johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Wakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Mbowe na viongozi wenzake wa Chadema amehoji uhalali wa video ya ushahidi iliyopokelewa kama kielelezo kwa kuwa haionyeshi kama ilirekodiwa katika viwanja vya Buibui sehemu ulipofanyika mkutano wa Chadema.
Akijibu hoja hiyo shahidi wa upande wa mashtaka amesema eneo hill Halina kibao kinachoutambulisha uwanja huo kuwa unaitwa Buibui.
----------------------
SEHEMU YA I*
*Kesi Namba 112/2018 inayowakabili Viongozi wakuu wa Chadema na baadhi ya wabunge, Shahidi wa 6, Koplo Charles akiendelea na ushahidi wake na kujibu maswali ya Wakili wa Upande wa utetezi Wakili msomi Peter Kibatala.*
Kibatala - Vifaa vile tulivyotumia kuangalizia picha ulivitoa katika ushahidi wako kama vielelezo katika ushahidi wako, waya uliotumika kupeleka picha kwenye projector?
Shahidi - Sikutoa.
Kibatala - Ulisikia Hakimu akisema ni mali ya nani, eneo tunalotumia kutazama video, eneo lile?
Shahidi - mali ya mahakama
Kibatala - Yule I.T aliyekusaidia kuonyesha picha aliapishwa hajaapishwa?
Shahidi - sifahamu
Kibatala - Unasema ulipiga picha zoezi zima kwa ukamilifu hakuna sehemu imekatwakatwa?
Shahidi - haijakatwa
Kibatala - Kabla ya kusoma Diploma ya Uandishi wa habari, ulipitia form four, form six ?
Shahidi - form 4, nikafanya Certificate baadae Diploma
Kibatala - Form 4 shule gani?
Shahidi - Yombo Secondary School
Kibatala - Matokeo yako ya kidato cha 4?
Shahidi - Division 3
Kibatala - ya point ngapi?
Shahidi - Pointi 24
Kibatala - Katika zoezi zima wakati unaonyesha picha, uliongozwa na mtu yoyote kumtambulisha Washtakiwa mmoja mmoja kwamba huyu ni Mbowe, huyu, Msigwa, huyu, Heche,huyu, Ester Bulaya, huyu Halima Mdee?
Shahidi - Sikuelekezwa
Kibatala - Ni nani aliyekuwa anatoa ushahidi wa kielelezo namba 5, (P.5) ?
Shahidi - Mimi
Kibatala - Ester Matiko alisema chcohote kwenye kielelezo P.5?
Kibatala - Ni sahihi hata leo hii hapa hukumtaja Ester Matiko?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Unafahamu kwamba alikuwa jimboni kwake kwa shughuli za kikazi kama Mbunge?
Shahidi - Sio kazi yangu kufahamua alikuwepo au hakuwepo
Kibatala - Unafanya kazi Kitengo Cha Forensic investigation katika Kitengo hiko?
Shahidi - Forensic iko Makao Makuu mimi niko ofisi ya mpelelezi Oysterbay Kinondoni
Kibatala - Kazi ya Kitengo Cha Forensic investigation ni kufanyia uchunguzi wa kitaalam kuchunguza nyaraka na kutoa nyaraka sambamba na kielelezo?
Shahidi - sifahamu
Kibatala - Katika ushahidi wako ulishaonyesha nyaraka yoyote kwamba kielelezo ulichokileta kilifanyiwa uchunguzi na Kitengo Cha Forensic investigation?
Shahidi - Sikuonyesha
Kibatala - Unafahamu au ufahamu kwa mujibu wa sheria kuna certificate hutolewa katika makosa ya jinai, kuthibitisha uchunguzi uliofanywa?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi picha zilianza kuonekana mwisho, ilianza mwisho alafu uka-rewind?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Ulitoa ufafanuzi wowote?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Kuna wakati wowote uliwahi kuwapa kielelezo P.5 Kitengo cha Mashtaka?
Shahidi - sikuwahi kuwapa
Kibatala - Kuna mwendesha Mashtaka yoyote alikuwepo siku ya tukio pale leo yupo hapa?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Ni sahihi kusema kwamba kuna mashtaka yamekwa hayapo kwenye ushahidi wako wa picha P.5?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi umekuja kutoa ushahidi kuthibitisha yaliyopo kwenye hati ya mashtaka?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Hukuwahi kutoa mahakamani karatasi yoyote kuthibitisha vitu ulivyovileta mahakamani?
Shahidi - Sahihi
Kibatala - Isaidie kuikumbusha Mahakama ni maneno gani aliyasema Mwita Waitara?
Shahidi - Siwezi kuyakumbuka mpaka niangalie video
Kibatala - Unamjua Mwita Waitara?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Hufahamu kama Naibu Waziri TAMISEMI?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Waitara unamuona hapa?
Shahidi - hayupo
Kibatala - Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Selective Justice?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Jeshi la Polisi linawezaje kujua Kama linapendwa au kuna chuki dhidi yake, au unadhani jeshi la Polisi linachukukiwaje?
Shahidi - Vizuri
Kibatala - kwa ufahamu wako, unadhani wanachama wa Chadema wanalichukiliaje jeshi la Polisi?
Shahidi - Vizuri na kutoa ushirikiano
Kibatala - Upendo ni ule ule licha ya yote ambayo yalitokea toka siku ile na matukio mengine mbalimbali?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Ni sahihi kwamba sifa za jeshi la Polisi ni kutatua uhalifu?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Wakili ambae hashindi kesi utakwenda kwake?
Shahidi - Huwezi
Kibatala - Jeshi la Polisi kama hawawezi kutatua uhalifu utaliamini na kulipenda?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Kwa mfano nikisema silioendi jeshi la Polisi ni kosa la jinai?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Nikiwaambia wenzangu 20 tulichukie jeshi la Polisi ni kosa au sio kosa?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unamfahamu Ben Sanane?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Mwandishi wa habari Azory Gwanda?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Mdude Nyagali?
Shahidi - Simfahamu
Kibatala - Lissu?
Shahidi - Namfahamu
Kibatala - Ni mwanachama wa chama gani?
Shahidi - Ni Chadema
Kibatala - Unafahamu ni Mbunge?
Shahidi - sio Mbunge
Kibatala - Unafahamu alikuwa Mbunge?
Shahidi - Nafahamu
Kibatala - Unajua alishambuliwa kwa risasi katika eneo la nyymbani kwake?
Shahidi - Nafahamu lakini sijui alishambuliwa wapi
Kibatala - Unafahamu amewahi kukamatwa mara kadhaa na kulala ndani polisi?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Toka Lissu ashambuliwe kwa risasi kumelijenga au kubomoa heshima ya jeshi la Polisi?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unamjua Diwani wa Morogoro Fares Nangoye
Shahidi - Simfahamu
Kibatala - Kusema kutoogopa mabomu ni kosa jinai?
Shahidi - Sifahamu Mheshimiwa
Kibatala - Ni sahihi maneno haya yalitumika kwenye mkutano wa kufunga kampeni katika mkutano wa Chadema?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Kuna yoyote kati ya washtakiwa hawa ulimsikia akisema wananchi wasishiriki kupiga kura?
Shahidi - Sikusikia
Kibatala - Ni sahihi walihamasisha wananchi kwenda kupiga kura?
Shahidi - sio sahihi
Kibatala - Hakuna mahali Mhe Halima Mdee alisema watu wakapige kura?
Shahidi - hakusema
Kibatala - Magufuli ni M/kiti wa chama gani?
Shahidi - Ccm
Kibatala - Katika Uchaguzi ule Ccm ilikuwa na mgombea haikuwa na mgombea?
Shahidi - ilikuwa na mgombea
Kibatala - Jina lake ?
Shahidi - Mtulia
Kibatala - Magufuli alimpigia kampeni hakumpigia?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Magufuli alitakiwa kuchinjwa lini?
Shahidi - maneno hayo yalitamkwa tarehe 16/2/2018
Kibatala - Ni kweli alisema kesho yake wakamchinje?
Shahidi - Sahihi
Kibatala - alisema wakamchinje Magufuli tarehe ngapi, mwezi gani, na mwaka gani?
