Hawa ndiyo wabunge wa viti Maalum CHADEMA, CCM na CUF

Lawama hizo zimejidhihirisha kwani katika orodha hiyo, mbali na watoto na ndugu wa vigogo wa chama hicho, pia wabunge wote wa viti maalumu wa Chadema waliomaliza muda wao, wakiwamo wanaogombea katika majimbo ya uchaguzi, wamerudishwa katika orodha hiyo na kupewa nafasi za juu.

Wabunge waliomaliza muda wao walioko katika orodha hiyo ni Lucy Owenya ambaye ni mtoto wa mgombea ubunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo; na ni wa kwanza, jambo linalomhakikishia ubunge ikiwa uteuzi utafanyika kwa kufuata wa kwanza mpaka wa mwisho.

Wengine ni Mhonga Ruhwanya (namba 3), Halima Mdee (5), Grace Kiwelu (9) ambaye ni mkwewe Ndesamburo, Anna Komu (13) na Susan Lyimo (10).


Pia yumo Rose Kamil Sukum (19) ambaye ni mke wa mgombea urais wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa. Aidha, kwa mfumo huo wa Chadema, wagombea ubunge ambao wamo miongoni mwa majina hayo, watajihakikishia ‘ulaji’ bungeni endapo watashindwa katika majimbo hayo.

Wagombea hao wa majimbo walioko katika orodha hiyo ni Mdee wa Kawe, Leticia Nyerere (16), Kwimba; Regia Mtema (11), Kilombero na Sukum, Hanang. Wengine ni Christina Lissu Mughiwa (20) na Paulina Slaa Narcis (84).

Orodha hiyo pia imewataja Easther Matiko(2), Anna Mallac (4), Paulina Gekul (6), Conjesta Rwamlaza (7), Susan Kiwanga (8), Christowaja Mtinda (12), Mwanamrisho Abama (14), Joyce Mukya (15), Naomi Kaihula (17), Chiku Abwao (18), Raya Hamisi (21), Philipa Mturano (22) na Mariam Msabaha (23).

Wengine ni Rachel Mashishanga (24), Sabrina Sungura (25), Rebecca Mngodo (26), Cecilia Pareso (27), Subira Waziri (28), Leticia Musore (29), Helen Kayanza (30), Rosana Chapita (31), Mona Bitakwate (32), Evarim Mpangama (33), Asha Kayumba (34), Hija Wazee (35), Mary Martin (36), Sophia Mwakagenda (37), Bupe Kyambika (38), Magreth Mangowi (39), Esther Daffi (40), Jane Pesha (41), Aikande Kwayu (42) na Helga Mchomvu (43).

Pia orodha hiyo iliwataja walioteuliwa kuwa ni Rebecca Magwisha (44), Neema Msuya (45), Anastazia Manyanda (46), Selina Nguma (47), Bertha Matanwa (48), Christina Ngola (49), Lydia Mwaipaja (50), Zaituni Lubinza (51), Adelastela Kilindi (52), Hawa Mwaifunga (53), Loyce Iboma (54) na Rita Kanoro (55).

HabariLeo | Siri ya wabunge viti maalumu Chadema yavuja

Kweli hawa jamaa wamekomaa kwa udini,angalia kati ya wabunge waliopendekezwa 55 wote ni akina sisi na wale wa upande mwingine ni 9 tuu na vile vile bado hawana nafasi ya kuteuliwa kulingana na namba zao.
 
JF :nono::nono: Watu wanataka change, sasa kama change ndio hivyo!? :nono::nono::nono:

CCM tumesha walima sana na mambo ya undugu, urafiki....and I was expecting no special treatment for Chadema or any other party that wants to run this country. Stop making excuses for these politicians..I was expecting an open nonbiased discussion, which I guess now JF has lost it because of few/many party puppets...

If you don't see a problem there, then no wonder CCM will run this country for few more terms...CHANGE MY ***!!
 
Mbona umemsahau Anna Komu,Halima Mdee,Mhonga Ruhwanya mbona umesahau kamati ya kampeni uchaguzi ya JK imejaa upande mmoja? acha mambo ya udini tujenge nchi.
 
Kweli hawa jamaa wamekomaa kwa udini,angalia kati ya wabunge waliopendekezwa 55 wote ni akina sisi na wale wa upande mwingine ni 9 tuu na vile vile bado hawana nafasi ya kuteuliwa kulingana na namba zao.

Wacha udini, hoja sio dini zao...
 
Kweli hawa jamaa wamekomaa kwa udini,angalia kati ya wabunge waliopendekezwa 55 wote ni akina sisi na wale wa upande mwingine ni 9 tuu na vile vile bado hawana nafasi ya kuteuliwa kulingana na namba zao.

CHEKI HIZO DETAILS

mbea
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-online.png
Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Tue Oct 2010
Posts 75
Thanks 4
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power 21

:nono: Umetumwa nini? (avoid religious conflict)
 
CCM ni mna caliber gani ya kuunyoshea kidole uteuzi chadema?
Macho yenu yana maboriti makubwa, halafu mnang'ang'a kuangalia kibanzi kwa wenzenu! Mgombea wenu kwanza hawataki na amesema hamwamini mtu yeyote ndio maaana familia nzima wako kwenye campaign trail. Mnaojitia kimbelembele zimebaki siku 3 tu mnasahaulike tena kwa miaka 5
 
Wanataka kutiana pressure tu,,, viti vyenyewe watakavyopata hata 10 havifiki,, labda wapeane kwa zamu mwaka mmoja anapishwa mwengine

teh teh teh....
 
