Godwin Gondwe wa ITV asilazimishe fani

Naona wengi wenu mnaendeshwa na hisia na kuhusu suala la sauti Godwin Gondwe amekuwa na sauti hiyo hiyo tokea alipokuwa anafanya kazi RFA then TIMES FM and now ITV/RADIO ONE sasa sijui kipi cha ajabu na watangazaji wazuri katika kizazi hiki Godwin Gondwe ni mmoja wapo apart from that pia ni lecturer pale Tumaini University upande wa tasnia ya habari..

Wewe majibu yako bana, kwani kuwa lecturer ndo nini? unataka kusema kocha akiingia uwanjani atakuwa na uwezo wa kucheza kama wachezaji anaowafundisha? kumbuka makaratasi na perfomance are two different things The Finest.

N.B. Naomba definition ya 'Chuki Binafsi'
 
We ni far kabisa, huna uwezo wa kupima hoja na ukaamua, mbona mi naona ni mtangazaji mwenye mvuto? We una matatizo binafsi

Hamna kitu pale.. Yule jamaa huwa anaboa mbaya kiukweli.. Hata hio Bss HAIWEZEI kama alivyokuwa Danny sizza au happy.. Kajamaa kanachekacheka tu everytym.. Gondwe anaboa mbaaya yaan
 
Huyu jamaa kuna watu huwa wanampa tenda za kuwa MC kwenye maharusi. Kwa kweli huwa anabowa sana mpaka unatamani utoke ukumbini. Jamaa anajiongelesha tuvutafikiri ni MC wa JKT amnaye halipwi mshiko!. Makelele tu, sauti haina mpangilio, halafu kwa bahati mbaya hawezi kujisahihisha anaendeleatu
 
ungekua wa maana if u tel him directly via maoni or else itv! yuko poa man kuna jambo lako binafsi hayatuhusu sie!
 
Hizo kweli chuki binafsi, mbona jamaa anatangaza vizuri jamani, wakati mwingine jaribu kuwa reasonable kwani hakuna ambalo umelizungumza lenye mantiki juu ya huyo mtangazaji.
Jaribu kumshauri pale ambapo unafikiri anakosea sio kusema hafai.
 
Mi nadhani tusimlaumu sana mleta mada kwani hata mimi huyu bwana huwa ananikera sana kwani anapokuwa anahoji yeye anaongea zaidi ya yule anayehojiwa. Namshauri tu kwamba awe anakumbuka anatakiwa afanye nini anapokuwa kwenye kipindi na kama vipi aombe awe yeye ndiye anahojiwa na si anayehoji. Kama inashindikana basi awe msoma habari tu na vipindi vinavyohusu kuhoji basi awaachie wengine.
 
Anajihamini kupita kawaida hata na sehemu isiyopasa kujiamini...ni much know,na anaonekana ni mtu anajihisi kuwa ni classics kumbe ni wakawaida sana..nadhani anahitaji kupewa kitengo cha kutengeneza habari na sio kuhoji ili kupata habari.
 
Mtoa mada una chuki!Godwin ni mmoja wa watangazaji bora wa kizazi hiki.Nadhani demu wako huwa anamsifia akiwa anatangaza ndo ukaanzisha vita.
 