Shahidi -
Kibatala - Wewe ni mtaalam wa lugha zote Tanzania?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu maudhui (content) kuchinja katika Uchaguzi, hujui kuna vichinjio, kadi ya mpiga kura?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu uchaguzi ulifanyika kwa mujibu wa Katiba, sheria na sio kwa hisani ya mtu?
Shahidi - sahihi
Kibatala - Magufuli amechinjwa hajachinjwa?
Shahidi - Magufuli hajachinjwa
Kibatala - Nani alikamatwa akijaribu kumchinja Magufuli?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Kadi ya kura ni kichinjio?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Kibatala, Mhe Halima Mdee alisema tukamchinje Magufuli na utawala wake?
Shahidi -
Kibatala - Unafahamu hadi saa 12 jioni, kesho ikiwa ni uchaguzi Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni alikuwa hajatoa viapo vya mawakala wa Chadema?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Hivi viapo ni haki ya kisheria au hisani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajua zinatolewa kwa utaratibu gani?
Shahidi Sifahamu
Kibatala - Mbowe alisema hatutaki fujo, hatutaua hata inzi?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Ni sahihi aliyasema maneno haya akitaka kuelekea kwa Mkurugenzi kuchukua viapo, barua za utambukisho wa mawakala?
Shahidi - Sahihi
Kibatala - Washtakiwa wote walihojiwa walionyeshwa video, wewe uliwahi kuwapa ofisi ya upelelezi kielelezo P.5 ?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi wewe hukuwahi kuwapa polisi P.5 ili kiwasaidie kuwahoji washtakiwa?
Shahidi - sijawapa
Kibatala - Unasisitiza washtakiwa walihojiwa na video nyingine kabisa sio yako?
Shahidi - sahihi
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha hatua ya maandamano au hakionyeshi?
Shahidi - Kinaonyesha maandamano kuanzia uwanjani
Kibatala - Mpaka wapi?
Shahidi - Kama nilivyoeleza katika ushahidi wangu wa awali kazi yangu ilikuwa ni kupiga picha pale kwenye viwanja vya Bui Bui tu?
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha maandamano yaliishia wapi?
Shahidi - Sifahamu
Kielelezo P.5 kinaonyesha maandamano yaliishia wapi?
Shahidi - Maeneo ya Kinondoni
Kibatala - Kinondoni ipi?
Shahidi - Mkwajuni
Kibatala - Ni sahihi kuna bonde hivi kuelekea Magomeni?
Shahidi - .........
Kibatala - Picha ulipiga ulikuwa kwenye gari au?
Shahidi - Nikiwa kwenye gari
Kibatala - gari ya aina gani, namba za gari?
Shahidi - Ushahidi wangu wa awali nilishaeleza
Kibatala - Gari gani au ya Nani
Shahidi - OCD
Kibatala - Jina lake?
Shahidi - Doto
Kibatala - alikuwepo Mkuu wa upelelezi ?
Shahidi - Siwezi kufahamu
Kibatala - Kwa ufahamu wako kuna waandishi wa habari walikuwa wanarekodi ?
Shahidi - Sifahamu kama walipiga picha au waliondoka
Kibatala - Kwenye kielelezo P.5 video ukiangalia unaona hata mtu mmoja ameshika mawe, fimbo, marungu, panga?
Shahidi - sikuona
Kibatala - Ni sahihi kwenye mkutano walikuwepo police officers mbalimbali ?
Shahidi - Sahihi walikuwepo
Kibatala - Tukienda kuangalia kielelezo P.5 tutaona wananchi wakishambulia polisi?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Angalau wananchi wakizomea polisi?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha Kiongozi yoyote wa Chadema akirusha mawe?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Ni Kiongozi gani alisema tukaandamane?
Shahidi - Mhe Mbowe
Kibatala - Mwambie Hakimu Salum Mwalim alisema maneno gani ambayo yanavunja sheria?
Shahidi - tarehe 16/2/2018 alisema, wananchi wafuatilie familia zao
Kibatala - Ni sahihi kwamba kwa sababu ilikuwa Ijumaa, aliienda msikitini akaswali akawa amefunga, ameomba vitu vingi kwamba watakaomdhulumu katika Uchaguzi wafuatilie familia zao wazione, dua zitawapata, watawahukumiwa na Mungu, katika muktadha huo?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Mimi ukinidhulumu, nikaapa Wallah Wallah Mungu akuue ni kosa la jinai?
Shahidi - Ni kosa ni kutishia kuua
Kibatala - Kosa linaitwaje?
Shahidi - Kutishia kuua kwa maneno
Kibatala - Wakati Wakili wa Serikali anasoma hati ya Mashtaka alisoma kosa la kutishia kwa maneno?
Shahidi - Halijasomwa
Kibatala - Mhe Mnyika alisema nini?
Shahidi - Mimi kazi yangu nilienda kupiga picha, sijui alisema nini
Kibatala - Ester Matiko aliongea kipi ambacho ni kosa la jinai?
Shahidi - Sikumbuki
Kibatala - Halima Mdee alisema sihitaji kusimulia madhila yote yanayomkumba kila mmoja wetu, haya yanatokana na utawala wa awamu ya 5, kesho tukamchinje Magufuli na vibaraka wake, kosa liko wapi?
Shahidi - ilisababisha chuki dhidi ya wananchi
Kibatala - dhidi ya Nani?
Shahidi - Serikali
Kibatala - Ni kosa kumchukia Rais na Serikali, hujamrushia mawe hujamtukana, ni kosa kumchukia?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Mhe Halima Mdee alisema wampige mawe?
Shahidi - mimi kwa ufahamu wangu naona Ni kupandikiza chuki
Kibatala - baada ya kupandikiza chuki alisema waende Ikulu wakarushe mawe?
Shahidi - Kielelezo P.5 Kinaonyesha maneno hayo
Kibatala - alichochea wampige mawe Rais Magufuli?
Shahidi - sijasikia
Kibatala - Ni sahihi maneno haya yalisemwa siku moja kabla ya Uchaguzi wa marudio Jimbo la Kinondoni?
Shahidi - tarehe 16/2/2018
Kibatala - tumejipa kibali kutangulia mbele ya haki, Niko hapa kuliandaa Taifa, Afrika Kusini Jacob Zuma ametolewa kwa nguvu ya watu, hatima ya nchi hii ipo mikononi mwa wananchi, tupo tayari kubeba majeneza lakini nchi ikakombolewe, Kuna tatizo gani ?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - kesho patachimbika, watu wanauawa, wanapotea wanatekwa tabia hiyo lazima ikomeshwe, ni kesho yake patachimbika au ?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Unafahamu iwapo kesho patachimbika ni kwamba wanachadema wajitokeze kwa wingi wakapige kura ?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu kuna watu wameokotwa kwenye mitaro, wamepotea wengine?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu Boss wako wa zamani Waziri wa Mambo ya ndani Mwigulu Nchemba akiwahi kusema ile miili iliyookotwa ni wahamiaji haramu?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - tabia ya kuteka watu, kupitezwa tabia hiyo lazima ikomeshwe unajua Mhe Heche alitaka tabia hiyo ikomeshwe kwa namna gani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajuaje ili ukomeshwe wananchi wachague mgombea ambae atawatetea na kupipigia kelele tabia hiyo kwa nguvu ili ikome?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajua ni mapambano ya aina gani ambayo Mhe Mbowe alisema atayaongoza ?
Shahidi - sijui
Kibatala - watu 100 watakao kufa wataleta haki ulijua watakufaje?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - nchi hii inadharaulika wanaume kama mademu, kuna mwandishi amepotea siku ya 87 leo, waliokuwa wanaambiwa wanaume kama mademu ni watu gani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Nini kilitokea mpaka ukakimbia ?
Shahidi - vurugu na ghasia
Kibatala - Ulitishiwa kufanywa nini ukakimbia?
Shahidi - maneno ya kutishia
Kibatala - maneno gani ya mshtakiwa gani yalikufanya kuondoka uwanjani uwepo Mkwajuni?
Shahidi -
Kibatala - Kutoka uwanja wa Bui Bui Mwananyamala hadi Mkwajuni ukikadiria kuna umbali gani?
Shahidi - sijui
Kibatala - kielelezo P.5 kinaonyesha ukishambuliwa?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Watu waliokushambulia wako hapa?
