UWT and Police Tz at peak of responsibility![/QUOTE]
... read irresponsibility.
Kwa taarifa yako hakuna organized crime cartel hatari kama CCM!!!! Nakushangaa sana!! Wewe unachoona ni mauaji ya Arusha ambayo yamefanwa na polisi na si CDM!!! Hebu tueleze ni silaha ngapi na za aina gani ambazo polisi walizikamata mikononi mwa wandamanaji wakati wa mauwaji ya Arusha??? Hivi unajua ni watoto wangapi wanapata maji safi ya kunywa nchini??? Unajua ni watoto wangapi chini ya miaka mitano wanakufa kila mwaka kwa kukosa maji safi tu ya kunywa? Badala yake mnashikia kideda DOWANS ilipwe fedha nyingi namna hiyo bila sababu yoyote ya msingi!!!! Acha fikra zako za giza!!! Dimwit!!!
Hapana Mkuu Pasco, hawa wanatakiwa wapewe jibu swaafi kabisa la kistaarabu. Ninahakika Dr. Slaa hatakosa jibu la kuwaleza makosa yao ya kujitahidi kuandikia Wananchi uwongo. Tena bila kuwarudishia tusi. Ndipo CDM itajiweka katika nafasi nzuri ya kufahamu na kuheshimu demokrasia. They, Mtanzania, are allowed to write, but should be challenged to come forward and in public to prove what they've published!Kipindi nilikiona kilitayarishwa na Idara ya Habari Maelezo. Mimi ndiyo mara yangu ya kwanza kuona Maelezo wameandaa kipindi wakati never on earth wamewahi kudeploy camera zaidi ya still!.
hivyo sishangazwi na hoyo habari ya Mtanzania pale newsroom yao wanavichwa moto chini ambao kwenye tasnia ya habari niwapiganaji wenye vyeo vya makamanda, kama makamanda wamtumikia fisadi mkuu unategemea nini?!.
Viongozi wa Chadema kama wana akili ya ukweli, wasireact wala wasijibishane kabisa na Mtanzania. Wao waendelee na agenda zao wanaowaelewa. wanawaelewa?
Ndugu, nakwambia Chadema ni wababaishaji na ni kikundi cha waangamizaji tu wale. Yale mauaji yamefanywa na Chadema kwa kuwazimisha police. Kwani huoni kuwa mbona kabla au baada ya maandamano hakuna mtu amewahi/aliendelea kuwawa Arusha?! Soma kwa makini maelezo.
Mpiganaji wala hilo lisikupe homa. Kila mtu anajua kuwa Mtanzania ni ya Rostam na anachojitahidi kufanya ni kujaribu kutoa watu kwenye reli ya kutafuta ukweli kuhusu Dowans na kuhoji kulikoni mauaji ya Arusha. swala la udini Arusha halipo, madhehebu yote ya kikristo na kiislam yamelaani mauaji hayo. Pia mjue yakuwa wagombea wote wa CCM na Chadema wote ni wakristo. Hivyo kama udini hakuna hapo, basi tu ni propaganda ya watu wasiojua wanachokiongea na kujaribu kutumia uwezo wao wa magazeti waliyonayo kujaribu kusema uongo. CCM badala ya kutumia Uhuru na Mzalendo imeamua kutumia Mtanzania ambayo kwa kina na mapana kaburi lake ndiyo karibu linafikiwa maana halina wapenzi tena kama zamani.Wadau nimekufa ganzi asubuhi hii baada ya kuona gazeti la mtanzania la leo,limeandika habari za matusi makubwa dhidi ya Chadema.Limeandika kwamba Chadema wamevurugana kwa sababu ya udini waliouanzisha,pili wamesema vurugu za Arusha wamewahadaa wananchi kwa sababu ya udini wao na tatu wanasema mauaji ya Arusha yamesababishwa na Chadema.Ni habari mbaya kwa mtu yeyote akisoma.Habari hii kwa jinsi ilivyoandikwa nikihusisha na kipindi maalum kilichorushwa na ITV juzi inaonekana kuna mkakati maalum umesukwa wa kuichafua na kuiangamiza Chadema.Yeyote anayeweza kulipata hilo gazeti alisome aone hayo matusi.....kwa uandishi huu sijui kama tutafika.