WANA-JF mnakumbuka Dr.Slaa alikwisha onya kuwa siku 3 kabla ya uchaguzi uzishi utaandikwa sana kwenye vyombo vya habari vya serikali.Kwa hiyo haya yaliyoandikwa hayatabadilisha uamuzi wetu kwani RAIS MTARAJIWA ALITUONYA Kuwa tusibabaike ni uzushi tuuuuu.CHAGUA CHADEMA CHAGUA MAENDELEO.
 
kumbe habari hizi zatoka daily news????????????wala sishangai, au kuna gazeti jingine lilioandika habari hizi?????lazima mtambue ya kwamba wengi wtu twakipenda chama but si wanachama, so ww ulitaka wakupe ww usie mwanachama wala hukufwata procedure? nahisi daily news lataka liongeze mauzo leo.haki ya mtu huwa haipotei,inacheleweshwa tu..MUNGU BARIKI CHADEMA
 
Lawama hizo zimejidhihirisha kwani katika orodha hiyo, mbali na watoto na ndugu wa vigogo wa chama hicho, pia wabunge wote wa viti maalumu wa Chadema waliomaliza muda wao, wakiwamo wanaogombea katika majimbo ya uchaguzi, wamerudishwa katika orodha hiyo na kupewa nafasi za juu.

Wabunge waliomaliza muda wao walioko katika orodha hiyo ni Lucy Owenya ambaye ni mtoto wa mgombea ubunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo; na ni wa kwanza, jambo linalomhakikishia ubunge ikiwa uteuzi utafanyika kwa kufuata wa kwanza mpaka wa mwisho.

Wengine ni Mhonga Ruhwanya (namba 3), Halima Mdee (5), Grace Kiwelu (9) ambaye ni mkwewe Ndesamburo, Anna Komu (13) na Susan Lyimo (10).


Pia yumo Rose Kamil Sukum (19) ambaye ni mke wa mgombea urais wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa. Aidha, kwa mfumo huo wa Chadema, wagombea ubunge ambao wamo miongoni mwa majina hayo, watajihakikishia ‘ulaji’ bungeni endapo watashindwa katika majimbo hayo.

Wagombea hao wa majimbo walioko katika orodha hiyo ni Mdee wa Kawe, Leticia Nyerere (16), Kwimba; Regia Mtema (11), Kilombero na Sukum, Hanang. Wengine ni Christina Lissu Mughiwa (20) na Paulina Slaa Narcis (84).

Orodha hiyo pia imewataja Easther Matiko(2), Anna Mallac (4), Paulina Gekul (6), Conjesta Rwamlaza (7), Susan Kiwanga (8), Christowaja Mtinda (12), Mwanamrisho Abama (14), Joyce Mukya (15), Naomi Kaihula (17), Chiku Abwao (18), Raya Hamisi (21), Philipa Mturano (22) na Mariam Msabaha (23).

Wengine ni Rachel Mashishanga (24), Sabrina Sungura (25), Rebecca Mngodo (26), Cecilia Pareso (27), Subira Waziri (28), Leticia Musore (29), Helen Kayanza (30), Rosana Chapita (31), Mona Bitakwate (32), Evarim Mpangama (33), Asha Kayumba (34), Hija Wazee (35), Mary Martin (36), Sophia Mwakagenda (37), Bupe Kyambika (38), Magreth Mangowi (39), Esther Daffi (40), Jane Pesha (41), Aikande Kwayu (42) na Helga Mchomvu (43).

Pia orodha hiyo iliwataja walioteuliwa kuwa ni Rebecca Magwisha (44), Neema Msuya (45), Anastazia Manyanda (46), Selina Nguma (47), Bertha Matanwa (48), Christina Ngola (49), Lydia Mwaipaja (50), Zaituni Lubinza (51), Adelastela Kilindi (52), Hawa Mwaifunga (53), Loyce Iboma (54) na Rita Kanoro (55).

HabariLeo | Siri ya wabunge viti maalumu Chadema yavuja

Walichaguliwa na nani?
 
Kweli hawa jamaa wamekomaa kwa udini,angalia kati ya wabunge waliopendekezwa 55 wote ni akina sisi na wale wa upande mwingine ni 9 tuu na vile vile bado hawana nafasi ya kuteuliwa kulingana na namba zao.

Kuna gazeti nilikuwa nasoma leo kuhusu CCM na linasema: Mgombea urais ni Dr Jakaya Kikwete, mgombea mwenza Dr Bilali na kule Zanzibar ni Dr Shein. Inaonekana hapa kuna balance ya kidini!
 
baba, mama na mtoto bungeni pamoja ..........................perfect!

Msekwa alikuwa na mkewe bungeni; Sitta alikuwa na mkewe bungeni; Malecela alikuwa bungeni na mkewe.............list goes on!!! Hakuna kigeni TZ hii...........!!
 
JF :nono::nono: Watu wanataka change, sasa kama change ndio hivyo!? :nono::nono::nono:

CCM tumesha walima sana na mambo ya undugu, urafiki....and I was expecting no special treatment for Chadema or any other party that wants to run this country. Stop making excuses for these politicians..I was expecting an open nonbiased discussion, which I guess now JF has lost it because of few/many party puppets...

If you don't see a problem there, then no wonder CCM will run this country for few more terms...CHANGE MY ***!!

We don't want speculations. We want facts that they have been chosen on religious grounds and when! We should not invent things in thin air. Why should we waste time discussing something which doesn't exist yet?
 
Back
Top Bottom