Hawa wanamuunga mkono Lowassa ktk CCM. Nani mwingine unamjua?

Kama naanza kukuelewa vile!

Lakini kuna uhakika gani mgombea wa upande wa pili atatoka huko kaskazini?
Nyandaigobeko, usianze kumwaga mtama kwenye kuku wengi, wewe unga tela tumfagilie Lowassa mpaka asimamishwe CCM na kuunda timu kama ile ya mbio za nyika za Kenya zinazowatumia good pacemakers!.

CCM Lowassa 2015!.
 
Jmushi, wewe unauliza maswali magumu yanayohitaji majibu mazito. Watu humu wanapenda maswali mepesi yenye kuhitaji majibu rahisi!

Kwa mfano hata ukimuuliza msemaji wa CCM humu jf, kama kweli Lowassa ni gamba, kwa nini wameshindwa kulivua?. Hatakujibu chochote!.

Aliyeulizwa swali hili alikuwa na maneno mengi sana, mbona baada ya kaswali haka naye kapotea?
 
Wacha wewe wazee wa kisukuma marika ya baba zenu mpak leo wana mikono ya sweta.na wapo happy kwa kuwa ndo jadi yao.
Hata wewe pasco usikute unalo mana umeka kiubishani na si kiushindani.
Mwanakili90, hii ni kweli kabisa!, mimi nilijua kwa vile haya ni mambo ya nguoni, watu hawawezi kujua, kumbe wewe umejua!. Sasa ndio umenitangazia hivi wana jf wote wanijue nikoje?!, huku sasa si ndio kunidhalilisha!?.

Mode naomba uifute kwa haraka hii posti ya huyu jamaa hapa aliyosema kuhusu mimi kabla haijasomwa na watu wengi, kwa vile huu ni ukweli na ukweli unauma!.
 
Taja vimali anatomiliki.ili tujue yeye ni kifisadi.
Anamiliki tung'ombe tuchache tuu kule Monduli, na tu nyumba na tuheka tuchache kule.
Huku mjini anamiliki tunyumba tuchache, twa ghorofa chache, tukampuni tuchache, tubiashara tuchache twa dobi, na tushule tuchache, pamoja na tuhisa tuchache twa hapa na pale!.
 
Ooh boy! Lowassa hafai kuwa rais. It is that simple. Anafaa kuwa rafiki, mshikaji, waziri na hata waziri mkuu lakini kuwa rais hafai. Ni jukumu la kila Mtanzania kuhakikisha kuwa Lowassa hawi rais.

kwa ccm kila kitu kinawezakana,kuna siku mlitegemea kuwa na raisi kama kikwete watu mmevuta subira kwamba atajirebisha lkn wapi, kila siku afadhali ya jana.
 
Mkuu nimekuwa nikijiuliza the same toka jana...

Wakuu tukiondoka wneye nadhanria tukajaribu kuhisi hisi kivitendo hii kitu ina ugumu au inacheleweshwa kw sababu fulani
  • Kwa nchi kama Tanzanai ukishwakuwa PM au Rais ni cheo kinakuwa na "kinga" zake na nguvu zake . Nyingie ni za kikatiba nyngine ni za kiprotocol na "kisyestem" tu. Ugumu wa Lowasa unachagiwa na hilo........
  • Kwa style ya kirafii rafiki na uongozi wa JK wa kuuma na kupuliza na kusikilizia .Mimi sishangai
  • Kuna maamuzi magumu ya JK kufanya je afaye maaamuzi kwa mnufaa ya taifa au Chama. JK akimua kufanya the mkapa way kwa manufaa ya chama kuliko taifa basi Lowasa ana % ya "kusafishwa" Lakini JK akiamua kuweka maslahi ya taifa mbele.........
So Lowasa anapumua kwa kasi sababau chache ni hizo. JK yuko njia panda hatumii authority invyotakikana na hajui wapi aelekee l
 
It's good to know kwamba sipo peke yangu ninayetaka EL awe mgombea wa CCM. Kwa sababu kwa baadhi yetu ukisema hivyo hadharani unaonekana kama umeua mtu.
Kuna maswali ya muhimu sana yaliulizwa na EL mbele ya Kikwete na mengine yameulizwa na Pasco humu lakini watu hawataki kuyajibu au wanajifanya hawajayaona maswali.

