BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
Nimeamini na mimi kuwa wanaume wameisha wamebaki watoto wa kiume
kabisa.....
Hawajui wajibu wao wanaongoza ndoa kwa ubabe.... Hawajui mke ni ua , penzi haliendeshwi kwa ubabe bali mahaba....tazama sasa wajanja washalamba asali yake... Hahahahaaaa