Gwajima: Taifa tumekosa maono, inakuwaje kujenga reli kabla ya kuchimba chuma? Waziri Mwigulu ampinga

Magazetini

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
588
1,698
Mbunge wa Kawe akiwa bungeni, Joseph Gwajima amesema kwa miaka mitano Taifa limelipa fedha za kigeni dola za kimarekani bilioni 2.2 kununua chuma, Gwajima amesema kwa mtu yoyote mwenye akili na anajua kuzitumia jambo hili hawezi kuruhusu kufanyika.

Gwajima amesema nchi imeanza na reli ambayo hayupo kinyume nayo lakini ameshangaa kuanza na reli ambayo 'component' kubwa ni chuma kwa kukiagiza nje ya nchi badala ya kuchimba chuma kisha kujenga reli.

Gwajima amesema kinachosumbua ni kukosa maono ya Taifa, mipango na dira.

Gwajima amesema Taifa linahitaji maono ya pamoja na hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa miaka mitano au kumi.

Kingu-Taarifa
Kingu akichangia kupitia taarifa, amesema hadi tume ya kutengeneza mipango ya muda mrefu imefutwa. Amesema Taifa halina tume ya mipango kuanzia miaka 50.

Mwigulu akanusha
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amekanusha na kusema Taifa lina mipango ya muda mrefu na tangu uhuru limeongozwa na viongozi wenye maono na ndio maana kuna dira ya 2025 kutoka kwa Mkapa.

Mwigulu amesema nchi imeongozwa kwa maono ndio maana ipo ilipo. Mwigulu amemaliza kwa kusema Rais ameshaweka utekelezaji wa miradi mikubwa, yote inaenda kutekelezwa ya Liganga, LNG.
 
GWAJIMA WA SIKU HIZI😂😂😂

FB_IMG_16520843505281424.jpg
 
Mbunge wa Kawe akiwa bungeni, Joseph Gwajima amesema kwa miaka mitano Taifa limelipa fedha za kigeni dola za kimarekani bilioni 2.2, Gwajima amesema kwa mtu yoyote mwenye akili na anajua kuzitumia jambo hili hawezi kuruhusu kufanyika.

Gwajima amesema nchi imeanza na reli ambayo hayupo kinyume nayo lakini ameshangaa kuanza na reli ambayo 'component' kubwa ni chuma kwa kukiagiza nje ya nchi badala ya kuchimba chuma kisha kujenga reli.

Gwajima amesema kinachosumbua ni kukosa maono ya Taifa, mipango ya Taifa na dira.

Gwajima amesema Taifa linahitaji maono ya pamoja na hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa miaka mitano au kumi.

Kingu-Taarifa
Kingu akichangia kupitia taarifa, amesema hadi tume ya kutengeneza mipango ya muda mrefu imefutwa. Amesema Taifa halina tume ya mipango kutengeza mipango ya kuanzia miaka 50.

Mwigulu akanusha
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amekanusha na kusema Taifa lina mipango ya muda mrefu na tangu uhuru limeongozwa na viongozi wenye maono na ndio maana kuna dira ya 2025 kutoka kwa Mkapa.

Mwigulu amesema nchi imeongozwa kwa maono ndio maana ipo ilipo. Mwigulu amemaliza kwa kusema Rais ameshaweka utekelezaji wa miradi mikubwa, yote inaenda kutekelezwa ya Liganga, LNG.
Mawazo ya Gwajima ni potofu na ya unafiki. Kiuchumi sio lazima nchi iwe na chuma ndio ijenge reli wala hata kama ina chuma sio lazima kwanza kuchimba chuma ndipo nchi ijenge reli. Kila ntu sasa anajifanya mchumi!.
Ziko nchi nyingi tu zimejenga reli na hazina hicho chuma.

Unapotaka kujenga reli unatangaza tenda baada ya kuwa umefanya tathmini reli itajengwa vipi na costs ni kiasi gani. Mkandarasi akishapatikana ndiye anajua vyuma atanunua wapi na kwa bei gani; sisi tunachotaka tukabidhiwe reli iliyojengwa kwa viwango na kwa wakati.

Hicho chuma ikitokea kimechimbwa siku moja kitauzwa kwa wateja wanaohitaji wa nje na ndani ya nchi na kitaingiza mapato ya fexha za kigeni na pia shilingi.

