coby
JF-Expert Member
- Nov 28, 2008
- 342
- 39
Mbona mwandishi wa hiyo habari hajadanganya kitu! Kanisa linaitumia chadema? jibu ndiyo, Chadema kuna udini? Jibu ndiyo! Chadema wanachochea vurugu kwa maslahi binafsi na kanisa? NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOOOO! Msiwe wachungu, mwanahalisi na raia mwema yanaandika hivyo hivyo! Bear with it!
Usilie jamani hakuna aliyekubishia. Futa machozi uoge na ukalale mtoto mzuri, sawa??