Ndio umuhimu wa watanzania mlioelimika kama wewe kuchukua point Kwa Hawa wanasiasa wachumia tumbo na kujenga hoja ya kukomboa taifa letu na kushauri njia sahihiMimi nimejibu kama mchumi tena professsional yeye amezungumza kama layman asiyeelewa abc za uchumi
Mimi nimechangia kama,mchumi yeye amazungumza kama layman .