Hakuna nchi inazalisha kila kitu yenyewe na sio lazima kiuchumi tuzalishe kila kitu, vingine tutaagiza tupende tusipende; ndio maana kuna kitu kinaitwa comparative advantage katika biashara ya kimataifa sio suala la kuzalisha tu
 
Mawazo ya Gwajima ni potofu na ya unafiki. Kiuchumi sio lazima nchi iwe na chuma ndio ijenge reli wala hata kama ina chuma sio lazima kwanza kuchimba chuma ndipo nchi ijenge reli. Kila ntu sasa anajifanya mchumi!.
Ziko nchi nyingi tu zimejenga reli na hazina hicho chuma.

Unapotaka kujenga reli unatangaza tenda baada ya kuwa umefanya tathmini reli itajengwa vipi na costs ni kiasi gani. Mkandarasi akishapatikana ndiye anajua vyuma atanunua wapi na kwa bei gani; sisi tunachotaka tukabidhiwe reli iliyojengwa kwa viwango na kwa wakati.

Hicho chuma ikitokea kimechimbwa siku moja kitauzwa kwa wateja wanaohitaji wa nje na ndani ya nchi na kitaingiza mapato ya fexha za kigeni na pia shilingi.

Hakuna nchi inazalisha kila kitu yenyewe na sio lazima kiuchumi tuzalishe kila kitu, vingine tutaagiza tupende tusipende; ndio maana kuna kitu kinaitwa comparative advantage katika biashara ya kimataifa sio suala la kuzalisha tu
Gwajima yupo sahihi. Ni kazi sana kwa nchi kuendelea bila chuma. Ukiwa na chuma utajenga reli kwa bei rahisi, utajenga nyingi, utajenga mabehewa. Na itakuwa rahisi kwako kurekebisha. Hao wakina Mwigulu wamekalia porojo za LNG utafikiri ni mtambo wetu!!
 
Mbunge wa Kawe akiwa bungeni, Joseph Gwajima amesema kwa miaka mitano Taifa limelipa fedha za kigeni dola za kimarekani bilioni 2.2, Gwajima amesema kwa mtu yoyote mwenye akili na anajua kuzitumia jambo hili hawezi kuruhusu kufanyika.

Gwajima amesema nchi imeanza na reli ambayo hayupo kinyume nayo lakini ameshangaa kuanza na reli ambayo 'component' kubwa ni chuma kwa kukiagiza nje ya nchi badala ya kuchimba chuma kisha kujenga reli.

Gwajima amesema kinachosumbua ni kukosa maono ya Taifa, mipango ya Taifa na dira.

Gwajima amesema Taifa linahitaji maono ya pamoja na hakuna nchi duniani iliyoendelea kwa miaka mitano au kumi.

Kingu-Taarifa
Kingu akichangia kupitia taarifa, amesema hadi tume ya kutengeneza mipango ya muda mrefu imefutwa. Amesema Taifa halina tume ya mipango kutengeza mipango ya kuanzia miaka 50.

Mwigulu akanusha
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba amekanusha na kusema Taifa lina mipango ya muda mrefu na tangu uhuru limeongozwa na viongozi wenye maono na ndio maana kuna dira ya 2025 kutoka kwa Mkapa.

Mwigulu amesema nchi imeongozwa kwa maono ndio maana ipo ilipo. Mwigulu amemaliza kwa kusema Rais ameshaweka utekelezaji wa miradi mikubwa, yote inaenda kutekelezwa ya Liganga, LNG.
Nae Mwigulu ndio msemaji wa Serikali Bungeni? Sio kila kitu kukanisha..

Umefuta time ya mipango then what? Hii ilifutwa awamu ya 5 Ili tuwe tunategemea hisia za Jiwe akiamka sio?
 
Majuzi wametuambia mradi wa reli utachelewa kuanza kwa sababu bwawa alijakamilika lililotarajiwa kupeleka umeme; umeme uliopo sio wa uhakika kwa shughuli za kuendesha train kibiashara.

Sasa tunafahamu kweli umeme unaohitajika kwenye kiwanda cha heavy metal, investment capital na supporting infrastructure zake.

Kuna watu watakwambia kwanini tushindwe, utashindwa kwa sababu ni sawa na mtu anaengoa story za kuagiza Benz ujerumani wakati mapato yake ya mwezi laki mbili kabla ya kulipa kodi la pango, kutenga nauli na matumizi mengine.

