Msaada kwa wenye kufahamu kuhusu malipo ya Serikali

Supu ya kokoto

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
3,739
6,797
Ndugu WanaJf,

Jana niliweka hapa bandiko linalohusu pesa za kujikimu wilaya ya Ileje kufanyiwa zengwe na baadhi ya viongozi,Kuna issue mpya imeibuka ambayo tunaomba wanaojua humu watusaidie sisi ajira mpya.

Issue yenyewe ni hii:pesa za kujikimu zimetolewa na zimefika halmashauri,wakaziweka kwenye vifungu na katika hatua ya mwisho ya kuziweka bank,viongozi hao kupitia katibu wa hospitali ya wilaya wanadai kuwa pesa hizo Tena zimeshinitumbadwa kuingia kwenye akaunti zetu kisa mtandao wa B.O.T unasumbua na ukikaa sawa zitaruhusiwa kuingia.

Maswali yangu ni haya kwenu nyie wajuvi wa masuala ya namna malipo ya serikali yanavyokua.

1. Inawezekana pesa itoke B.O.T kuja halmashauri na waraka wa malipo utolewe halafu Tena katika malipo hayo ngazi ya halmashauri hao BOT wahusike?

2. Inawezekana mtandao wa BOT ukasumbua kwa almost week nzima?

3. Je ni nani hasa wa kumfuata ili tupate hizo pesa?

Maana hali yetu huku vijijini sio rafiki, tunateseka na wenyeji hawajali maana wanajua tuna pesa.

Wanabodi tusaidieni wadogo zenu.
 
Nimeajiriwa 2012
Mpaka leo huwa nadai hela yangu ya kujimu na nauli.
Juzi nikandika barua ya kukumbushia juu ya deni langu wakaniambia "Kwa madai ya nauli leta tiketi" nikaona isiwe tabu nika comment "Lipeni tu ya kujikimu" ila mpaka leo sijapata.

#YNWA
 
Nimeajiriwa 2012
Mpaka leo huwa nadai hela yangu ya kujimu na nauli.
Juzi nikandika barua ya kukumbushia juu ya deni langu wakaniambia "Kwa madai ya nauli leta tiketi" nikaona isiwe tabu nika comment "Lipeni tu ya kujikimu" ila mpaka leo sijapata.

#YNWA
Mkuu tupo wengi wengine hata barua za uthibitisho tulizipata kwa kuleta fujo huko kwenye ofisi za wakuu
 
Ndugu WanaJf,

Jana niliweka hapa bandiko linalohusu pesa za kujikimu wilaya ya Ileje kufanyiwa zengwe na baadhi ya viongozi,Kuna issue mpya imeibuka ambayo tunaomba wanaojua humu watusaidie sisi ajira mpya.

Issue yenyewe ni hii:pesa za kujikimu zimetolewa na zimefika halmashauri,wakaziweka kwenye vifungu na katika hatua ya mwisho ya kuziweka bank,viongozi hao kupitia katibu wa hospitali ya wilaya wanadai kuwa pesa hizo Tena zimeshinitumbadwa kuingia kwenye akaunti zetu kisa mtandao wa B.O.T unasumbua na ukikaa sawa zitaruhusiwa kuingia.

Maswali yangu ni haya kwenu nyie wajuvi wa masuala ya namna malipo ya serikali yanavyokua.

1. Inawezekana pesa itoke B.O.T kuja halmashauri na waraka wa malipo utolewe halafu Tena katika malipo hayo ngazi ya halmashauri hao BOT wahusike?

2. Inawezekana mtandao wa BOT ukasumbua kwa almost week nzima?

3. Je ni nani hasa wa kumfuata ili tupate hizo pesa?

Maana hali yetu huku vijijini sio rafiki, tunateseka na wenyeji hawajali maana wanajua tuna pesa.

Wanabodi tusaidieni wadogo zenu.
Ulivyotaja "halmashauri" nikachoka!
 
Ndugu WanaJf,

Jana niliweka hapa bandiko linalohusu pesa za kujikimu wilaya ya Ileje kufanyiwa zengwe na baadhi ya viongozi,Kuna issue mpya imeibuka ambayo tunaomba wanaojua humu watusaidie sisi ajira mpya.

Issue yenyewe ni hii:pesa za kujikimu zimetolewa na zimefika halmashauri,wakaziweka kwenye vifungu na katika hatua ya mwisho ya kuziweka bank,viongozi hao kupitia katibu wa hospitali ya wilaya wanadai kuwa pesa hizo Tena zimeshinitumbadwa kuingia kwenye akaunti zetu kisa mtandao wa B.O.T unasumbua na ukikaa sawa zitaruhusiwa kuingia.

