Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,400
- 20,661
Mmekula buku ten ten na kumpa kura sasa akili zimerudi mnakuja kulia JF.
Naona Tumbili amekuja kivingineHabari wana Jukwaa.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Kwani waliompigia kura wanatoma Jimbo tofauti na Kigoma Kusini?Habari wana Jukwaa.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Wewe umetumwa na Kafulila sio bure,Habari wana Jukwaa.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Wewe ni mjinga zaidiWatu wa Kigoma kusini Ni wajinga Sana sijui kwa Nini wamemchagua Huyo mama Tena.
Wewe ni muongo, wakati wa Kafulila hapakuwa na barabara, ambulances, madaraja pamoja na bandari sasa hivi vyote vipo kuanzia Uvinza mpaka Kalya, usitusemee wanakigoma KusiniAlikuwa Mbunge 2015-2020 Hafai kabisa akipata mengine mitano watu watanena kwa lugha kwa kukosa muwakilishi.
Wewe kafulila hio ndo imetoka umekosa u RAS na ubunge Sasa endelea kumkosoa zitto kwenye mabandiko yake labda utahurumiwa 2015 ulishinda sema maccm yakakuzulumu leo unashindwa hata kuscore kura 50?umejishushia heshima kwa tamaa za kijinga hv ulifikiri ccm wamuache kada wao wakuchague wewe msalitiHabari wana Jukwaa.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Hasna kijijini kwao ni kata ya Buhingu kijiji cha Nkonkwa kitongoji cha Katembwe.Nimekuuliza niwapi hapa Tz walichagua mbunge anaejielewa hasa kutoka ndani ya CCM?. Jimbo la Kigoma kusini nimefika mara nyingi na napafaham vizuri nimoja ya jimbo linalojitahidi kubadilisha wabunge kadri wa wezavyo na hakuna mbunge alielitumikia hilo jimbo vipindi viwili vinavyofuatana.
1995-2000(Msambia)
2000-2005(Kifu)
2005-2010(Msambia)
2010-2015 (Kafulila)
2015-2020 (Husna)
Kwa mlolongo huo unasemaje hawajitambui kama wananchi wanabadili mbunge kila baada ya miaka mitano?. Nahapo kuna wabunge wawili kutoka NCCR MAGEUZI ingawa wote kwa sasa walishahamia ccm ,kama uchaguzi ukiwa huru na haki nakama huyo Husna hakufanya Jambo la maana basi watampiga chini. Hilo jimbo nalifahamu vizuri maana ndio kwao ni bimkubwa.
Hiyo ndio sababu kuuIsije kuwa kamgaragaza Kafulila ndio maana mna mchafukia huyu mshindi.
Naona mshatumwa,mmeanza kujaa hapa, Kama anaweza mwambie aende Uvinza,Nguruka akafanye mikutano Kama hatohutubia mawe...hapendwii sijui hata anapitaje pitaje huyu mama.Hasna kijijini kwao ni kata ya Buhingu kijiji cha Nkonkwa kitongoji cha Katembwe.
Kafanya makubwa zaidi ya watangulizi wake hasa katika kata za ziwani.
Amefanikisha ujenzi wa madaraja kutokea Ilagala mpaka hifadhi ya Mahale, magari ya wangonjwa kwaajili ya kata za ziwani Buhingu, Kalya, Igalula na Sigunga, vilevile amefanikisha uchongaji wa barabara ya vumbi kutokea Simbo mpaka hifadhi ya Mahale na Kalya bila kusahau ujenzi wa bandari katika kata za Kalya na Buhingu.
Umefanikisha kuleta umeme wa kampuni ya JUMEME na Power Corner.
Huyu mama kafanya makubwa zaidi ya hao wengine ndio maana, wajumbe wameamua kumpitisha tena na wananchi bado wanaimani nae kwa haya aliyofanya.
Kafulila anatamaa ya madaraka, kateuliwa U-RAS lakini akaona hajatosheka kiasi cha kumdhalilisha Mh.Rais.Sawa kafulila uliambiwa usiwe na tamaa matokeo yake umeangukia pua, mwache Asina ajimwambafai
Mwambie Kafulila akafanye mkutano kata za ziwani uone kama atapata hata mbu.Naona mshatumwa,mmeanza kujaa hapa, Kama anaweza mwambie aende Uvinza,Nguruka akafanye mikutano Kama hatohutubia mawe...hapendwii sijui hata anapitaje pitaje huyu mama.
Wewe utakuwa ni Kafulila tu. Huna lolote wana kigoma wamekukataa sasa unaanza majungu yasiyo na maana yeyote. Kama angekuwa hana kauli nzuri , hafiki jimboni na hana msaada na wananchi wake je mbona wamemchagua tena kwa kishindo? Au unataka kutuambia wajumbe waliomchagua sio wakazi wa jimbo hilo? Acha ushamba wewe kama umeahindwa we kubali matokeo tuHabari wana Jukwaa.
Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.
Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.
Kwanini amechokwa?
1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.
2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.
3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.
4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.
5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.
Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Mkuu naomba tuelewane kidogo Mimi siko Namtetea Kafulila, Kwa sababu hata Uvinza mwao alikozaliwa hakubaliki na Hawezi kushinda...Tunachohitaji asimame mgombea tofauti na Hasna na Kafulila kea sababu wote wawili utendaji kazi wao jimboni ulikuwa hafifu...Akipitishwa Hasna au Kafulila Nina uhakika 97% Jimbo linaenda upinzaniMwambie Kafulila akafanye mkutano kata za ziwani uone kama atapata hata mbu.
Kwanza wananchi hawamkubali, yule jamaa anadharau sana kwa wananchi hasa wa kata za ziwani.
Tangu apate Ubunge 2010 hakuwa kurudi jimboni mpaka 2015 kipindi cha kampeni.
Unataka wanakigoma Kusini tufanye nini zaidi ya kumkataa?
Mwambie Kafulila akafanye mkutano kata za ziwani uone kama atapata hata mbu.
Kwanza wananchi hawamkubali, yule jamaa anadharau sana kwa wananchi hasa wa kata za ziwani.
Tangu apate Ubunge 2010 hakuwa kurudi jimboni mpaka 2015 kipindi cha kampeni.
Unataka wanakigoma Kusini tufanye nini zaidi ya kumkataa?
Tumbili kapoteza uras kizembe sijui kwanini hatulii sehemuNaona Tumbili amekuja kivingine