Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,068
Huu ni udhalilishaji kabisa!
Mwanaume mwenzangu yani unarudia tena kuandika hayo maneno mkuu!
Kweli unadhani ni ushindi kumnyima haki yake mkeo?
Hadi ana kuomba msamaha unafikiri hajapata suluhu ya kukosa haki yake kwako na kaanza kuipata kwingine na hapo ufikiri kama unachezewa akili?
(Lakini kwa haya wewe una stahili kufanyiwa hivyo)
Siamini kama mwanaume anaweza aka jiona mwamba kwa matendo kama yako.
Kila lakheri.
Mwanaume mwenzangu yani unarudia tena kuandika hayo maneno mkuu!
Kweli unadhani ni ushindi kumnyima haki yake mkeo?
Hadi ana kuomba msamaha unafikiri hajapata suluhu ya kukosa haki yake kwako na kaanza kuipata kwingine na hapo ufikiri kama unachezewa akili?
(Lakini kwa haya wewe una stahili kufanyiwa hivyo)
Siamini kama mwanaume anaweza aka jiona mwamba kwa matendo kama yako.
Kila lakheri.