Maswali yangu ni haya kwenu nyie wajuvi wa masuala ya namna malipo ya serikali yanavyokua.

1. Inawezekana pesa itoke B.O.T kuja halmashauri na waraka wa malipo utolewe halafu Tena katika malipo hayo ngazi ya halmashauri hao BOT wahusike?

2. Inawezekana mtandao wa BOT ukasumbua kwa almost week nzima?

3. Je ni nani hasa wa kumfuata ili tupate hizo pesa?

Maana hali yetu huku vijijini sio rafiki, tunateseka na wenyeji hawajali maana wanajua tuna pesa.

Wanabodi tusaidieni wadogo zenu.
Mfumo wa malipo wa BOT unasumbua nchi nzima Kwa takribani wiki sasa.Vumilia kijana maelezo uliyopewa ni ya kweli
 
Aisee kuna watu mnapitia vipindi vigumu sana...

Namshukuru Mwenyezi Mungu hapa nilipo.

Wengine hizo fedha za kujikimu ziliingizwa bila hata kelele wala kuziomba.

Halmashauri sio sehemu salama..☠️
Kwa hapa tulipo,jografia ya Ileje ni mbaya Sana hata usafiri ni shida Sana aseee
 
Halmashauri zetu zinaendeshwa kihuni na wahuni.
Kuna zingine watumishi hasa wasiojua kanuni za utumishi wanaambiwa likizo mpaka amalize miaka 3 kazini,wengine wanapewa likizo lkn nauli mpaka amalize miaka 3 kazini ndipo atapewa likizo ya malipo na hili lina wahusu sana walimu.

Alafu kuna mtu anasema anataka kuboresha elimu,kweli tutafika?
CC Mpwayungu village.
 
Halmashauri zetu zinaendeshwa kihuni na wahuni.
Kuna zingine watumishi hasa wasiojua kanuni za utumishi wanaambiwa likizo mpaka amalize miaka 3 kazini,wengine wanapewa likizo lkn nauli mpaka amalize miaka 3 kazini ndipo atapewa likizo ya malipo na hili lina wahusu sana walimu.

Alafu kuna mtu anasema anataka kuboresha elimu,kweli tutafika?
CC Mpwayungu village.
Yaani wafanyakazi wa halmashauri nchini wanapitia shida Sana....hapo hujaomba uhamisho,danadana mpaka basi.
 
Ndugu WanaJf,

Jana niliweka hapa bandiko linalohusu pesa za kujikimu wilaya ya Ileje kufanyiwa zengwe na baadhi ya viongozi,Kuna issue mpya imeibuka ambayo tunaomba wanaojua humu watusaidie sisi ajira mpya.

Issue yenyewe ni hii:pesa za kujikimu zimetolewa na zimefika halmashauri,wakaziweka kwenye vifungu na katika hatua ya mwisho ya kuziweka bank,viongozi hao kupitia katibu wa hospitali ya wilaya wanadai kuwa pesa hizo Tena zimeshinitumbadwa kuingia kwenye akaunti zetu kisa mtandao wa B.O.T unasumbua na ukikaa sawa zitaruhusiwa kuingia.

Maswali yangu ni haya kwenu nyie wajuvi wa masuala ya namna malipo ya serikali yanavyokua.

1. Inawezekana pesa itoke B.O.T kuja halmashauri na waraka wa malipo utolewe halafu Tena katika malipo hayo ngazi ya halmashauri hao BOT wahusike?

2. Inawezekana mtandao wa BOT ukasumbua kwa almost week nzima?

3. Je ni nani hasa wa kumfuata ili tupate hizo pesa?

Maana hali yetu huku vijijini sio rafiki, tunateseka na wenyeji hawajali maana wanajua tuna pesa.

Wanabodi tusaidieni wadogo zenu.
Hiyo ipotezee tu mkuu. Huwa hazilipwagi hizo.

Nakumbuka miaka yangu ilibidi mkuu wa idara aniandikie safari ya field bila kwenda ndio nikalipwa per diem ili kufidia hela ya kujikimu!

NB: Ikiingia milioni30 kwa ajili ya malipo yenu alafu madiwani wanadai ela ya kikao undhani ded atawalipa nyie au atalipa madiwani? Pole.
 
Hiyo ipotezee tu mkuu. Huwa hazilipwagi hizo.

Nakumbuka miaka yangu ilibidi mkuu wa idara aliniandikia safari ya field bila kwenda ndio nikalipwa per diem ili kufidia hela ya kujikimu!

NB: Ikiingia milioni30 kwa ajili ya malipo yenu alafu madiwani wanadai ela ya kikao undhani ded atawalipa nyie au atalipa madiwani? Pole.
Duh hatari sana
 
Back
Top Bottom