Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
katika makombora 10 ni moja linaweza kupenya mengine yanapanguliwa,
JE, Israel wakirusha hata kombora moja, Hezbollah wanaweza kulizia ? itakuwaje Israel ikirusha mamia ya makombora kwa mpigo kama wanavyofanyiwa na Hamas au Hezbolah ?
Hezbollaj wanarusha roketi za dola elf 2 (shilingi milioni 5) lakini kombora moja la iron dome ni dola eld 25 (shilingi milioni 60+), Kwa nchi masikini tunaweza kuona ni pesa nyingi ila kwa Israel si chochote, uchumi wao kwa mwaka huu pekee ni dola bilioni 500 (Shilingi trilioni elf 1 +), kuhusu kupokea misaada hata tajiri wakati wa shida anaweza kuomba msaada kuwajua rafiki wa kweli, sio kwamba hajiwezi, hata Urusi ilishawahi kusaidiwa matrilioni na Marekani vita ya dunia.
JE, Israel wakirusha hata kombora moja, Hezbollah wanaweza kulizia ? itakuwaje Israel ikirusha mamia ya makombora kwa mpigo kama wanavyofanyiwa na Hamas au Hezbolah ?
Hezbollaj wanarusha roketi za dola elf 2 (shilingi milioni 5) lakini kombora moja la iron dome ni dola eld 25 (shilingi milioni 60+), Kwa nchi masikini tunaweza kuona ni pesa nyingi ila kwa Israel si chochote, uchumi wao kwa mwaka huu pekee ni dola bilioni 500 (Shilingi trilioni elf 1 +), kuhusu kupokea misaada hata tajiri wakati wa shida anaweza kuomba msaada kuwajua rafiki wa kweli, sio kwamba hajiwezi, hata Urusi ilishawahi kusaidiwa matrilioni na Marekani vita ya dunia.