Sidanganyikiiiii!!!! Msinichanganye nipoteze focus hapa!! Hebu tukumbuke wapi vile tuliishia kwenye yale mambo ya msingi kama kupanga mikakati na kuhamasishana kulinda kura zetu j2, na kuiweka serikali tunayoitaka kazini. Wakubwa tuachane na hawa wafa maji!!kwa hiyo kama ccm wanachaguwana kiundugu, chadema nao wakifanya hivyo ni sawa!!!! Au ulikuwa unataka kumaanisha nini sijui!!!
The Dreamer, asante kwa nondo kali za kilio cha Waislamu, hukuwa na haja ya cut and paste document yote kwenye post yako, ungeweza tuu kuiweka kama attachment, hivyo ku save time kwa wale ambao huwa wana pelusi tuu jf.CCM iko hivi...
Malafyale Umemaliza/Umalile, Tofauti ya CCM na Chadema, Chadema wanangalia sifa kwanza, Linganisha CVs za hao wateule wa CCM na Chadema. CCM wanangalia either Sura, uhusiano na kigogo fulani na kimbelembele cha kukiimbia chama.Zubeda;
Nakushauri siku nyingine tafuta ukweli ndani ya chama chako kabla hujaleta habari kama hii ndani ya JF;hawa chini wafuatao ndiyo baadhi ya walioshinda ktk viti maalum ndani ya CCM
Je Zubeda unajua akina mama hawa ama wazazi wao au waume zao walikuwa au ni akina nani ndani ya CCM?Walioshinda viti maalum CCM ni:
Tina Andrew Chenge -Shinyanga
Namelok Edward Moringe Sokoine-Manyara
Salma Musa Bilal-ZNZ
Anna Margreth Abdallah Msekwa -NGO
Magretth Samwel Sitta-Tabora
Rosemary Kasimbi Kigirini-Mara
Janeth Maurice Masaburi-Dar
Rukia Masasi-Iringa
Zarina Shamte Madabida-Dar
Mboni Mohamed Mhita-youth
Asha Bakari Makame-ZNZ
Aziza unawajua akina mama hao niliowataja juu ndugu zao ndani ya CCM;madudu ya kuwapa vyeo ndugu zao yanaongozwa na CCM na ushahidi ni huo hapo juu ambapo karibu vigogo wote wa CCM wana ndugu zao kwenye viti maalum!
The Dreamer, asante kwa nondo kali za kilio cha Waislamu, hukuwa na haja ya cut and paste document yote kwenye post yako, ungeweza tuu kuiweka kama attachment, hivyo ku save time kwa wale ambao huwa wana pelusi tuu jf.
Mode, saidia kuiattach hiyo document.
wamesahau wafoji vyeti wa botmbona husemi jinsi watoto wa vigogo wa ccm wanavyolisishwa nafasi kwenye chama hicho?
Je Zubeda unajua akina mama hawa ama wazazi wao au waume zao walikuwa au ni akina nani ndani ya CCM?Walioshinda viti maalum CCM ni:
Tina Andrew Chenge -Shinyanga
Namelok Edward Moringe Sokoine-Manyara
Salma Musa Bilal-ZNZ
Anna Margreth Abdallah Msekwa -NGO
Magretth Samwel Sitta-Tabora
Rosemary Kasimbi Kigirini-Mara
Janeth Maurice Masaburi-Dar
Rukia Masasi-Iringa
Zarina Shamte Madabida-Dar
Mboni Mohamed Mhita-youth
Asha Bakari Makame-ZNZ
Aziza unawajua akina mam
Kuwapendekeza wanawake wote walio pata ujasiri wa kugombea majimboni ni jambo la maana sana na lenye kuwaongezea ujasiri wanawake hao mashujaa. Ukiangalia list hiyo hakuna aliyebebwa kwa undugu/uswahiba wake na viongozi ila kila mtu ana lake alilolifanyia chama ambalo kwa wale walio karibu na Chadema wanaelewa.
Hata wasemeje mwaka huu ni kifo cha mende.
Zubeda;
Nakushauri siku nyingine tafuta ukweli ndani ya chama chako kabla hujaleta habari kama hii ndani ya JF;hawa chini wafuatao ndiyo baadhi ya walioshinda ktk viti maalum ndani ya CCM
Je Zubeda unajua akina mama hawa ama wazazi wao au waume zao walikuwa au ni akina nani ndani ya CCM?Walioshinda viti maalum CCM ni:
Tina Andrew Chenge -Shinyanga
Namelok Edward Moringe Sokoine-Manyara
Salma Musa Bilal-ZNZ
Anna Margreth Abdallah Msekwa -NGO
Magretth Samwel Sitta-Tabora
Rosemary Kasimbi Kigirini-Mara
Janeth Maurice Masaburi-Dar
Rukia Masasi-Iringa
Zarina Shamte Madabida-Dar
Mboni Mohamed Mhita-youth
Asha Bakari Makame-ZNZ
Aziza unawajua akina mama hao niliowataja juu ndugu zao ndani ya CCM;madudu ya kuwapa vyeo ndugu zao yanaongozwa na CCM na ushahidi ni huo hapo juu ambapo karibu vigogo wote wa CCM wana ndugu zao kwenye viti maalum!