Shahidi - Hawapo
Kibatala - Ulishambuliwa hukushambuliwa?
Shahidi -
Kibatala - Ester Bulaya alisemaje?
Shahidi - Sikumbuki yote mpaka tuangalie video lakini nakumbuka vita Ni vita mura
Kibatala - Unajua alimshinda gwiji wa siasa, Wasira katika Jimbo la Bunda Mjini?
Shahidi - sifahamu
Kibatala - maneno haya alitamka tarehe 16/2/2018 alitamka Kama alivyoshinda Bunda ndivyo watakavyoshinda Jimbo la Kinondoni vita ni vita mura?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajua hii ni kauli ya kupeana hari hata wakati wa kulima shamba au kufanya bila kukata tamaa?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi alisema kule kwetu Musoma Vita ni vita?
Shahidi - ..........
Kibatala - maneno ya Nhe Peter Msigwa alisemaje?
Shahidi - watu watembee na silaha
Kibatala - Ni Sahihi alisema haihitaji kibali cha polisi kutembea na panga rungu mkuki au fimbo ?
Shahidi - yapo kwenye kielelezo P.5
Kibatala - inahitaji kibali cha polisi kutembea na rungu, panga, fimbo au mkuki?
Shahidi - inategemea
Kibatala - inategemea Nini?
Shahidi - inategemea na mandhari, inajulikana wamasai ndio wanatembea na fimbo na silaha
Kibatala - Unajuaje alimaanisha wamasai?
Shahidi - Sifahamu
*Inaendelea........*
SEHEMU YA II*
WAKILI KIBATALA VS P.W 6 - KOPLO CHARLES
Kibatala - Askari Fikiri na Rahim waliumia siku hiyo kwenye kielelezo P.5 tumeona?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Kuna mahali tumeona Ngichi akitoa ilani kwenye ushahidi wako?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Unajua kilitokea kifo cha Akwilina Akwilin, kwenye kielelezo P.5 tutaona washtakiwa kusababisha kifo hiko?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - tukiangalia kwenye kielelezo P.5 tutaonana wananchi Mkwajuni wakikimbia huku na huku na kufunga maduka?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha washtakiwa 1 hadi 9 wakiandamana?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Je wanaonekana wamekaa kikao wakijadili jambo?
Shahidi - Hapana
Kibatala - kupitia kielelezo P.5 na uwepo wako pale unaweza kujua idadi ya mawakala?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Tunaomba kupata facility ili tutazame tuweze kumuuliza shahidi maswali zaidi.
*Kesi imeahirishwa dakika 20 kuelekea kwenye chumba maalum kutazama ushahidi wa picha na maswali mengine kuendelea kuulizwa*
*Video Mwita Waitara "Watajaza polisi, tushaanza kazi ya kuwashughulikia polisi kabla hawajatushughulikia, Vijana tushawapa kazi maalum, Vijana washaanza kuifanya kazi hiyo Vizuri, polisi wapotee kabla wananchi hawajapotea, Kama kuna polisi watazuia watu wasilinde kura kesho polisi apotee, kabla wananchi hawajapotea, Vijana wanataka hata sasa wako tayari, na haya maneno namwambia IGP Sirro awaambie Vijana wake watulie tuli kama maji ya mtungi, katika mkutano huu Hakuna Mwananchi wa kawaida wote ni wanajeshi"*
Kibatala - Hakuna kosa la jinai kwenye maneno hayo?
Shahidi - Hakuna kosa
Kibatala - Kwanini Hakuna kosa?
Shahidi - kazi yangu ni kupiga picha, Ila kwa ufahamu wangu hakuna kosa.
Kibatala - polisi watashughulikiwa huoni ni kosa?
Shahid - kwa ufahamu wangu Hakuna kosa
Kibatala - Kuna chochote kiliwatokea maafisa wa polisi baada ya maneno ya Waitara?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Kielelezo P.5 kuna mahali Kinaonyesha haya ni mazingira ya Bui Bui?
Shahidi - Mimi ndiyo nilikuwa nachukuwa kwa hiyo naweza kusema nilirekodi nikiwa uwanja wa Bui Bui
Kibatala - Acha ushahidi wako kuna sehemu yoyote inaonekana ukakua hapa ni uwanja wa Buibui?
Shahidi - vinakwenda sambamba na Mimi ndo naweza kusema nilirekodi eneo gani
Kibatala - Unaweza ukaonyesha kwenye Kielelezo P.5 kwamba hapa ni uwanja wa Buibui?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Ni wapi picha itainyesha ilipigwa tarehe 16/2/2018?
Shahidi - mimi nilikuwepo eneo la tukio hivyo najua tarehe niliyorekodi ilikuwa tarehe 16/2/2018
Kibatala - Kielelezo P.5 inaonyesha tarehe iliyorekodiwa?
Shahidi - Hakuna tarehe
Kibatala - Inaonyesha muda ambao ilianza kurekodi (Duration)?
Shahidi - ndio inaonyesha
Kibatala - Ni sahihi kwamba mpaka unaacha kurekodi ilikuwa na space ya kuweza kuhifadhi picha?
Shahidi - Ndio zilibaki kama dakika 30
Kibatala - Ni sahihi hizo dakika 30 hazikutumika kurekodi yale Mambo niliyokuuliza kwanini hukuyarekodi?
Shahidi- unarekodi matukio muhimu sio kila tukio unarekodi
Kibatala - Kwa ufahamu wako watu kukimbia huko na huko haikuwa matukio muhimu?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unasema kuna vitu vilikuogofya ukaondoka eneo la tukio ni vitu gani hivyo ambavyo vilikuogofya ambavyo hukuvirekodi?
Shahidi - ngoja ni-play
*Heche kabla Mambosasa hajaja hapa alikuwa Tarime nilishinda akiwa Tarime anajua mziki wetu*
Kibatala - Hayo maneno ndiyo yaliyokutisha?
Shahidi - Baada ya kumtaja Boss wangu na maneno yale ni viashiria vya vurugu na maisha yangu
Kibatala - anayefahamu mziki wa Heche Ni wewee au Mambosasa?
Shahidi - nilijua ni mimi nikiwa miongoni mwao
Kibatala - wewe ni Mambosasa?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Heche ameutaja huo muziki unaujua ni muziki gani?
Shahidi hajautajwa
Kibatala - ulikuwepo Tarime wakati Heche anaonyesha muziki?
Shahidi - sikuwepo
Kibatala - ulishawahi kuongea na Mambosasa kuhusu kilichotokea Tarime?
Shahidi - sijawahi
Kibatala - Unafahamu kwamba Heche ni mwanamuziki mzuri na ndiye anayetunga nyimbo za Chadema?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ulitishika na nini hasa hapo?
Shahidi - Hayo yalikuwa Ni maneno yenye viashiria vya uvunjifu wa amani na hata akisema polisi nirekodi nilikuwa ni mimi naambiwa
Kibatala - mstari gani hapo ulikutisha?
Shahidi - yote
*Inaendelea.....*
SEHEMU YA III*
KIBATALA - Uliona kuna kura pale uwanjani zinatakiwa kulindwa?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Siku ya tukio ulikuwa umevaa uniform au kiraia?
Shahidi - Uniform
Kibatala - Askari wengine waliondoka au niwewe tu?
Shahidi - sikuona
Kibatala - Waandishi wa habari waliondoka au waliendelea kurekodi?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Kitu kingine kilichokutishia?
Shahidi - Ester Bulaya, aliniambia Askari nirekodi Vizuri
Kibatala - mtu akiakwambia rekodi anakusaidia ufanye kazi kwa ufasaha ni vibaya?
Shahidi - ilikuwa Ni tushio
Kibatala - Uliandika maelezo ya kutishiwa
Shahidi - sikuandika maelezo
Kibatala - katika shtaka la 5, 6, 9 na 10, Kuna mahali Mhe Mbowe alitamka tuandamane ?
Shahidi - Sikusikia/Hakuna
Kibatala - Wapi Mhe Ester Bulaya alisisitiza watu waandamane?
Shahidi - sijaona
Kibatala - Jana Ulisema utamuonyesha Mhe Ester Matiko akiwa uwanja wa Bui Bui
Shahidi - sikusema
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 kinamuonyesha Mhe Mnyika akiwa amefanya mkutano usio halali?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 kinamuonyesha Mhe Mashinji akiwa amefanya mkutano usio halali?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 kinamuonyesha Mhe Msigwa akiwa amefanya mkutano usio halali?
