Hasira hazijatosha, haiwezekani JK adharau na sisi tukae kimya..!

Pinda ni zaid ya waziri mkuu watanzania tumuunge mkono ktk harakati zake za kuleta maendeleo ya taifa letu.
 
Hatuna budi kujichunguza kiundani kabisa kwa lengo la kujitambua sisi ni akina nani na tunaazimia kuwa nani,na tumetoka wapi tuko wapi tumetoka wapi na tumeamua kwenda wapi na kwa kwa kutumia njia gani,
tumejionea wenyewe jinsi gani ccm inavoendesha mambo yake,hakuna atakae laumiwa isipokuwa ni sisi wenyewe watanzania masikini na kwa dhambi ya kutofanya maamuzi sahihi Mungu atatuadhibu vikali
 
kushuhudia us***e huu unaofanywa na jk. Mpaka sasa siamini kama kuna rais atakayetokea duniani asiyejari matakwa ya watu kama huyu. Zamani nilikua nadhani nchi zilizoingia kwenye vita wananchi wake sio wavumilivu,kumbe loh wanalazimishwa. Kwa sasa mi nipo tayari kwa lolote.
 
Ninawaomba vijana wa Tanzania, bila ya kujali itikadi ya vyama vya siasa wala dini, tuwe kitu kimoja katika ukombozi wa Tanzania kutoka kwa makucha ya watawala dhalimu, waonevu, na mafisadi kutoka kundi dogo la wakoloni weusi, wanaotuletea ufukara, magonjwa, na ujinga katika nchi yetu.


Ni wakati wa kushikamana kudai uhuru wa mtanzania

NI wakati wa kuwa wamoja kupigania heshima katika nchi yetu

Ni wakati wa kuanzisha mapambano na wakoloni

Ni wakati wa kusema tumewavumilia tumechoka

Ni wakati wa wamachinga kufurahia mandunda ya uhuru

Ni wakati wa wakoloni kurudi kwao

Ni wakati wa mnyonge kutabasamu

Ni wakati wa waliovunjika moyo, kupata ujasiri

Ni wakati wa waliokuwa wanacheka, kulia.
Ni wakati wa kusahau huzuni zetu

Ni wakati wa mtanzania kufutwa machozi

Ni wakati wa polisi kuacha kuua raia

Ni wakati wa mahakama zetu kuwa huru

Ni wakati wa mama zetu kujifungua salama

Ni wakati wa machangudoa kufanya kazi ofisini

Ni wakati wa....................................
 
Utafiti wa hivi karibuni unaonesha kuwa zaidi ya 60% ya watanzania wanashiriki sana ktk mambo ya kishirikina. Huyu jamaa hawezi kufanya maamuzi ya kisayansi. Jambo pekee atakalo weza kufanya ni lile atakalo kuwa ameshauriwa na waganga/wachawi/washirikina na wanajimu a.k.a kamati ya ufundi. Hili la hoja ya bunge halijawasilishwa kwenye kamati ya ufundi ama kamati ya ufundi bado inalifanyia kazi ndio maana haliwezi kutolewa uamuzi mara moja. hii nazi ya bagamoyo ni Mungu tu atakayeipasua
 
katika hali ya kuogofya ya madaraka makubwa aliyonayo rais wa JMT imepelekea kudharau mapendekezo ya bunge juu ya kuwawajibisha mawaziri ambao ni wateule wa rais . Taarifa za kamati zimekuwa kama ujinga tu na umbeya mbele ya serikali.

Ni aibu kwa bunge ambalo limekuwa likitaka uwajibikaji wa serikali kudharauliwa pale Pinda aliahirisha bunge bila kugusia ubadhirifu wa pesa za umma. Rais ndo mambo yote na ndie amir jeshi mkuu na hakuna wa kumgusa. kwa bunge na kuhitimisha bunge.
 
Kwanza nampa heko Zito kwa kazi kubwa; haijalishi kitakachofuata, amediriki na hii ndio njia ya Ukombozi wa kweli mbele ya macho hali mkitazamana mnapeana ukweli.

Plan B: Kwa kuwa hatua hiyo inapotezewa na PM na wahusika wengine, ni wakati wa Wananchi kuzungumza, hapa hatuna kanuni wala sheria wala mipaka ya muda, kwetu tuna jambo moja kubwa. Ni wenye nchi, waumiaji na tunaopaswa kuchukua maamuzi mazito.

