Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 223
- 550
Habari wana Jukwaa.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.