Ndio wabunge wetu vitu wanavyoongea mara nyingi they don’t think through, plan tu ya kuweka vibao vya mtaa nchi nzima inatusumbua kila siku seminar; halafu tunawaza mambo makubwa makubwa.

Hivi wanafahamu ata break even ya kiwanda cha heavy metal, ili kiwe na sustainable operation.

Hapo bila ya diaspora hakuna shughuli miaka 800 tutazunguka na siasa za miaka ya sabini ubunifu wetu ulipoishia.
 
Mawazo ya Gwajima ni potofu na ya unafiki. Kiuchumi sio lazima nchi iwe na chuma ndio ijenge reli wala hata kama ina chuma sio lazima kwanza kuchimba chuma ndipo nchi ijenge reli. Kila ntu sasa anajifanya mchumi!.
Ziko nchi nyingi tu zimejenga reli na hazina hicho chuma.

Unapotaka kujenga reli unatangaza tenda baada ya kuwa umefanya tathmini reli itajengwa vipi na costs ni kiasi gani. Mkandarasi akishapatikana ndiye anajua vyuma atanunua wapi na kwa bei gani; sisi tunachotaka tukabidhiwe reli iliyojengwa kwa viwango na kwa wakati.

Hicho chuma ikitokea kimechimbwa siku moja kitauzwa kwa wateja wanaohitaji wa nje na ndani ya nchi na kitaingiza mapato ya fexha za kigeni na pia shilingi.

Hakuna nchi inazalisha kila kitu yenyewe na sio lazima kiuchumi tuzalishe kila kitu, vingine tutaagiza tupende tusipende; ndio maana kuna kitu kinaitwa comparative advantage katika biashara ya kimataifa sio suala la kuzalisha tu
Wewe ni mshamba ndio maana hujaona logic ya Gwajima. Ni sawa na kutoa tenda ya kusambaza vyakula mashuleni ila kampuni hiyo ikawa inanunua mahindi Kenya wakati hapa nchini yapo tungekuwa na mashine tungesaga.

Hivyo vyuma kama sikosei wanachukua zaidi Urusi kuja kujengea reli. Kuna ugumu gani kwenye teknolojia ya steel mpaka tuagize nje kwa kutumia billions of money? Tungekuwa na uzalishaji wa kujitosheleza tungetumia chuma chetu kutoka Mchuchuma & Liganga na kuzalisha ajira, kupunguza importation, kuongeza capacity ya uzalishaji na hatimaye kuuza nje, na huo mradi wa chuma ungerahisisha ujenzi wa viwanda.

Yaani vyuma tumevilalia ardhini alafu unakuja na hoja za kishamba eti "comparative advantage". Hakuna nchi inaweza endelea bila kuwa na chuma, ambao hawana iron ore kama South Korea na Japan wanazalisha ila sisi tumelala na wala sio teknolojia ya nishati wala kompyuta kusema ni ngumu
 
Mawazo ya Gwajima ni potofu na ya unafiki. Kiuchumi sio lazima nchi iwe na chuma ndio ijenge reli wala hata kama ina chuma sio lazima kwanza kuchimba chuma ndipo nchi ijenge reli. Kila ntu sasa anajifanya mchumi!.
Ziko nchi nyingi tu zimejenga reli na hazina hicho chuma.

Unapotaka kujenga reli unatangaza tenda baada ya kuwa umefanya tathmini reli itajengwa vipi na costs ni kiasi gani. Mkandarasi akishapatikana ndiye anajua vyuma atanunua wapi na kwa bei gani; sisi tunachotaka tukabidhiwe reli iliyojengwa kwa viwango na kwa wakati.

Hicho chuma ikitokea kimechimbwa siku moja kitauzwa kwa wateja wanaohitaji wa nje na ndani ya nchi na kitaingiza mapato ya fexha za kigeni na pia shilingi.

Hakuna nchi inazalisha kila kitu yenyewe na sio lazima kiuchumi tuzalishe kila kitu, vingine tutaagiza tupende tusipende; ndio maana kuna kitu kinaitwa comparative advantage katika biashara ya kimataifa sio suala la kuzalisha tu

We nae mawazo yako sijui yako vipi

Huoni kama chuma chetu kingetumika gharama ya mradi ingepungua?

