Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Tatizo ni kwamba 61% ya watanzania hawakupiga kura kwa chaguo la maaskofu, dr.slaa sasa maaskofu hawakubali hilo na wanalazimisha wanachotaka ndio sababu ya tatizo la vurugu arusha
Walipoandamana katika mazishi ya wale marehemu kulitokea mauaji?????????!!!!!!!!
Niweze, kweli hili la kipindi maalum, naomba nimtetee Mengi na ITV yake, kile kipindi kimetayarishwa na Idara ya Habari Maelezo na sio ITV wala Mengi had nothing to do with it zaidi ya kulipwa kurushwa.Hakuna "Fake Report" au Utumiaji wa Vyombo vya Habari Hasa Mengi Production Kutawadanganya Wananchi Tanzania. Poleni CCM...Kama Amani Inachafuliwa kwa Hii Njia "Tutaona Nani Atashinda" Wananchi au Mafisadi. Mengi Sio Fisadi? Chadema Wakiingia Madarakani, Mengi Atakwenda Jela Nae...Hizi Resources Zote za Mengi Amepata Wapi Huu Utajiri? Wananchi Tangu Siku Nyingi Tunajua There is No Way Mengi is That Honest...
Kipindi nilikiona kilitayarishwa na Idara ya Habari Maelezo. Mimi ndiyo mara yangu ya kwanza kuona Maelezo wameandaa kipindi wakati never on earth wamewahi kudeploy camera zaidi ya still!.
hivyo sishangazwi na hoyo habari ya Mtanzania pale newsroom yao wanavichwa moto chini ambao kwenye tasnia ya habari niwapiganaji wenye vyeo vya makamanda, kama makamanda wamtumikia fisadi mkuu unategemea nini?!.
Viongozi wa Chadema kama wana akili ya ukweli, wasireact wala wasijibishane kabisa na Mtanzania. Wao waendelee na agenda zao wanaowaelewa. wanawaelewa?
wametumwa na hawataweza kutimiza malengo waliyotumwa kutimiza kwani ni makubwa na wameshachelewa sana
Wadau nimekufa ganzi asubuhi hii baada ya kuona gazeti la mtanzania la leo,limeandika habari za matusi makubwa dhidi ya Chadema.Limeandika kwamba Chadema wamevurugana kwa sababu ya udini waliouanzisha,pili wamesema vurugu za Arusha wamewahadaa wananchi kwa sababu ya udini wao na tatu wanasema mauaji ya Arusha yamesababishwa na Chadema.Ni habari mbaya kwa mtu yeyote akisoma.Habari hii kwa jinsi ilivyoandikwa nikihusisha na kipindi maalum kilichorushwa na ITV juzi inaonekana kuna mkakati maalum umesukwa wa kuichafua na kuiangamiza Chadema.Yeyote anayeweza kulipata hilo gazeti alisome aone hayo matusi.....kwa uandishi huu sijui kama tutafika.
Kuwa mvumilivu, ndio siasa. unataka kila mtu afikiri sawa na wewe?
hata mimi nadhani kuna ukweli kiasi ktk hayo, chadema wasingelazimisha kuandamana kungetokea mauaji?
Hivi hawa watu ndo kusema wana mwogopa kikwete?
Ni nani anae imba udini kila siku na sasa umeanza kuonekana?
eti chadema na udini wanao eneza,toka lini?
ni uzushi tu, chadema chama kubwa haiyumbishwi na vigazeti uchwara
hicho kigazetiiii kinawatafuta watanzania
Watanzania hawatafutwi na toiket paper mkuu,
mwambie mhariri wa hiyo tissue akawapotoshe ccm wenzake.
kuwa mvumilivu, ndio siasa. Unataka kila mtu afikiri sawa na wewe?
Hata mimi nadhani kuna ukweli kiasi ktk hayo, chadema wasingelazimisha kuandamana kungetokea mauaji?
Mbona wadau wa hii blog wanaitetea chadema hata palipo uhalisia wao wanaugeuza kuwa ukweli kwa namna yao? kila kitu wanataka wote tufikirie kama wao kwa mtazamo wao, tuache hizo jamani. Kuna mwingine alisema waliokufa arusha damu yao imeandika katiba mpya sasa huyo unataka Mtanzania wareport nini? Nafikiri ni muhimu kufanya hii blog iwe ya kijamii kiukwelii na siyo ya chadema. Na kama ikiendelea hivyo nalazimika kurudia aliyosema Jenerali Ulimwengu kuwa tutaiondoa ccm madarakani wataingie wengine lakini hatutafika tunapoelekea.
Tatizo ni kwamba 61% ya watanzania hawakupiga kura kwa chaguo la maaskofu, dr.slaa sasa maaskofu hawakubali hilo na wanalazimisha wanachotaka ndio sababu ya tatizo la vurugu arusha
Gazeti hili huwa tunaliamini kwa ukweli lakni leo nashangaa habari zilizoandikwa ndani. Mtu mzima hatishiwi nyau. Tunaomba Watanzania kuwa wavumilivu kisiasa kwa sababu haya ni maneno ya kisiasa ila ukweli utabaki pale pale na bado tutaendelea kutetea ukweli na ukombozi wa Nchi yetu.