Mabulangati
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 796
- 164
Ninavyojua mini ni kwamba fedha inapoingia nchini from kiwanda haiwezi tumika kwa namna yoyote labda tu (only and only if) kwa msaada wa wajanja BOT. Maana inapingia nchini inapita katika mikono zaidi ya mitano ili ipate go ahead na wote wana special and secret signs. Sasa sijui mm nnachojua ndivyo ilivyo au nliongopewa ila nasisitiza Ujambazi huo wa kimafia haukubaliki. Swala la kuibwa airport inawezekana maana kuna siku pale Flamingo canteen watu waliwekwa mtu kati mchana kwupe soon after lunch hours zikaondoka 30 miln.