So wewe uko tayari tununua mavyuma nje Kwa gharama kubwa while liganga kuna chuma kibao inaitaji process Tu?
 
Wewe ni mshamba ndio maana hujaona logic ya Gwajima. Ni sawa na kutoa tenda ya kusambaza vyakula mashuleni ila kampuni hiyo ikawa inanunua mahindi Kenya wakati hapa nchini yapo tungekuwa na mashine tungesaga.

Hivyo vyuma kama sikosei wanachukua zaidi Urusi kuja kujengea reli. Kuna ugumu gani kwenye teknolojia ya steel mpaka tuagize nje kwa kutumia billions of money? Tungekuwa na uzalishaji wa kujitosheleza tungetumia chuma chetu kutoka Mchuchuma & Liganga na kuzalisha ajira, kupunguza importation, kuongeza capacity ya uzalishaji na hatimaye kuuza nje, na huo mradi wa chuma ungerahisisha ujenzi wa viwanda.

Yani vyuma tumevilalia ardhini alafu unakuja na hoja za kishamba eti "comparative advantage". Hakuna nchi inaweza endelea bila kuwa na chuma, ambao hawana iron ore kama South Korea na Japan wanazalisha ila sisi tumelala na wala sio teknolojia ya nishati wala kompyuta kusema ni ngumu

Nenda sehemu yoyote kale lunch Kwa bill yangu
 
Hivi ile treni lake lishawasili

Ova

Ule mchongo ilikua hivi, jamaa baada ya kufumaniwa na akawa anampinga jiwe, kwa sababu jiwe mpenda sifa jamaa kuna kanisa huko korea kusini akaenda kubeba waumini wawili watatu wakapiga suti then kaomba aonane na jiwe kamletea wawekezaji basi jiwe kamwagika na shangwe na macamera wawekezaji kufika ikawa jam tu, jamaa akawa anapendwa sasa jumlisha na lugha wanaongea moja na ukumbuke zamani alikua team lowassa case ikaishia hapo, huyo hua ni msukuma mjanja mjanja wa mjini kama lugumi, kisena, dialo, masha, hao hua ni fursa mbele na ndio unaona kapewa kiwanja cha tanesco pale anajenga kanisa kabisa la kudumu wakati alikua mpangaji tu.
 
Na kuhusu Mpina kumkaba koo january makamba bana kwanza story ilianzia kwa demu mmoja mtoto mkali balaa kwa mpina dogo anakula pesa msambaa yeye anabutua bila bill si mtoto wa mjini, sasa ukumbuke mpina alikua naibu wa january sasa jiwe alijitahidi kila wizara kama sio naibu basi katibu mkuu anakua mtoa taarifa nyeti za waziri na mienendo yake sasa saga hili lilimkuta kigwangala kwa katibu mkuu wake pale maliasili na january naibu wake mpina ndio alikua mpeleka umbea huko so january alivojua kamkaushia huyu msukuma wakawa na bifu hadi mpina anapanda kua waziri kamili na january baadae kawekwa benchi, wakaenda hadi january anarudi barazani jamaa yuko nje ikawa wivu ,
 
Gwajima yupo sahihi. Ni kazi sana kwa nchi kuendelea bila chuma. Ukiwa na chuma utajenga reli kwa bei rahisi, utajenga nyingi, utajenga mabehewa. Na itakuwa rahisi kwako kurekebisha. Hao wakina Mwigulu wamekalia porojo za LNG utafikiri ni mtambo wetu!!
Nikuulize swali rahisi. Wewe ni mchumi?
 
Sasa pale nishati kalemani alikua na cheni ya upigaji wake wa mabilioni anzia kwenye nguzo hadi kwenye mafuta sasa january alivoingia kwanza kasafisha wandani wa kalemani wizarani na vitenda uchwara vya sub company zao so issue ikawa kalemani anampa mpina michongo ya pale then mpina anamlipua january hadi leo wakipata upenyo ni kumsagia kunguni january hata majadiliano ya wizara tofauti na nishati wao wako na january tu
 
Huyu Mwigulu anaongea nn,leo hii hakuna mtu azungumziaye nu vile mradi wa gesi mtwara utaendelezwa,nchi inaendesha utadhani ni vyama viwili tofauti kumbe ni wale wale
 
Back
Top Bottom