sisi kwa sisi
Senior Member
- Feb 1, 2012
- 119
- 2
Kuna kauli mbili tofauti zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara na Waziri wa elimu na Mafunzo ya ufundi kuhusu kutaifishwa shule zote za madhebu ya dini nchini.
Kauli ya Mkuu wa Mkoa alidai kwamba Shule za madhehebu ya kikirsto zimetaifishwa majengo tu na sio ardhi.
Lakini waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi alidai kwamba serekali imetafisha ardhi,majengo na kila resource na inamilki asilimia 100.
Lakini bado kauli za viongozi wengine hasa kama afisa wa elimu wanadai waziri Kapotoka kutoa kauli hiyo.na tayari jambo hili limeanza kuchukua sura mpya zaidi ya kidini jambo ambalo ni mustkabli mbaya kwa taifa letu changa
kwa ufupi kila mpenda amani na maendeleo ya nchi anashindwa kujua nini hasa ukweli wa jambo .Hata humu Jf kila mmoja navutia upande wake
Hakuna mbunge jasiri bila ya kuangalia dini yake anaweza kuhoji Bungeni swali hili japo swali la papo kwa papo kwa mustkbali wa taifa letu?
Maana swali hili linahitaji wabunge jasiri na sio kila mbunge anaweza kuhoji hasa ukizingatia unyeti wa jambo lenyewe hasa anaweza kuandamwa na vyombo vya habari vilivyoegemea udini zaidi badala ya mustkabli wa taifa letu
hapa nawakusudia sana akina Mnyika, Zitto, lissu,Hamad ,Lema Rashid, ambao kwa kipindi kirefu ndio wanaonekana wanania ya dhati kwa ukombozi wa taifa letu. lkn pia ndio wabunge wasiopenda machafuko nchini
nchini
ili Kauli ya Serekali ijulikane na kuondoa msugaono huu?
Kauli ya Mkuu wa Mkoa alidai kwamba Shule za madhehebu ya kikirsto zimetaifishwa majengo tu na sio ardhi.
Lakini waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi alidai kwamba serekali imetafisha ardhi,majengo na kila resource na inamilki asilimia 100.
Lakini bado kauli za viongozi wengine hasa kama afisa wa elimu wanadai waziri Kapotoka kutoa kauli hiyo.na tayari jambo hili limeanza kuchukua sura mpya zaidi ya kidini jambo ambalo ni mustkabli mbaya kwa taifa letu changa
kwa ufupi kila mpenda amani na maendeleo ya nchi anashindwa kujua nini hasa ukweli wa jambo .Hata humu Jf kila mmoja navutia upande wake
Hakuna mbunge jasiri bila ya kuangalia dini yake anaweza kuhoji Bungeni swali hili japo swali la papo kwa papo kwa mustkbali wa taifa letu?
Maana swali hili linahitaji wabunge jasiri na sio kila mbunge anaweza kuhoji hasa ukizingatia unyeti wa jambo lenyewe hasa anaweza kuandamwa na vyombo vya habari vilivyoegemea udini zaidi badala ya mustkabli wa taifa letu
hapa nawakusudia sana akina Mnyika, Zitto, lissu,Hamad ,Lema Rashid, ambao kwa kipindi kirefu ndio wanaonekana wanania ya dhati kwa ukombozi wa taifa letu. lkn pia ndio wabunge wasiopenda machafuko nchini
nchini
ili Kauli ya Serekali ijulikane na kuondoa msugaono huu?