Shahidi - sijui
Kibatala - Wakati unaambiwa nenda kafanye kazi mkutano wa Chadema, uliambiwa ni mkutano halali au sio halali?
Shahidi - Sikuambiwa ni halali au sio halali
Kibatala - Uliambiwa mkutano wa Chama gani?
Shahidi - Chadema
Kibatala - Ni sahihi kwa dakika 56 hukuona afisa wa polisi akisema ondokeni ondokeni mkutano huu sio halali?
Shahidi - sikuona
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 hakionyeshi sehemu inaonyesha ile ni barabara ya Kawawa ?
Shahidi - hakuna
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 hakionyeshi watuhumiwa wakiandamana?
Shahidi - hakionyeshi
Kibatala - Ni sahihi Mhe Mbowe alisema hatutaki fujo, hatokufa inzi, tunafuata vitambulisho kwa Mkurugenzi?
Shahidi - Ni sahihi, huwezi kufuata vitambulisho kwa umati wa watu wote ule
Kibatala - hayo maneno aliyasema kuhusiana na tukio gani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - kwenye kielelezo P.5 kuna mahali Mhe Mbowe anaoneka akiwaambia wananchi wafanye fujo?
Shahidi - Ndio
Kibatala - Tuonyeshe
Shahidi - Anatafuta eneo la Mhe Mbowe
*Bado hajapata, Wakili Kibatala anamuachia Wakili Msomi Jeremiah Mtobesya*
Mtobesya - Unamjua mlalamikaji kwenye kesi hii?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - ikumbushe Mahakama nani alikutuma uende kurekodi mkutano wa Chadema?
Shahidi - RCO
Mtobesya - Ni sahihi ulimpa mrejesho kwa maandishi?
Shahidi - Hapana kwa mdomo
Mtobesya - baada ya kumpa mrejesho kwa mdomo alikwambia ufanyaje?
Shahidi - alisema nitunze ushahidi sababu kuna kesi imefunguliwa
Mtobesya - wewe ndiye uliyerekodi, ukatunza na kuleta mahakamani?
Shahidi - Ni sahihi
Mtobesya - Ieleze Mahakama kama wewe Ni mtaalam wa sauti?
Shahidi - Mimi ni mpiga picha
Mtobesya - Unawezaje ukajua hii ni sauti ya fulani na hii sio fulani?
Shahidi - Picha na sauti
Mtobesya - Kwanini unasema yule ni fulani ndo kasema vile?
Shahidi - sababu nilikuwepo pale nilirekodi
Mtobesya - Sauti ilikusaidia kujua huyu ni fulani?
Shahidi - ndio
Mtobesya - ulishawahi kuleta sauti ili ulinganishe sauti uliyosema uliwasikia wakisema hayo maneno?
Shahidi - sijaleta
Mtobesya - Una utaalamu na kompyuta?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - Unafahamu kitu kinaitwa deep fake?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - nitakuwa Sahihi nikisema matukio yamekatwa katwa kuhaririwa ?
Shahidi - sio sahihi
Mtobesya - Ni sahihi hayakuwa kwenye mtiririko mmoja?
Shahidi - Sijaedit , hiyo Ni kutokana na ku-pause nakuwa nimeacha kurekodi baadae naendelea kwenye tukio lingine
Mtobesya - Uki- pause Ina maana na really life matukio mengine yanapause?
Shahidi - sio kweli
Mtobesya - Ndo nakuuliza kwa hiyo unaacha kurekodi matukio mengine, Yani ukiweka pause na matukio mengine yanakusubiri mpaka nawewe uje uanze kurekodi?
Shahidi - Narekodi tukio la muhimu ambacho sijarekodi sio tukio muhimu
Mtobesya - Tukio ni nini?
Shahidi - Ni kama hapa tulipo ni tukio linaweza likawa recorded au tukio lingine ni kama lile mkutano wa Chadema tarehe 16/2/2018.
Mtobesya - Ni sahihi Jana hukueleza ni jinsi gani hiyo DIV haiwezi kuhaririwa?
Shahidi - sio jana nilieleza tangu ushahidi wangu mwanzo wakati nawasilisha vielelezo hivi mahakamani
Mtobesya - Ni sahihi Jana hukueleza ni jinsi gani hiyo DIV haiwezi kuhaririwa?
Shahidi - nilishaonyesha mwanzo kwenye ushahidi wa mwanzo
Mtobesya - Wapi?
Shahidi - wakati natoa ushahidi mwanzo
Mtobesya - wakati unaweka seal Mahakama ilikuwepo?
Shahidi - Mahakama haikuwepo
Mtobesya - ni Sahihi kuhariri unatumia software na kurekodi ni software?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - Ni sahihi kitu kinachorekodiwa kinaweza kuhaririwa kwa kutumia teknolojia?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - Isaidie mahakama ni wakati gani wapelelezi walisema itakuwa ni Kielelezo?
Mtobesya - Sikupewa na upelelezi nilipewa na RCO
Mtobesya - Nitakosea nikisema RCO ni Mkuu wa upelelezi?
Shahidi - Hukosei
Mtobesya - ni wakati gani uliwapatia wapelelezi Kielelezo?
Shahidi ..........
Mtobesya - Uliandika statement wakati unakabidhi , uliandika tarehe?
Shahidi - tarehe 16/2/2018
Mtobesya - Baada ya kuandika ulimkabidhi nani?
Shahidi - RCO
Mtobesya - Unajua Kuna teknolojia ya ku-edit watu na sauti?
Shahidi - Sijui
Mtobesya - Ieleze Mahakama ulifundishwa Masuala ya kompyuta na level yako ya kompyuta?
Shahidi - Kawaida tu, kuwasha kompyuta, kutype documents
Mtobesya - Hakuna sehemu umejifunza ku-edit?
Shahidi - Sikumbuki
Mtobesya - Diploma ya Uandishi wa habari umemaliza lini?
Shahidi - 2011
Mtobesya - Almost 8 years
Shahidi - I think so
*Wakili Hekima Mwasipu Vs PW 6 Koplo Charles*
Hekima - Wewe unafanya kazi chini ya RCO?
Shahidi - sahihi
Hekima - Kwa maana hiyo huwezi kufanya chochote bila RCO?
Shahidi - Sahihi
Hekima - Ni sahihi RCO tarehe 16/2/2018 alikutuma kurekodi mkutano wa Chadema?
Shahidi - Ni sahihi
Hekima - Ni sahihi kuna alienda kurekodi mkutano wa Ccm?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Baada ya kurekodi ulipeleka vifaa kwa RCO?
Shahidi - sahihi
Hekima - Ulimwambia nini!
Shahidi - matukio
Hekima - Matukio yapi?
Shahidi - vurugu
Hekima - RCO alikupa taatifa kuna vurugu kupitia vyanzo vyake?
Shahidi - sio sahihi
Hekima - Mpelelezi wa kesi hii unamfahamu
Shahidi - Simfahamu
Hekima - Kwanini unasema hivyo?
Shahidi - kila kesi inakuwa mpelelezi wake
Hekima - Mtu akisema ukicheka polisi na Ccm amefanya kosa?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Ulishawahi kusikia kuna watu wameuawa na kupotea?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Nini maana ya kuchimbika?
Shahidi - vurugu
Hekima - Kuchimbika ni nini?
Shahidi - vurugu
Hekima - Unafahamu wizi unaofanywa na Serikali ya awamu ya tano?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Sahihi Lissu amepigwa risasi
Hekima - ni kosa mtu kukemea mtu kupigwa risasi?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Suluhu ya nchi hii iko mikononi mwa wananchi Unajua maana yake?
Shahidi - Sijui
Hekima - Kusema kubeba majeneza ni kosa?
Shahidi - ni kosa ukiwa kwenye mkutano
Hekima - Unajua maana ya Kama mbwai na iwe mbwai?
Shahidi - Nafahamu
Hekima - Unajua madhila yanayomkumba kila mmoja?
Shahidi - Sijui
Top of Form
Bottom of Form
Akijibu hoja hiyo shahidi wa upande wa mashtaka amesema eneo hill Halina kibao kinachoutambulisha uwanja huo kuwa unaitwa Buibui.
