nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,664
- Thread starter
- #221
yesSamahani nataka kujua tu...kwahiyo sasa hivi ndio unaendeleza kuandika hivi vitabu Kama kumuenzi Mzee sio.
yesSamahani nataka kujua tu...kwahiyo sasa hivi ndio unaendeleza kuandika hivi vitabu Kama kumuenzi Mzee sio.
Nameless girl tunaomba Dar es salam usiku!!
Nisaidie kumconvince nameless girl,naona kauchunaKizuri sana Hasira na Hasara huwa sichoki kukisoma.
Nisaidie kumconvince nameless girl,naona kauchuna
R.I.P Ben R. Mtobwa nimesoma vutabu vyake karibia vyote.asante sana umenikumbusha kuangalia kabati nilipokuwa naficha hivi vitabu ..........enzi hizo hutumwi dukani ukianza kusoma wala kula........umesoma Dar es salaam usiku. Ben kiboko
Writing is the last skill in the four language skills. Pamoja na kuwa akili ya kipekee Mwandishi huyu alikuwa na uwezo binafsi na wa kipekee wa kubuni na kufikiria nini aandike.Pale ambapo palikuwa na vitita vya noti za ndani na nje sasa hapakuwa na kitu chochote. Hapana, palikuwa na kitu fulani, kitu kidogo, cheusi. Joram aliisogeza tochi yake na kutazama. Kama macho yake yalichelewa kumwashiria yanatazama nini, pua yake haikuchelea kufanya hivyo. Kitu hicho kilikuwa kinyesi. Baada ya kuchukua pesa hizo, kwa kuonyesha dharau, Adrian, akijua mtu yeyote angetamani kuzipata pesa hizo ndipo alipoamua kufanya hivyo.
Aisee kwa uandishi wa hivi hutachoka kusoma kamwe mwandishi alikuwa na uandishi fulani wa kipekee wa kufurahisha.
umemsoma MonalisaMkuu jana peterchoka Hiki kitabu jana nimekikuta maeneo ya posta mpya.. Sema nikanunua mtambo wa Mauti na Jumatatu nakwenda kukinunua hiki... Jana nimesoma Mtambo wa Mauti nikahisi Kueukaruka kwa Utamu na Hisia
Baada ya Hii Roho ya paka IPI ifuate???umemsoma Monalisa