Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
1. Mwanamke kapigwa mimba na mwanaume X anaenda kumtegeshea mimba Mwanaume Y, hapo unakuta Mwanaume Y kategeshewa sababu anajiweza kiuchumi, Mwanaume Y anakuja kugundua mchezo anaachana na mwanamke aliebeba mtoto ambae si wake, wala sio kutelekeza mtoto, ajabu ni kwamba mama anaona aibu kumwambia mtoto kwamba baba yake ni mwanaume X, mtoto maisha yake yote anajua Mwanaume Y aliwatekeleza.
2. Tamaa za mama - hasa kwa mabinti wa mjini type za masista duu na slay queens wanaazuzuka na vitu badala ya utu, mwanamke kajifungua ila baada ya muda anaenda kuishi na mwanaume mwengine na kumkana kabisa baba wa mtoto hataki kuishi nae, atatumika huko kisha anatemwa, atambrainwash mtoto kwamba baba yake aliwatelekeza.
3. Maksudi - hasa kwa wanawake wanaojiweza hupandikiza hii sumu kwa watoto ili wamchukie baba, hata baba akija kuona mtoto anafichiwa mtoto, baba anatuma pesa ila mtoto haambiwi, baba anatuma zawadi mama anasema kamnunulia yeye.
2. Tamaa za mama - hasa kwa mabinti wa mjini type za masista duu na slay queens wanaazuzuka na vitu badala ya utu, mwanamke kajifungua ila baada ya muda anaenda kuishi na mwanaume mwengine na kumkana kabisa baba wa mtoto hataki kuishi nae, atatumika huko kisha anatemwa, atambrainwash mtoto kwamba baba yake aliwatelekeza.
3. Maksudi - hasa kwa wanawake wanaojiweza hupandikiza hii sumu kwa watoto ili wamchukie baba, hata baba akija kuona mtoto anafichiwa mtoto, baba anatuma pesa ila mtoto haambiwi, baba anatuma zawadi mama anasema kamnunulia yeye.