1. Napendekeza ziwepo 'forms' katika kila Wilaya, ama Kata ambazo zitakusanya sahihi za Wananchi waliokata tamaa na Serikali iliyoko madarakani.--Itahitaji kuwa na wasimamizi, hapa nahitaji ushauri. Fomu hizo zikusanye majina halisi, simu na sahihi za kutaka mabadiliko. Fomu hizi ziratibiwe na kamati hiyo hiyo iliyokwisha anza zoezi la kushughulika na Waziri Mkuu na Mawaziri wengine.

2. Fomu hizi zipelekwe Bungeni ikiwa ni Sauti ya Wananchi pasipo kujali vizuizi.

3. Bunge liruhusu ajenda ya kutokuwa na Imani si na baadhi ya mawaziri bali Serikali nzima


4. Wananchi wajipange kwa hatua ya 'Civil Disobedience' hadi pale mambo yatakapobadilika.
Mfumo wa civil disobedience ndio uliotumika na akina Martin Luther King hadi wakapata haki yao. Kwetu tuutumie kushinikiza mambo ambayo tunaona siasa zinaendelea kuyapuuza hali tunaumia na wao wakiongeza posho. Nia ya Civil Disobedience iwe ni total palalysis ya nchi, hadi haki ipatikane.

SIO WAKATI WA KULALAMA NI WAKATI WA KUTENDA, INAWEZEKANA TUSIMAME PAMOJA KUDAI HAKI ZETU.

We Shall Overcome, Deep in My heart I do believe we shall Overcome so soon

Nawakilisha.
 
Serikali ya Tanzania ni dhahiri sasa ni namba moja duniani kwa wizi wa mali za umma.Umaskini wetu tulio nao watanzania ni kwa sababu ya Rais dhaifu na ambaye hana huruma na umaskini wa wananchi wake. Mungu ametupa utajiri wa asili lakini kinachopatikana kinaliwa na mchwa wa serikali ya ccm.

Rais, MP, Mawaziri hadi mtendaji wa kijiji wa ccm ni wezi na hawawezi kukamatana kwakuwa wizi ndiyo jadi ya chama ccm. Lakini wakumbuke kwamba CHAKULA KIPATIKANACHO KWA UDANGANYIFU NI KITAMU LAKINI MWISHO WAKE HUWA KAMA MCHANGA KINYWANI.

SIKU IKIFIKA KILA MTU ATATOA HESABU YA KAZI HAKUNA KUKWEPA.
Enyi watawala wa Tanzania ni nani aliyewaroga?Muone aibu na mchukue hatua

.....Ndugu yangu umesahau jambo moja kubwa,nalo ni RUSHWA.Ah Serikali yetu imebarikiwa kwa rushwa,mimi simjui nani aliyetoa msamiati huu usemao RUSHWA NI ADUI WA HAKI,kwa hakika amesema kweli,yaani Nchi hii sasa huwezi kufanya lolote mpaka utoe Rushwa,si Polisi,Mahakamani,Hospitali.sasa vipi watakamatana wakati wenyewe ndio hao hao wanaochukua rushwa then mwisho wake wanamalizia na WIZI?Kweli Nchi hii sio maskini lakini serikali yetu ndio inayochangia sisi wanyonge kuzidi kua maskini.Hivi hawa viongozi wetu hawachukui mfano wa Nchi ya Singapore?Wenzetu wamepiga hatua kubwa kimaendeleo kwa sababu ya kukomesha RUSHWA NA WIZI SERIKALINI.
 
.....Ndugu yangu umesahau jambo moja kubwa,nalo ni RUSHWA.Ah Serikali yetu imebarikiwa kwa rushwa,mimi simjui nani aliyetoa msamiati huu usemao RUSHWA NI ADUI WA HAKI,kwa hakika amesema kweli,yaani Nchi hii sasa huwezi kufanya lolote mpaka utoe Rushwa,si Polisi,Mahakamani,Hospitali.sasa vipi watakamatana wakati wenyewe ndio hao hao wanaochukua rushwa then mwisho wake wanamalizia na WIZI?Kweli Nchi hii sio maskini lakini serikali yetu ndio inayochangia sisi wanyonge kuzidi kua maskini.Hivi hawa viongozi wetu hawachukui mfano wa Nchi ya Singapore?Wenzetu wamepiga hatua kubwa kimaendeleo kwa sababu ya kukomesha RUSHWA NA WIZI SERIKALINI.
hahaha kweli ndugu yangu nchi yetu rushwa ni kila kona.Tatizo la Viongozi wanaona mifano kama ya singapore lakini hawawezi kuchukua hatua kwa sababu wapo madarakani kwa manufaa yao binafsi
 