----------------------
SEHEMU YA I*
*Kesi Namba 112/2018 inayowakabili Viongozi wakuu wa Chadema na baadhi ya wabunge, Shahidi wa 6, Koplo Charles akiendelea na ushahidi wake na kujibu maswali ya Wakili wa Upande wa utetezi Wakili msomi Peter Kibatala.*
Kibatala - Vifaa vile tulivyotumia kuangalizia picha ulivitoa katika ushahidi wako kama vielelezo katika ushahidi wako, waya uliotumika kupeleka picha kwenye projector?
Shahidi - Sikutoa.
Kibatala - Ulisikia Hakimu akisema ni mali ya nani, eneo tunalotumia kutazama video, eneo lile?
Shahidi - mali ya mahakama
Kibatala - Yule I.T aliyekusaidia kuonyesha picha aliapishwa hajaapishwa?
Shahidi - sifahamu
Kibatala - Unasema ulipiga picha zoezi zima kwa ukamilifu hakuna sehemu imekatwakatwa?
Shahidi - haijakatwa
Kibatala - Kabla ya kusoma Diploma ya Uandishi wa habari, ulipitia form four, form six ?
Shahidi - form 4, nikafanya Certificate baadae Diploma
Kibatala - Form 4 shule gani?
Shahidi - Yombo Secondary School
Kibatala - Matokeo yako ya kidato cha 4?
Shahidi - Division 3
Kibatala - ya point ngapi?
Shahidi - Pointi 24
Kibatala - Katika zoezi zima wakati unaonyesha picha, uliongozwa na mtu yoyote kumtambulisha Washtakiwa mmoja mmoja kwamba huyu ni Mbowe, huyu, Msigwa, huyu, Heche,huyu, Ester Bulaya, huyu Halima Mdee?
Shahidi - Sikuelekezwa
Kibatala - Ni nani aliyekuwa anatoa ushahidi wa kielelezo namba 5, (P.5) ?
Shahidi - Mimi
Kibatala - Ester Matiko alisema chcohote kwenye kielelezo P.5?
Kibatala - Ni sahihi hata leo hii hapa hukumtaja Ester Matiko?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Unafahamu kwamba alikuwa jimboni kwake kwa shughuli za kikazi kama Mbunge?
Shahidi - Sio kazi yangu kufahamua alikuwepo au hakuwepo
Kibatala - Unafanya kazi Kitengo Cha Forensic investigation katika Kitengo hiko?
Shahidi - Forensic iko Makao Makuu mimi niko ofisi ya mpelelezi Oysterbay Kinondoni
Kibatala - Kazi ya Kitengo Cha Forensic investigation ni kufanyia uchunguzi wa kitaalam kuchunguza nyaraka na kutoa nyaraka sambamba na kielelezo?
Shahidi - sifahamu
Kibatala - Katika ushahidi wako ulishaonyesha nyaraka yoyote kwamba kielelezo ulichokileta kilifanyiwa uchunguzi na Kitengo Cha Forensic investigation?
Shahidi - Sikuonyesha
Kibatala - Unafahamu au ufahamu kwa mujibu wa sheria kuna certificate hutolewa katika makosa ya jinai, kuthibitisha uchunguzi uliofanywa?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi picha zilianza kuonekana mwisho, ilianza mwisho alafu uka-rewind?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Ulitoa ufafanuzi wowote?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Kuna wakati wowote uliwahi kuwapa kielelezo P.5 Kitengo cha Mashtaka?
Shahidi - sikuwahi kuwapa
Kibatala - Kuna mwendesha Mashtaka yoyote alikuwepo siku ya tukio pale leo yupo hapa?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Ni sahihi kusema kwamba kuna mashtaka yamekwa hayapo kwenye ushahidi wako wa picha P.5?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi umekuja kutoa ushahidi kuthibitisha yaliyopo kwenye hati ya mashtaka?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Hukuwahi kutoa mahakamani karatasi yoyote kuthibitisha vitu ulivyovileta mahakamani?
Shahidi - Sahihi
Kibatala - Isaidie kuikumbusha Mahakama ni maneno gani aliyasema Mwita Waitara?
Shahidi - Siwezi kuyakumbuka mpaka niangalie video
Kibatala - Unamjua Mwita Waitara?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Hufahamu kama Naibu Waziri TAMISEMI?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Waitara unamuona hapa?
Shahidi - hayupo
Kibatala - Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Selective Justice?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Jeshi la Polisi linawezaje kujua Kama linapendwa au kuna chuki dhidi yake, au unadhani jeshi la Polisi linachukukiwaje?
Shahidi - Vizuri
Kibatala - kwa ufahamu wako, unadhani wanachama wa Chadema wanalichukiliaje jeshi la Polisi?
Shahidi - Vizuri na kutoa ushirikiano
Kibatala - Upendo ni ule ule licha ya yote ambayo yalitokea toka siku ile na matukio mengine mbalimbali?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Ni sahihi kwamba sifa za jeshi la Polisi ni kutatua uhalifu?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Wakili ambae hashindi kesi utakwenda kwake?
Shahidi - Huwezi
Kibatala - Jeshi la Polisi kama hawawezi kutatua uhalifu utaliamini na kulipenda?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Kwa mfano nikisema silioendi jeshi la Polisi ni kosa la jinai?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Nikiwaambia wenzangu 20 tulichukie jeshi la Polisi ni kosa au sio kosa?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unamfahamu Ben Sanane?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Mwandishi wa habari Azory Gwanda?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Mdude Nyagali?
Shahidi - Simfahamu
Kibatala - Lissu?
Shahidi - Namfahamu
Kibatala - Ni mwanachama wa chama gani?
Shahidi - Ni Chadema
Kibatala - Unafahamu ni Mbunge?
Shahidi - sio Mbunge
Kibatala - Unafahamu alikuwa Mbunge?
Shahidi - Nafahamu
Kibatala - Unajua alishambuliwa kwa risasi katika eneo la nyymbani kwake?
Shahidi - Nafahamu lakini sijui alishambuliwa wapi
Kibatala - Unafahamu amewahi kukamatwa mara kadhaa na kulala ndani polisi?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Toka Lissu ashambuliwe kwa risasi kumelijenga au kubomoa heshima ya jeshi la Polisi?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unamjua Diwani wa Morogoro Fares Nangoye
Shahidi - Simfahamu
Kibatala - Kusema kutoogopa mabomu ni kosa jinai?
Shahidi - Sifahamu Mheshimiwa
Kibatala - Ni sahihi maneno haya yalitumika kwenye mkutano wa kufunga kampeni katika mkutano wa Chadema?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Kuna yoyote kati ya washtakiwa hawa ulimsikia akisema wananchi wasishiriki kupiga kura?
Shahidi - Sikusikia
Kibatala - Ni sahihi walihamasisha wananchi kwenda kupiga kura?
Shahidi - sio sahihi
Kibatala - Hakuna mahali Mhe Halima Mdee alisema watu wakapige kura?
Shahidi - hakusema
Kibatala - Magufuli ni M/kiti wa chama gani?
Shahidi - Ccm
Kibatala - Katika Uchaguzi ule Ccm ilikuwa na mgombea haikuwa na mgombea?
Shahidi - ilikuwa na mgombea
Kibatala - Jina lake ?
Shahidi - Mtulia
Kibatala - Magufuli alimpigia kampeni hakumpigia?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Magufuli alitakiwa kuchinjwa lini?
Shahidi - maneno hayo yalitamkwa tarehe 16/2/2018
Kibatala - Ni kweli alisema kesho yake wakamchinje?
Shahidi - Sahihi
Kibatala - alisema wakamchinje Magufuli tarehe ngapi, mwezi gani, na mwaka gani?
Shahidi -
Kibatala - Wewe ni mtaalam wa lugha zote Tanzania?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu maudhui (content) kuchinja katika Uchaguzi, hujui kuna vichinjio, kadi ya mpiga kura?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu uchaguzi ulifanyika kwa mujibu wa Katiba, sheria na sio kwa hisani ya mtu?
Shahidi - sahihi
Kibatala - Magufuli amechinjwa hajachinjwa?