Yaani nimecheka mpaka mbavu zikauma!!!
Yaani mke wa Slaa, mama mkwe, mtoto wa Ndesamburo, dada wa Mbowe, shemeji wa zitto Kabwe, na ndugu na marafiki wa vigogo wa Chadema wako katika listi ya wabunge wa kuteuliwa!!!!!!!!!!!
Sasa mbona Slaa anatudanganya ktk midahalo na kampeni zake kuwa utawala wake utafuata katiba na sheria!! Undugu na urafiki hautaangaliwa ktk kuchagua viongozi?
SASA CHADEMA MUNAMLAUMU JK KUTUMIA FAMILIA YAKE KTK KAMPENI WAKATI NYINYI MUNACHAGUANA KINDUGU NA KIFAMILIA NA HII NI HATARI ZAIDI!!!
Sasa huu kama sio unafiki ni nini? Tutamuamini vipi slaa kuwaRais wetu? Kama ameweza kuingiza undugu na urafiki ktk uteuzi wao, basi sitashangaa kama ukabila na udini ukipewe nafasi ya juu ktk serikali ya Chadema!!!! Na ushahidi ni huu wa kuteua wabunge wa kuteuliwa zaidi ya asilimia 90 wakiwa ni wa dini moja!!!
Wananchi wenzangu tuwe macho na ahadi na sera za chadema kwani ni za uongo na watairudisha nchi nyuma kimaendeleo!!!
Adabu yao ni kuwanyima kura jumapili na afadhali tuwape CUF ambao ni waadilifu na wala hawana kashfa yoyote isipokuwa fitina na uzushi wa chama hiki cha wa Chagga kuwa CUF ni chama cha waislamu!!!
Lawama hizo zimejidhihirisha kwani katika orodha hiyo, mbali na watoto na ndugu wa vigogo wa chama hicho, pia wabunge wote wa viti maalumu wa Chadema waliomaliza muda wao, wakiwamo wanaogombea katika majimbo ya uchaguzi, wamerudishwa katika orodha hiyo na kupewa nafasi za juu.
Wabunge waliomaliza muda wao walioko katika orodha hiyo ni Lucy Owenya ambaye ni mtoto wa mgombea ubunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo; na ni wa kwanza, jambo linalomhakikishia ubunge ikiwa uteuzi utafanyika kwa kufuata wa kwanza mpaka wa mwisho.
Wengine ni Mhonga Ruhwanya (namba 3), Halima Mdee (5), Grace Kiwelu (9) ambaye ni mkwewe Ndesamburo, Anna Komu (13) na Susan Lyimo (10).
Pia yumo Rose Kamil Sukum (19) ambaye ni mke wa mgombea urais wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa. Aidha, kwa mfumo huo wa Chadema, wagombea ubunge ambao wamo miongoni mwa majina hayo, watajihakikishia ulaji bungeni endapo watashindwa katika majimbo hayo.
Wagombea hao wa majimbo walioko katika orodha hiyo ni Mdee wa Kawe, Leticia Nyerere (16), Kwimba; Regia Mtema (11), Kilombero na Sukum, Hanang. Wengine ni Christina Lissu Mughiwa (20) na Paulina Slaa Narcis (84).
Orodha hiyo pia imewataja Easther Matiko(2), Anna Mallac (4), Paulina Gekul (6), Conjesta Rwamlaza (7), Susan Kiwanga (8), Christowaja Mtinda (12), Mwanamrisho Abama (14), Joyce Mukya (15), Naomi Kaihula (17), Chiku Abwao (18), Raya Hamisi (21), Philipa Mturano (22) na Mariam Msabaha (23).
Wengine ni Rachel Mashishanga (24), Sabrina Sungura (25), Rebecca Mngodo (26), Cecilia Pareso (27), Subira Waziri (28), Leticia Musore (29), Helen Kayanza (30), Rosana Chapita (31), Mona Bitakwate (32), Evarim Mpangama (33), Asha Kayumba (34), Hija Wazee (35), Mary Martin (36), Sophia Mwakagenda (37), Bupe Kyambika (38), Magreth Mangowi (39), Esther Daffi (40), Jane Pesha (41), Aikande Kwayu (42) na Helga Mchomvu (43).
Pia orodha hiyo iliwataja walioteuliwa kuwa ni Rebecca Magwisha (44), Neema Msuya (45), Anastazia Manyanda (46), Selina Nguma (47), Bertha Matanwa (48), Christina Ngola (49), Lydia Mwaipaja (50), Zaituni Lubinza (51), Adelastela Kilindi (52), Hawa Mwaifunga (53), Loyce Iboma (54) na Rita Kanoro (55).
HabariLeo | Siri ya wabunge viti maalumu Chadema yavuja