1: EL alimuuliza JK mbele ya KAMATI KUU
a] Ni kweli kwamba ulikua haujui kinachoendelea kuhusu Richmond kuanzia mwanzo mpaka mkataba uliposainiwa?
b] Kama kweli nina makosa mbona sipelekwi mahakamani?
c] Kama ni tuhuma mbona wewe uliishatuhumiwa na tume ya Sozigwa lakini leo ni rais?

2: Pasco naye ameishauliza mara nyingi, kama kuna watu wanataka kusafisha chama mbona watu waliofikishwa mahakamani kwa rushwa walipigiwa kampeni na chama hichohicho ?

Msitoke nje ya mda, jibuni maswali. Tumepumbazwa sana na "upiganaji" wa uongo wa akina Sitta wa kung'ang'ania kukaa nyumba ya spika wakati ana nyumba ya waziri anayoweza kukaa, na "usafi" wa Membe ambao ukimuuliza mtu Membe ameishawahi kufanya nini huko nyuma cha kufaa kuwa Rais wa nchii watu hawana majibu.
 
Wanabodi, huu utetezi wangu wa Mhe. Lowassa humu jukwaani, umeanza kuzaa matunda, muda si mrefu ninepokea salaam za x-mass toka kwa mhe fulani mkuu sana tuu ambaye sikumtarajia kabisa!.

Salaam hizo ni hizi
A Very Merry Xmas and a Prosperous 2012 Rgds -akamalizia kwa jina lake!

Kama kuna wengine mmepokea salaam kama hiyo, basi nitajua ni zile generated sms za bulk, kama hakuna, basi nimekumbukwa kupitia kinachoendelea kwenye thread hii!

Merry X-mass!.
is that what you are looking for?.....kama ni hivyo basi tuko tofauti sana,nasikitika kupoteza muda wangu mwingi jana kujaribu kujibizana na wewe kwenye hili kamanda.
 
It's good to know kwamba sipo peke yangu ninayetaka EL awe mgombea wa CCM. Kwa sababu kwa baadhi yetu ukisema hivyo hadharani unaonekana kama umeua mtu.
Kuna maswali ya muhimu sana yaliulizwa na EL mbele ya Kikwete na mengine yameulizwa na Pasco humu lakini watu hawataki kuyajibu au wanajifanya hawajayaona maswali.

1: EL alimuuliza JK mbele ya KAMATI KUU
a] Ni kweli kwamba ulikua haujui kinachoendelea kuhusu Richmond kuanzia mwanzo mpaka mkataba uliposainiwa?
b] Kama kweli nina makosa mbona sipelekwi mahakamani?
c] Kama ni tuhuma mbona wewe uliishatuhumiwa na tume ya Sozigwa lakini leo ni rais?

2: Pasco naye ameishauliza mara nyingi, kama kuna watu wanataka kusafisha chama mbona watu waliofikishwa mahakamani kwa rushwa walipigiwa kampeni na chama hichohicho ?

Msitoke nje ya mda, jibuni maswali. Tumepumbazwa sana na "upiganaji" wa uongo wa akina Sitta wa kung'ang'ania kukaa nyumba ya spika wakati ana nyumba ya waziri anayoweza kukaa, na "usafi" wa Membe ambao ukimuuliza mtu Membe ameishawahi kufanya nini huko nyuma cha kufaa kuwa Rais wa nchii watu hawana majibu.

Wakishindwa kuleta majibu ya maswali hayo, wakome unafiki wao na kupakazia watu tuhuma za kijinga.
 
Duh wananchi wanaoishi bila umeme wanamtetea aliwaletea giza, ha! Ha! Ha! Mtu hakuiba anapewa nafasi bungeni ajibu tuhuma anakimbia, sasa anadai alionewa.