Shahidi - Magufuli hajachinjwa
Kibatala - Nani alikamatwa akijaribu kumchinja Magufuli?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Kadi ya kura ni kichinjio?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Kibatala, Mhe Halima Mdee alisema tukamchinje Magufuli na utawala wake?
Shahidi -
Kibatala - Unafahamu hadi saa 12 jioni, kesho ikiwa ni uchaguzi Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni alikuwa hajatoa viapo vya mawakala wa Chadema?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Hivi viapo ni haki ya kisheria au hisani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajua zinatolewa kwa utaratibu gani?
Shahidi Sifahamu
Kibatala - Mbowe alisema hatutaki fujo, hatutaua hata inzi?
Shahidi - Ni sahihi
Kibatala - Ni sahihi aliyasema maneno haya akitaka kuelekea kwa Mkurugenzi kuchukua viapo, barua za utambukisho wa mawakala?
Shahidi - Sahihi
Kibatala - Washtakiwa wote walihojiwa walionyeshwa video, wewe uliwahi kuwapa ofisi ya upelelezi kielelezo P.5 ?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi wewe hukuwahi kuwapa polisi P.5 ili kiwasaidie kuwahoji washtakiwa?
Shahidi - sijawapa
Kibatala - Unasisitiza washtakiwa walihojiwa na video nyingine kabisa sio yako?
Shahidi - sahihi
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha hatua ya maandamano au hakionyeshi?
Shahidi - Kinaonyesha maandamano kuanzia uwanjani
Kibatala - Mpaka wapi?
Shahidi - Kama nilivyoeleza katika ushahidi wangu wa awali kazi yangu ilikuwa ni kupiga picha pale kwenye viwanja vya Bui Bui tu?
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha maandamano yaliishia wapi?
Shahidi - Sifahamu
Kielelezo P.5 kinaonyesha maandamano yaliishia wapi?
Shahidi - Maeneo ya Kinondoni
Kibatala - Kinondoni ipi?
Shahidi - Mkwajuni
Kibatala - Ni sahihi kuna bonde hivi kuelekea Magomeni?
Shahidi - .........
Kibatala - Picha ulipiga ulikuwa kwenye gari au?
Shahidi - Nikiwa kwenye gari
Kibatala - gari ya aina gani, namba za gari?
Shahidi - Ushahidi wangu wa awali nilishaeleza
Kibatala - Gari gani au ya Nani
Shahidi - OCD
Kibatala - Jina lake?
Shahidi - Doto
Kibatala - alikuwepo Mkuu wa upelelezi ?
Shahidi - Siwezi kufahamu
Kibatala - Kwa ufahamu wako kuna waandishi wa habari walikuwa wanarekodi ?
Shahidi - Sifahamu kama walipiga picha au waliondoka
Kibatala - Kwenye kielelezo P.5 video ukiangalia unaona hata mtu mmoja ameshika mawe, fimbo, marungu, panga?
Shahidi - sikuona
Kibatala - Ni sahihi kwenye mkutano walikuwepo police officers mbalimbali ?
Shahidi - Sahihi walikuwepo
Kibatala - Tukienda kuangalia kielelezo P.5 tutaona wananchi wakishambulia polisi?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Angalau wananchi wakizomea polisi?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha Kiongozi yoyote wa Chadema akirusha mawe?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Ni Kiongozi gani alisema tukaandamane?
Shahidi - Mhe Mbowe
Kibatala - Mwambie Hakimu Salum Mwalim alisema maneno gani ambayo yanavunja sheria?
Shahidi - tarehe 16/2/2018 alisema, wananchi wafuatilie familia zao
Kibatala - Ni sahihi kwamba kwa sababu ilikuwa Ijumaa, aliienda msikitini akaswali akawa amefunga, ameomba vitu vingi kwamba watakaomdhulumu katika Uchaguzi wafuatilie familia zao wazione, dua zitawapata, watawahukumiwa na Mungu, katika muktadha huo?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Mimi ukinidhulumu, nikaapa Wallah Wallah Mungu akuue ni kosa la jinai?
Shahidi - Ni kosa ni kutishia kuua
Kibatala - Kosa linaitwaje?
Shahidi - Kutishia kuua kwa maneno
Kibatala - Wakati Wakili wa Serikali anasoma hati ya Mashtaka alisoma kosa la kutishia kwa maneno?
Shahidi - Halijasomwa
Kibatala - Mhe Mnyika alisema nini?
Shahidi - Mimi kazi yangu nilienda kupiga picha, sijui alisema nini
Kibatala - Ester Matiko aliongea kipi ambacho ni kosa la jinai?
Shahidi - Sikumbuki
Kibatala - Halima Mdee alisema sihitaji kusimulia madhila yote yanayomkumba kila mmoja wetu, haya yanatokana na utawala wa awamu ya 5, kesho tukamchinje Magufuli na vibaraka wake, kosa liko wapi?
Shahidi - ilisababisha chuki dhidi ya wananchi
Kibatala - dhidi ya Nani?
Shahidi - Serikali
Kibatala - Ni kosa kumchukia Rais na Serikali, hujamrushia mawe hujamtukana, ni kosa kumchukia?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Mhe Halima Mdee alisema wampige mawe?
Shahidi - mimi kwa ufahamu wangu naona Ni kupandikiza chuki
Kibatala - baada ya kupandikiza chuki alisema waende Ikulu wakarushe mawe?
Shahidi - Kielelezo P.5 Kinaonyesha maneno hayo
Kibatala - alichochea wampige mawe Rais Magufuli?
Shahidi - sijasikia
Kibatala - Ni sahihi maneno haya yalisemwa siku moja kabla ya Uchaguzi wa marudio Jimbo la Kinondoni?
Shahidi - tarehe 16/2/2018
Kibatala - tumejipa kibali kutangulia mbele ya haki, Niko hapa kuliandaa Taifa, Afrika Kusini Jacob Zuma ametolewa kwa nguvu ya watu, hatima ya nchi hii ipo mikononi mwa wananchi, tupo tayari kubeba majeneza lakini nchi ikakombolewe, Kuna tatizo gani ?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - kesho patachimbika, watu wanauawa, wanapotea wanatekwa tabia hiyo lazima ikomeshwe, ni kesho yake patachimbika au ?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Unafahamu iwapo kesho patachimbika ni kwamba wanachadema wajitokeze kwa wingi wakapige kura ?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu kuna watu wameokotwa kwenye mitaro, wamepotea wengine?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unafahamu Boss wako wa zamani Waziri wa Mambo ya ndani Mwigulu Nchemba akiwahi kusema ile miili iliyookotwa ni wahamiaji haramu?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - tabia ya kuteka watu, kupitezwa tabia hiyo lazima ikomeshwe unajua Mhe Heche alitaka tabia hiyo ikomeshwe kwa namna gani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajuaje ili ukomeshwe wananchi wachague mgombea ambae atawatetea na kupipigia kelele tabia hiyo kwa nguvu ili ikome?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajua ni mapambano ya aina gani ambayo Mhe Mbowe alisema atayaongoza ?
Shahidi - sijui
Kibatala - watu 100 watakao kufa wataleta haki ulijua watakufaje?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - nchi hii inadharaulika wanaume kama mademu, kuna mwandishi amepotea siku ya 87 leo, waliokuwa wanaambiwa wanaume kama mademu ni watu gani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Nini kilitokea mpaka ukakimbia ?
Shahidi - vurugu na ghasia
Kibatala - Ulitishiwa kufanywa nini ukakimbia?
Shahidi - maneno ya kutishia
Kibatala - maneno gani ya mshtakiwa gani yalikufanya kuondoka uwanjani uwepo Mkwajuni?
Shahidi -
Kibatala - Kutoka uwanja wa Bui Bui Mwananyamala hadi Mkwajuni ukikadiria kuna umbali gani?
Shahidi - sijui
Kibatala - kielelezo P.5 kinaonyesha ukishambuliwa?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Watu waliokushambulia wako hapa?
Shahidi - Hawapo
Kibatala - Ulishambuliwa hukushambuliwa?
Shahidi -
Kibatala - Ester Bulaya alisemaje?
Shahidi - Sikumbuki yote mpaka tuangalie video lakini nakumbuka vita Ni vita mura
Kibatala - Unajua alimshinda gwiji wa siasa, Wasira katika Jimbo la Bunda Mjini?
