Columbus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,002
- 648
Mimi sikagui bag ila napenda kumnusa mke wangu bila yeye kujua. Sababu huko mtaani naona jinsi wake za watu wanavyodandiwa nikaamua kuchunga mzigo wangu angalau aki cheat nitajua viharufu tofauti. Juzi juzi nimesikia harufu ya vile visabuni vya guest nilivijua enzi sijaoa nimeamua nitamfuatilia siku isiyo jina na yatakayotokea nitawawekea hapa jamvini.