King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
My friend I realy mean it my dear take it from me..........ni kero ajabu yaani hata mimi nafungia pesa ofisini maana home hakukaliki pesa
Dah, kweli ndoa ni mtihani. Aso na hili, ana lile! Kumbe huwa tunatalikiana kwa sababu zisizo za msingi? Najiandalia kitchen party gala, naomba uwe kungwi wangu,lol. Ushungi unakuponza, ningewasha risasi moja kwenye makalio, asingerudia tena.