de'levis
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,222
- 1,567
ndio amerudi lakini bado anaumwa sana....mgongo wake bado unashida na hawei kusimama na kutembea bila magongo.......anahitaji kupumzika mda mrefu zaidi........lakini pia naomba asiache alivyoelekezwa na hili ntamkumbusha....kuna watu wamefumba jicho moja dhidi yahuyu mheshimiwa