Kwanza nampa heko Zito kwa kazi kubwa; haijalishi kitakachofuata, amediriki na hii ndio njia ya Ukombozi wa kweli mbele ya macho hali mkitazamana mnapeana ukweli.

Plan B: Kwa kuwa hatua hiyo inapotezewa na PM na wahusika wengine, ni wakati wa Wananchi kuzungumza, hapa hatuna kanuni wala sheria wala mipaka ya muda, kwetu tuna jambo moja kubwa. Ni wenye nchi, waumiaji na tunaopaswa kuchukua maamuzi mazito.

1. Napendekeza ziwepo 'forms' katika kila Wilaya, ama Kata ambazo zitakusanya sahihi za Wananchi waliokata tamaa na Serikali iliyoko madarakani.--Itahitaji kuwa na wasimamizi, hapa nahitaji ushauri. Fomu hizo zikusanye majina halisi, simu na sahihi za kutaka mabadiliko. Fomu hizi ziratibiwe na kamati hiyo hiyo iliyokwisha anza zoezi la kushughulika na Waziri Mkuu na Mawaziri wengine.

2. Fomu hizi zipelekwe Bungeni ikiwa ni Sauti ya Wananchi pasipo kujali vizuizi.

3. Bunge liruhusu ajenda ya kutokuwa na Imani si na baadhi ya mawaziri bali Serikali nzima


4. Wananchi wajipange kwa hatua ya 'Civil Disobedience' hadi pale mambo yatakapobadilika.
Mfumo wa civil disobedience ndio uliotumika na akina Martin Luther King hadi wakapata haki yao. Kwetu tuutumie kushinikiza mambo ambayo tunaona siasa zinaendelea kuyapuuza hali tunaumia na wao wakiongeza posho. Nia ya Civil Disobedience iwe ni total palalysis ya nchi, hadi haki ipatikane.

SIO WAKATI WA KULALAMA NI WAKATI WA KUTENDA, INAWEZEKANA TUSIMAME PAMOJA KUDAI HAKI ZETU.

We Shall Overcome, Deep in My heart I do believe we shall Overcome so soon

Nawakilisha.

Dogo, hujajipanga! Thats too low! Try again.
 
Waziri wetu mkuu,kwa kweli leo uliuvuta Umma wa wa Tanzania kuangalia Bunge na jinsi unavyohitimisha,wengi nikiwemo mimi hapa Tanga nitegemea Tamko lako kuhusu Mawaziri wako wenye shutuma za ubadhilifu,lakini matokeo yake umerudiarudia kusifia Timu yako ya Simba kuvuka Round ya pili kana kwamba Maisha ya Watanzania yanategemea Ushindi wa Simba,kwa kweli tumeudhika sana.
Mh Pinda umeudhi wengi hasa waandishi wa Habari ambao uliwaahidi kuwapa Tamko kuhusu Chami na wenzake,ila Zaidi umewakera Wabunge makini wa Vyama vyote,najua huna nguvu maana baba mwana asha kajimilikisha nguvu zote kupitia katibachakavu,Mungu akupe usingizi mnono wewe na Chama chako,ukiamka CDM wapo mlango wa Ikulu.
Nakumbia ni mimi Mgeni wenu wa JF
 
ani JK ndo anamaliza muda wake, hana cha kupoteza, so mwache avuruge atakavyo ili kuwasafishia njia wapinzani 2015 au chaguzi nyingine zijazo...
 
Hii ni kama watu wakisikia . Rais amekuwa assasinated,halafu viongozi waandamizi waseme hawataki kukanusha au kuthibitisha. Ndio maana watu wanatimkia cdm. Watu wako katika hali ya jakamoyo.
 
we ni m.s.enge kweli, peleke huu u.pu.pu wako kwa familia yako inayofaidi kwa kuwatesa watz wenzako, yani we lijitu nakuchukia
 
Back
Top Bottom