Wadau nimekufa ganzi asubuhi hii baada ya kuona gazeti la mtanzania la leo,limeandika habari za matusi makubwa dhidi ya Chadema.Limeandika kwamba Chadema wamevurugana kwa sababu ya udini waliouanzisha,pili wamesema vurugu za Arusha wamewahadaa wananchi kwa sababu ya udini wao na tatu wanasema mauaji ya Arusha yamesababishwa na Chadema.Ni habari mbaya kwa mtu yeyote akisoma.Habari hii kwa jinsi ilivyoandikwa nikihusisha na kipindi maalum kilichorushwa na ITV juzi inaonekana kuna mkakati maalum umesukwa wa kuichafua na kuiangamiza Chadema.Yeyote anayeweza kulipata hilo gazeti alisome aone hayo matusi.....kwa uandishi huu sijui kama tutafika.
Wadau nimekufa ganzi asubuhi hii baada ya kuona gazeti la mtanzania la leo,limeandika habari za matusi makubwa dhidi ya Chadema.Limeandika kwamba Chadema wamevurugana kwa sababu ya udini waliouanzisha,pili wamesema vurugu za Arusha wamewahadaa wananchi kwa sababu ya udini wao na tatu wanasema mauaji ya Arusha yamesababishwa na Chadema.Ni habari mbaya kwa mtu yeyote akisoma.Habari hii kwa jinsi ilivyoandikwa nikihusisha na kipindi maalum kilichorushwa na ITV juzi inaonekana kuna mkakati maalum umesukwa wa kuichafua na kuiangamiza Chadema.Yeyote anayeweza kulipata hilo gazeti alisome aone hayo matusi.....kwa uandishi huu sijui kama tutafika.
Tatizo ni kwamba 61% ya watanzania hawakupiga kura kwa chaguo la maaskofu, dr.slaa sasa maaskofu hawakubali hilo na wanalazimisha wanachotaka ndio sababu ya tatizo la vurugu arusha
Tatizo una hisia za karibu sana kama 'head'. Tuliza munkari ndugu. Kuna yanayoleta ganzi kama EPA, DOWANS, RADAR, et al? Nasema tena punguza hisia hizo nduguWadau nimekufa ganzi asubuhi hii baada ya kuona gazeti la mtanzania la leo,limeandika habari za matusi makubwa dhidi ya Chadema.Limeandika kwamba Chadema wamevurugana kwa sababu ya udini waliouanzisha,pili wamesema vurugu za Arusha wamewahadaa wananchi kwa sababu ya udini wao na tatu wanasema mauaji ya Arusha yamesababishwa na Chadema.Ni habari mbaya kwa mtu yeyote akisoma.Habari hii kwa jinsi ilivyoandikwa nikihusisha na kipindi maalum kilichorushwa na ITV juzi inaonekana kuna mkakati maalum umesukwa wa kuichafua na kuiangamiza Chadema.Yeyote anayeweza kulipata hilo gazeti alisome aone hayo matusi.....kwa uandishi huu sijui kama tutafika.
wewe mpumbavu, unajua mtu wakwanza alipigwa risasi saa ngapi? na ilikuwa maeneo gani?Ndugu, nakwambia Chadema ni wababaishaji na ni kikundi cha waangamizaji tu wale. Yale mauaji yamefanywa na Chadema kwa kuwazimisha police. Kwani huoni kuwa mbona kabla au baada ya maandamano hakuna mtu amewahi/aliendelea kuwawa Arusha?! Soma kwa makini maelezo.
Walipoandamana katika mazishi ya wale marehemu kulitokea mauaji?????????!!!!!!!!
au aende facebook kwa mashost