Hakuna mtu amekataa hizo facts, wengi wameshasema humu ndani, hakuna mtu anayesema hajasoma, haya ni matatizo yetu hatutaki kuambiwa chochote zaidi ya kusifiwa. Humu tupo wasomi wengi ninachosema ni kwamba kuna umuhimu wa kuwa na specialization, ninamuona strong kwenye news, si uwongo hana uwezo wa ku interview, na sisi kama wasikilizaji ndio clients wake si vizuri watu kuingiza swala la chuki binafsi, si tu kwa wana habari, ni kwa fani nyingi sana watanzania tunapoteza na tumeshindwa kupenyeza kwa kung'ang'ania ujima. mambo ya kusema eti muambie mwenyewe sasa nini maana ya social media, pia kama supervisor wake anafaa na anastahili kumpa mshahara entry yangu ni ipi? social media ni entry nzuri ya kujengana. Pia tukumbuke hapa Tanzania hakuna independent evaluation ya media wala indicators za performance ambazo ni objective na zinamhusisha msikilizaji kwenye kitu kama survey, labda ma thinkers humu ndani mchukue hiyo kama business idea, na kuweza kuangalia kwa upana. Pia tukumbuke kwa bahati mbaya kwenye hii tasnia ya habari kuna changamoto hata ya vyuo vinavyofundisha. Nadhani kwa wale wenye vyombo vya habari wanalijua hilo, mwisho kabisa sioni kama ni dharau mtu kuviita vyuo vyetu vya kama maana tafsiri kamili ni pale ambapo level hiyo ya elimu imewekwa kuwa universal kwa almost kila mtu, kitu ambacho ni kweli kwa vyuo vikuu vya Tz tumeamua kwamba kila mtanzania asome mpaka huko ndio maana tunapewa hata mikopo kulazimisha hilo, jambo ambalo labda sio baya na hivyo si sawa kulinganisha na walio soma harvard maana kama ilivyokua kwa statement ya Ehud juu ya Tanzania, vyuo vyetu na matunda yake haviwezi kupambanishwa na hivyo. Muda umefika kwa sisi kuvumiliana na kukubali constructive criticisms ili tuweze kusonga mbele kama individuals, groups na hata taifa. Bado nafikiri kwamba GG ni mtanganzaji mzuri wa factuals, anaweza pia akasoma makala, si mzuri kabisa kwenye interview based journalism, japo anaweza kujifunza akafanya vizuri, regardless of his masters degree. Ni muhimu pia kama watanzania tukafahamu kwamba academic qualification haina uhusiano wowote na performance ya mtu labda kama ni research ama kufundisha. Bado ITV inawatangazaji wengi tu wazuri kwenye interview, mtu kama Salum Mkambara, Reinford Masako, Steven Chuwa ambaye kwa sasa nafikiri ni too senior kufanya interviews, Isack Gamba, Abdallah (yule jamaa mfupi )....., na kuna kaka mwingine anasauti nzito, hawa wametulia katika macho na masikio ya wasikilizaji. Unapowasikiliza unaweza kuwafuata maana wanauwezo wa ku flow na ku build discussion kwa kupitia maswali yao, unaweza kuona wazi kuwa brain zao ziko organized. Napenda kumalizia kwa kusema kwamba thread hii haina kusudio la kumtukana mtu wala kumdharau, tafadhali sana kabla hujajibu isome kwa mtazajo chanya.

Arife ni usomi gani unaouzungumzia hapa, hata kuweka paragraphy imekuwa utata.

Kama unataka kumkosoa mtu, jitazame kwanza wewe mwenyewe unawatendea haki wengine.

Vinginevyo itaonekana ni chuki binafsi tu inakuandama.
 
Dah! Hadi hapa nahisi ki-zungu x2. I dont think ni chuki binafsi pekee, bali kuna ukweli ndani yake. Naamini kuwa GG anamapungufu ktk kuendesha vipindi vya mahojiano lakini anaweza kuyarekebisha na akawa mzuri. Kuna sehem unafit kama kusoma habari nk. Its high time to GG to sythesize all what has been said and work with them. Waweza kuwa mzuri kwenye wazuri. Unaweza jifunza kwa mf wa Riz Khan.
 
Qualifhcation zinachangamoto zake! Binafsi mi mwewe si amini kuwa mtu anaweza kuwa mzuri kwa nyanja zote! Lazima kuna mahali utakuwa mzuri, mzuri sana, wa kawaida na mbaya sehemu flani! Kama kuna sehem unafiti, ng'ang'ania huko uwe the best!
 
Qualifhcation zinachangamoto zake! Binafsi mi mwewe si amini kuwa mtu anaweza kuwa mzuri kwa nyanja zote! Lazima kuna mahali utakuwa mzuri, mzuri sana, wa kawaida na mbaya sehemu flani! Kama kuna sehem unafiti, ng'ang'ania huko uwe the best!
 
Hakuna mwenye chuki binafsi hii ni cheap strategy ya watanzania msiopenda kuambiwa ukweli, sisi ndio watazamaji wa TV kwa nini utanakataa tunachokisema, ni bahati tu kwamba bado hatujaingia kwenye pay TV tusingelipia hizi TV ambazo watu wengine mnaziona ndio deal, tunachosema ni kwamba hana kipaji sasa chuki binafsi inatoka wapi wakati sisi hatuko ITV wala kuwania kazi yake, tunamwambia kumsaidia yeye na kituo chake kuangalia upya namna ya kuboresha delivery ya vipindi vyao, ebo!
hahahahaaaaa
 
Kashaula haya mmesema analazimisha fan! sasa kaenda kwenye fan yake
Watu wengi wanapenda sauti za kubembelezwa, GG sauti ya kiume .. sasa itatumika kutoa amri akiwa Mwenyekiti wa Kamati yaUlinzi na Usalama wilaya..... ONGERA SANA MTU WANGU WA MWANZA, NYAKATO BUZURUGA.
 
ndo kashakula shavu la ukuu wa wilaya, sasa sijui siasa nayo ni fani yake au ndo maisha na ridhiki hupangwa na Mungu
 
Back
Top Bottom