- Pasco Mwalimu naye vipi alimuonea bosi aliposema ni mwizi? Wewe mwenyewe umekubali kwamba Lowassa ni shetani sasa unageuka tena vipi mkuu? Lowassa kuondolewa CC haikuwa by accident mnahangaika bure! Hasafishiki!
 
Mkiweka claim hapa JF, muweke na sababu kwa nini tuwaamini. Ama sivyo tutaona majungu tu.
 
Ripoti ya Mwakyembe ni majungu, Mwalimu naye alimfanyia Lowassa majungu, CCM imemtoa CC kwa sababu ya majungu, masikini Lowassa malaika wa Mungu ni yeye tu anayepikiwa Majungu bila makosa! Ha! Ha! Ha! - Le Baharia
 
Ripoti ya Mwakyembe ni majungu, Mwalimu naye alimfanyia Lowassa majungu, CCM imemtoa CC kwa sababu ya majungu, masikini Lowassa malaika wa Mungu ni yeye tu anayepikiwa Majungu bila makosa! Ha! Ha! Ha! - Le Baharia

Usikurupuke.

I have stated before that I have information from reliable sources kwamba Lowassa ni corrupt. Lowassa hakuweza hata kusubiri wahindi wamfuate ofisini, alikuwa anawafuata Upanga alivyokuwa Ardhi.Sihitaji Nyerere, CCM wala Mwakyembe kuniambia kwamba Lowassa ni corrupt.

Ninachosema hapa ni kwamba. Hawa watu wanaokuja hapa JF na kusema fulani na fulani wapo kambi ya Lowassa, na wapo tayari kufa nae, watupe sababu kwa nini tuwamini. Sababu zao ni zipi. Wamaewaona wakitoka katika vikao vya siri hapa na pale etc tect.

Huwezi kuja hapa na kusema tu William Malecela yupo kambi ya Lowassa na yuko tayari kufa kwa ajili ya Lowassa ukategemea tukuamini.

That's what I am talking about.

A little bit of comprehension can go a long way, and a little knowledge, is dangerous indeed.
 
Well, ungeanza kuonyesha evidence za wewe Mwenyewe kumuita Lowassa corrupt and ndio ungekuwa na the authority ya kuuliza evidence za wafuasi wake! Otherwise your reliable source is irrelevant to your very guestion of hard evidence! Ha! Ha! Ha!

- You know mjinga hujifanya anajua sana, mpaka siku akikutana na werevu utaona mapovu yanamtoka kwenye kila kona ya JF! Ha! Ha! Ha! Ha! - Le Baharia
 
Well, ungeanza kuonyesha evidence za wewe Mwenyewe kumuita Lowassa corrupt and ndio ungekuwa na the authority ya kuuliza evidence za wafuasi wake! Otherwise your reliable source is irrelevant to your very guestion of hard evidence! Ha! Ha! Ha!

- You know mjinga hujifanya anajua sana, mpaka siku akikutana na werevu utaona mapovu yanamtoka kwenye kila kona ya JF! Ha! Ha! Ha! Ha! - Le Baharia

Unampa Lowasa nafasi kubwa ya uhusika katika sakata la RICHMOND, tusaidie basi majibu ya hili. Unadhani ni kwa nini JK hajibu chochote kuhusu tuhuma alizopewa na Lowasa.
 
Wacha wewe wazee wa kisukuma marika ya baba zenu mpak leo wana mikono ya sweta.na wapo happy kwa kuwa ndo jadi yao.
Hata wewe pasco usikute unalo mana umeka kiubishani na si kiushindani.
Sa hivi TACAIDS wanaendesha kampeni ya kutahiri bure ktk Mikoa ya Kanda ya ziwa tena wanapita na garinla PA kabisa
 
Jumakidogo Rais wa Jamhuri apoteze muda wake kumjibu mbunge ambaye ni dead politically kama Lowassa are you kidding me or what? I mean Rais amemtoa Lowassa kwenye UPM, amemnyima Umakamu wa CCM, amemuondoa CC, now after all this kweli unahitaji PhD kujua what is coming next to Lowassa from Rais wa African Country aliyechezewa ego mbele ya NEC!

- Juma kweli you cant see Lowassa amekalia kuti kavu?
 
Back
Top Bottom