Shahidi - sifahamu
Kibatala - maneno haya alitamka tarehe 16/2/2018 alitamka Kama alivyoshinda Bunda ndivyo watakavyoshinda Jimbo la Kinondoni vita ni vita mura?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unajua hii ni kauli ya kupeana hari hata wakati wa kulima shamba au kufanya bila kukata tamaa?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ni sahihi alisema kule kwetu Musoma Vita ni vita?
Shahidi - ..........
Kibatala - maneno ya Nhe Peter Msigwa alisemaje?
Shahidi - watu watembee na silaha
Kibatala - Ni Sahihi alisema haihitaji kibali cha polisi kutembea na panga rungu mkuki au fimbo ?
Shahidi - yapo kwenye kielelezo P.5
Kibatala - inahitaji kibali cha polisi kutembea na rungu, panga, fimbo au mkuki?
Shahidi - inategemea
Kibatala - inategemea Nini?
Shahidi - inategemea na mandhari, inajulikana wamasai ndio wanatembea na fimbo na silaha
Kibatala - Unajuaje alimaanisha wamasai?
Shahidi - Sifahamu
*Inaendelea........*
SEHEMU YA II*
WAKILI KIBATALA VS P.W 6 - KOPLO CHARLES
Kibatala - Askari Fikiri na Rahim waliumia siku hiyo kwenye kielelezo P.5 tumeona?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Kuna mahali tumeona Ngichi akitoa ilani kwenye ushahidi wako?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Unajua kilitokea kifo cha Akwilina Akwilin, kwenye kielelezo P.5 tutaona washtakiwa kusababisha kifo hiko?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - tukiangalia kwenye kielelezo P.5 tutaonana wananchi Mkwajuni wakikimbia huku na huku na kufunga maduka?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Kielelezo P.5 kinaonyesha washtakiwa 1 hadi 9 wakiandamana?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Je wanaonekana wamekaa kikao wakijadili jambo?
Shahidi - Hapana
Kibatala - kupitia kielelezo P.5 na uwepo wako pale unaweza kujua idadi ya mawakala?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Tunaomba kupata facility ili tutazame tuweze kumuuliza shahidi maswali zaidi.
*Kesi imeahirishwa dakika 20 kuelekea kwenye chumba maalum kutazama ushahidi wa picha na maswali mengine kuendelea kuulizwa*
*Video Mwita Waitara "Watajaza polisi, tushaanza kazi ya kuwashughulikia polisi kabla hawajatushughulikia, Vijana tushawapa kazi maalum, Vijana washaanza kuifanya kazi hiyo Vizuri, polisi wapotee kabla wananchi hawajapotea, Kama kuna polisi watazuia watu wasilinde kura kesho polisi apotee, kabla wananchi hawajapotea, Vijana wanataka hata sasa wako tayari, na haya maneno namwambia IGP Sirro awaambie Vijana wake watulie tuli kama maji ya mtungi, katika mkutano huu Hakuna Mwananchi wa kawaida wote ni wanajeshi"*
Kibatala - Hakuna kosa la jinai kwenye maneno hayo?
Shahidi - Hakuna kosa
Kibatala - Kwanini Hakuna kosa?
Shahidi - kazi yangu ni kupiga picha, Ila kwa ufahamu wangu hakuna kosa.
Kibatala - polisi watashughulikiwa huoni ni kosa?
Shahid - kwa ufahamu wangu Hakuna kosa
Kibatala - Kuna chochote kiliwatokea maafisa wa polisi baada ya maneno ya Waitara?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Kielelezo P.5 kuna mahali Kinaonyesha haya ni mazingira ya Bui Bui?
Shahidi - Mimi ndiyo nilikuwa nachukuwa kwa hiyo naweza kusema nilirekodi nikiwa uwanja wa Bui Bui
Kibatala - Acha ushahidi wako kuna sehemu yoyote inaonekana ukakua hapa ni uwanja wa Buibui?
Shahidi - vinakwenda sambamba na Mimi ndo naweza kusema nilirekodi eneo gani
Kibatala - Unaweza ukaonyesha kwenye Kielelezo P.5 kwamba hapa ni uwanja wa Buibui?
Shahidi - Hakuna
Kibatala - Ni wapi picha itainyesha ilipigwa tarehe 16/2/2018?
Shahidi - mimi nilikuwepo eneo la tukio hivyo najua tarehe niliyorekodi ilikuwa tarehe 16/2/2018
Kibatala - Kielelezo P.5 inaonyesha tarehe iliyorekodiwa?
Shahidi - Hakuna tarehe
Kibatala - Inaonyesha muda ambao ilianza kurekodi (Duration)?
Shahidi - ndio inaonyesha
Kibatala - Ni sahihi kwamba mpaka unaacha kurekodi ilikuwa na space ya kuweza kuhifadhi picha?
Shahidi - Ndio zilibaki kama dakika 30
Kibatala - Ni sahihi hizo dakika 30 hazikutumika kurekodi yale Mambo niliyokuuliza kwanini hukuyarekodi?
Shahidi- unarekodi matukio muhimu sio kila tukio unarekodi
Kibatala - Kwa ufahamu wako watu kukimbia huko na huko haikuwa matukio muhimu?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Unasema kuna vitu vilikuogofya ukaondoka eneo la tukio ni vitu gani hivyo ambavyo vilikuogofya ambavyo hukuvirekodi?
Shahidi - ngoja ni-play
*Heche kabla Mambosasa hajaja hapa alikuwa Tarime nilishinda akiwa Tarime anajua mziki wetu*
Kibatala - Hayo maneno ndiyo yaliyokutisha?
Shahidi - Baada ya kumtaja Boss wangu na maneno yale ni viashiria vya vurugu na maisha yangu
Kibatala - anayefahamu mziki wa Heche Ni wewee au Mambosasa?
Shahidi - nilijua ni mimi nikiwa miongoni mwao
Kibatala - wewe ni Mambosasa?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Heche ameutaja huo muziki unaujua ni muziki gani?
Shahidi hajautajwa
Kibatala - ulikuwepo Tarime wakati Heche anaonyesha muziki?
Shahidi - sikuwepo
Kibatala - ulishawahi kuongea na Mambosasa kuhusu kilichotokea Tarime?
Shahidi - sijawahi
Kibatala - Unafahamu kwamba Heche ni mwanamuziki mzuri na ndiye anayetunga nyimbo za Chadema?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - Ulitishika na nini hasa hapo?
Shahidi - Hayo yalikuwa Ni maneno yenye viashiria vya uvunjifu wa amani na hata akisema polisi nirekodi nilikuwa ni mimi naambiwa
Kibatala - mstari gani hapo ulikutisha?
Shahidi - yote
*Inaendelea.....*
SEHEMU YA III*
KIBATALA - Uliona kuna kura pale uwanjani zinatakiwa kulindwa?
Shahidi - Hapana
Kibatala - Siku ya tukio ulikuwa umevaa uniform au kiraia?
Shahidi - Uniform
Kibatala - Askari wengine waliondoka au niwewe tu?
Shahidi - sikuona
Kibatala - Waandishi wa habari waliondoka au waliendelea kurekodi?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Kitu kingine kilichokutishia?
Shahidi - Ester Bulaya, aliniambia Askari nirekodi Vizuri
Kibatala - mtu akiakwambia rekodi anakusaidia ufanye kazi kwa ufasaha ni vibaya?
Shahidi - ilikuwa Ni tushio
Kibatala - Uliandika maelezo ya kutishiwa
Shahidi - sikuandika maelezo
Kibatala - katika shtaka la 5, 6, 9 na 10, Kuna mahali Mhe Mbowe alitamka tuandamane ?
Shahidi - Sikusikia/Hakuna
Kibatala - Wapi Mhe Ester Bulaya alisisitiza watu waandamane?
Shahidi - sijaona
Kibatala - Jana Ulisema utamuonyesha Mhe Ester Matiko akiwa uwanja wa Bui Bui
Shahidi - sikusema
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 kinamuonyesha Mhe Mnyika akiwa amefanya mkutano usio halali?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 kinamuonyesha Mhe Mashinji akiwa amefanya mkutano usio halali?
