, siamini hayo usemayo, nikijiaminisha mnamsingizia, ila pia sikuuombi ulithibitishe, kwa vile naelewa jinsi system inavyokuwa fed na data za uongo!. Ninauhakika wa 100% chini ya 100%, wewe hujawahi kumshuhudia Lowassa anapigia deki bendera ya CCM, yaani haiwezekani yeye akaigeuza bendera yenu dekio!.

Kama hili ni kweli limetokea na kuripotiwa kule kwenye ofisi zenu halisi, na kwa vile wahusika wote walio karibu nae ni vijana wa kazi, basi inawezekani mmoja wa vijana wa usafi mwenye jukumu la kupiga deki, aliiona moja za bendera za CCM iliyochakaa kiasi kwamba haifai kutumika tena, sasa badala ya kuitupa jalalani, akajiridhisha still it has some use, na kazi befitting that stage ni kuifanya dekio, vijana wa kazi wakaripoti kunakohusika na wewe ndipo ulipoyapatia!.

Ila huyo informer hakuiripoti hali ya bendera, tena unaweza kukuta masikini hata Lowassa mwenyewe hakuwahi kulijua hilo kuwa nyumbani kwake kumbe bendera ya CCM ndio imefanywa dekio!.

Wakati mwingine mjaribu kuwa realistic na kuzichuja taarifa za vijana wenu kabla ya kuziamini!. Msimsingizie bure baba wa watu!.
 
Mkuu W. J. Malecela, mimi ni kama Tomaso, siamini hayo usemayo, nikijiaminisha mnamsingizia, ila pia sikuuombi ulithibitishe, kwa vile naelewa jinsi system inavyokuwa fed na data za uongo!. Ninauhakika wa 100% chini ya 100%, wewe hujawahi kumshuhudia Lowassa anapigia deki bendera ya CCM, yaani haiwezekani yeye akaigeuza bendera yenu dekio!.

Kama hili ni kweli limetokea na kuripotiwa kule kwenye ofisi zenu halisi, na kwa vile wahusika wote walio karibu nae ni vijana wa kazi, basi inawezekani mmoja wa vijana wa usafi mwenye jukumu la kupiga deki, aliiona moja za bendera za CCM iliyochakaa kiasi kwamba haifai kutumika tena, sasa badala ya kuitupa jalalani, akajiridhisha still it has some use, na kazi befitting that stage ni kuifanya dekio, vijana wa kazi wakaripoti kunakohusika na wewe ndipo ulipoyapatia!.

Ila huyo informer hakuiripoti hali ya bendera, tena unaweza kukuta masikini hata Lowassa mwenyewe hakuwahi kulijua hilo kuwa nyumbani kwake kumbe bendera ya CCM ndio imefanywa dekio!.

Wakati mwingine mjaribu kuwa realistic na kuzichuja taarifa za vijana wenu kabla ya kuziamini!. Msimsingizie bure baba wa watu!.

'Msimsingizie bure baba wa watu!." Siku hizi hamumuiti tena mwanaume wa shoka kama alivyopenda kumuita "mwenzenu" mmoja(sofia simba)?sasa ni baba wa watu....mna kazi nyie watu wake,na bado mpaka ifike 2014 tutaona mengi sana ya watu wazima kijitoa akili kwa njaa ya "maendeleo" ya haraka!
 
Back
Top Bottom