Shahidi - Sijui
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 kinamuonyesha Mhe Msigwa akiwa amefanya mkutano usio halali?
Shahidi - sijui
Kibatala - Wakati unaambiwa nenda kafanye kazi mkutano wa Chadema, uliambiwa ni mkutano halali au sio halali?
Shahidi - Sikuambiwa ni halali au sio halali
Kibatala - Uliambiwa mkutano wa Chama gani?
Shahidi - Chadema
Kibatala - Ni sahihi kwa dakika 56 hukuona afisa wa polisi akisema ondokeni ondokeni mkutano huu sio halali?
Shahidi - sikuona
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 hakionyeshi sehemu inaonyesha ile ni barabara ya Kawawa ?
Shahidi - hakuna
Kibatala - Ni sahihi kielelezo P.5 hakionyeshi watuhumiwa wakiandamana?
Shahidi - hakionyeshi
Kibatala - Ni sahihi Mhe Mbowe alisema hatutaki fujo, hatokufa inzi, tunafuata vitambulisho kwa Mkurugenzi?
Shahidi - Ni sahihi, huwezi kufuata vitambulisho kwa umati wa watu wote ule
Kibatala - hayo maneno aliyasema kuhusiana na tukio gani?
Shahidi - Sifahamu
Kibatala - kwenye kielelezo P.5 kuna mahali Mhe Mbowe anaoneka akiwaambia wananchi wafanye fujo?
Shahidi - Ndio
Kibatala - Tuonyeshe
Shahidi - Anatafuta eneo la Mhe Mbowe
*Bado hajapata, Wakili Kibatala anamuachia Wakili Msomi Jeremiah Mtobesya*
Mtobesya - Unamjua mlalamikaji kwenye kesi hii?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - ikumbushe Mahakama nani alikutuma uende kurekodi mkutano wa Chadema?
Shahidi - RCO
Mtobesya - Ni sahihi ulimpa mrejesho kwa maandishi?
Shahidi - Hapana kwa mdomo
Mtobesya - baada ya kumpa mrejesho kwa mdomo alikwambia ufanyaje?
Shahidi - alisema nitunze ushahidi sababu kuna kesi imefunguliwa
Mtobesya - wewe ndiye uliyerekodi, ukatunza na kuleta mahakamani?
Shahidi - Ni sahihi
Mtobesya - Ieleze Mahakama kama wewe Ni mtaalam wa sauti?
Shahidi - Mimi ni mpiga picha
Mtobesya - Unawezaje ukajua hii ni sauti ya fulani na hii sio fulani?
Shahidi - Picha na sauti
Mtobesya - Kwanini unasema yule ni fulani ndo kasema vile?
Shahidi - sababu nilikuwepo pale nilirekodi
Mtobesya - Sauti ilikusaidia kujua huyu ni fulani?
Shahidi - ndio
Mtobesya - ulishawahi kuleta sauti ili ulinganishe sauti uliyosema uliwasikia wakisema hayo maneno?
Shahidi - sijaleta
Mtobesya - Una utaalamu na kompyuta?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - Unafahamu kitu kinaitwa deep fake?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - nitakuwa Sahihi nikisema matukio yamekatwa katwa kuhaririwa ?
Shahidi - sio sahihi
Mtobesya - Ni sahihi hayakuwa kwenye mtiririko mmoja?
Shahidi - Sijaedit , hiyo Ni kutokana na ku-pause nakuwa nimeacha kurekodi baadae naendelea kwenye tukio lingine
Mtobesya - Uki- pause Ina maana na really life matukio mengine yanapause?
Shahidi - sio kweli
Mtobesya - Ndo nakuuliza kwa hiyo unaacha kurekodi matukio mengine, Yani ukiweka pause na matukio mengine yanakusubiri mpaka nawewe uje uanze kurekodi?
Shahidi - Narekodi tukio la muhimu ambacho sijarekodi sio tukio muhimu
Mtobesya - Tukio ni nini?
Shahidi - Ni kama hapa tulipo ni tukio linaweza likawa recorded au tukio lingine ni kama lile mkutano wa Chadema tarehe 16/2/2018.
Mtobesya - Ni sahihi Jana hukueleza ni jinsi gani hiyo DIV haiwezi kuhaririwa?
Shahidi - sio jana nilieleza tangu ushahidi wangu mwanzo wakati nawasilisha vielelezo hivi mahakamani
Mtobesya - Ni sahihi Jana hukueleza ni jinsi gani hiyo DIV haiwezi kuhaririwa?
Shahidi - nilishaonyesha mwanzo kwenye ushahidi wa mwanzo
Mtobesya - Wapi?
Shahidi - wakati natoa ushahidi mwanzo
Mtobesya - wakati unaweka seal Mahakama ilikuwepo?
Shahidi - Mahakama haikuwepo
Mtobesya - ni Sahihi kuhariri unatumia software na kurekodi ni software?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - Ni sahihi kitu kinachorekodiwa kinaweza kuhaririwa kwa kutumia teknolojia?
Shahidi - Sifahamu
Mtobesya - Isaidie mahakama ni wakati gani wapelelezi walisema itakuwa ni Kielelezo?
Mtobesya - Sikupewa na upelelezi nilipewa na RCO
Mtobesya - Nitakosea nikisema RCO ni Mkuu wa upelelezi?
Shahidi - Hukosei
Mtobesya - ni wakati gani uliwapatia wapelelezi Kielelezo?
Shahidi ..........
Mtobesya - Uliandika statement wakati unakabidhi , uliandika tarehe?
Shahidi - tarehe 16/2/2018
Mtobesya - Baada ya kuandika ulimkabidhi nani?
Shahidi - RCO
Mtobesya - Unajua Kuna teknolojia ya ku-edit watu na sauti?
Shahidi - Sijui
Mtobesya - Ieleze Mahakama ulifundishwa Masuala ya kompyuta na level yako ya kompyuta?
Shahidi - Kawaida tu, kuwasha kompyuta, kutype documents
Mtobesya - Hakuna sehemu umejifunza ku-edit?
Shahidi - Sikumbuki
Mtobesya - Diploma ya Uandishi wa habari umemaliza lini?
Shahidi - 2011
Mtobesya - Almost 8 years
Shahidi - I think so
*Wakili Hekima Mwasipu Vs PW 6 Koplo Charles*
Hekima - Wewe unafanya kazi chini ya RCO?
Shahidi - sahihi
Hekima - Kwa maana hiyo huwezi kufanya chochote bila RCO?
Shahidi - Sahihi
Hekima - Ni sahihi RCO tarehe 16/2/2018 alikutuma kurekodi mkutano wa Chadema?
Shahidi - Ni sahihi
Hekima - Ni sahihi kuna alienda kurekodi mkutano wa Ccm?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Baada ya kurekodi ulipeleka vifaa kwa RCO?
Shahidi - sahihi
Hekima - Ulimwambia nini!
Shahidi - matukio
Hekima - Matukio yapi?
Shahidi - vurugu
Hekima - RCO alikupa taatifa kuna vurugu kupitia vyanzo vyake?
Shahidi - sio sahihi
Hekima - Mpelelezi wa kesi hii unamfahamu
Shahidi - Simfahamu
Hekima - Kwanini unasema hivyo?
Shahidi - kila kesi inakuwa mpelelezi wake
Hekima - Mtu akisema ukicheka polisi na Ccm amefanya kosa?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Ulishawahi kusikia kuna watu wameuawa na kupotea?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Nini maana ya kuchimbika?
Shahidi - vurugu
Hekima - Kuchimbika ni nini?
Shahidi - vurugu
Hekima - Unafahamu wizi unaofanywa na Serikali ya awamu ya tano?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Sahihi Lissu amepigwa risasi
Hekima - ni kosa mtu kukemea mtu kupigwa risasi?
Shahidi - Sifahamu
Hekima - Suluhu ya nchi hii iko mikononi mwa wananchi Unajua maana yake?
Shahidi - Sijui
Hekima - Kusema kubeba majeneza ni kosa?
Shahidi - ni kosa ukiwa kwenye mkutano
Hekima - Unajua maana ya Kama mbwai na iwe mbwai?
Shahidi - Nafahamu
Hekima - Unajua madhila yanayomkumba kila mmoja?
Shahidi - Sijui
Top of Form
Bottom of Form