Mkuu Kigogo Upo.sasa inakuhusu nini...mambo ya kishamba hayo...mind your own business
Lo, umeongea vizuri! When did you post this msg? Hivi amesoma University gani? Nasikia eti ni Mhadhili Tumaini, ndio maana graduates wake Mh!Hakuna mwenye chuki binafsi hii ni cheap strategy ya watanzania msiopenda kuambiwa ukweli, sisi ndio watazamaji wa TV kwa nini utanakataa tunachokisema, ni bahati tu kwamba bado hatujaingia kwenye pay TV tusingelipia hizi TV ambazo watu wengine mnaziona ndio deal, tunachosema ni kwamba hana kipaji sasa chuki binafsi inatoka wapi wakati sisi hatuko ITV wala kuwania kazi yake, tunamwambia kumsaidia yeye na kituo chake kuangalia upya namna ya kuboresha delivery ya vipindi vyao, ebo!
Hapo pa red, NEVER! labda huko mbele isiyo karibu!Ndugu much as I respect maoni na mtazamo wako lakini sidhani kama vi vema uka-generalize kana kwamba kila mtu anaona na kufikiri unachokifikiri. What I mean is epuka kuweka pleuralism kwenye statement zako. Wewe semea moyo wako na si ya wengine
Binafsi nampa big up gondwe, anajitahidi sana. Wewe unasema amesoma kwenye shule za kata, so what? Nafahamu amesoma Tumaini-Iringa which is quite a good higher learning institution. Wewe uliyesoma Harvard au Oxford wapi kazi yako? wapi impact yako kwenye jamii? Sishangai ndio nyie mnaokuja na hoja kwamba fulani ni failure kaishia tu darasa la saba au form 4 hivyo hawezi kuongoza wakati mtu anadeliver.....
Ushauri wangu kwako ni kwamba ainisha mapungufu ya gongwe na ikiwezekana toa na maboresho au yeye kama yeye a-build kuanzia hapo otherwise THIS IS PURE CRAP NA UNA CHUKU BINAFSI juu ya mafanikio ya mwenzako
Chuo cha kata anachosema yeye, atwambie yeye kasoma chuo gani na kozi gani???Sijaona kama tatizo la Gondwe limefikia hali ya kulaumiwa kiasi hicho, na kusema analazimisha fani!
Ungekuwa wa msaada sana kama ungemtumia kama ushauri binafsi, na si kumlaumu.
Gondwe ni kijana msomi mzuri wa Saint Augustin University(Japo umesema kwa dharau kuwa ni mhitimu wa vyuo vya kata)ambaye anaweza kupokea maoni na kubadilika muda wowote...man be fair, give him a chance, na si kumkwamisha!
Jamani tuwe wa kweli, huyu kijana ana juhudi ya kazi na nasikia ni msomi wa hivi vyuo vyetu vya kata, lakini hana kipaji cha utangazaji jamani.
Anajaribu kuiga ma cow boy wa movie za kimarekani, kicheko chake ni very artficial he is a bad actor, hata kwenye lile tangazo la promotion alilovalishwa suti mpya, lakini bado kicheko kinachafua, halafu naomba Joyce japo husikilizagi la mtu, msimpange kwenye mahojiano hana technique mtu huyu, anaongea zaidi ya mgeni, hana uvumulivu hayuko organized maana anauliza kila kitu wakati mmoja na maswali yake sio maswali ni maelezo ya anachokijua yeye juu ya hilo swala, anaingilia mszungumzaji anauliza maswali mengi wakati mmoja na hajui kufuatilia kama lipi limejibiwa lipi halijajibiwa. Anawezakana ni mwanahabari mzuri lakini sio mtangazaji mzuri especially kwenye TV.
Kwa nini msimuache aka concentrate kwenye u MC wa BSS na taarifa ya habari? hata ninapoongea sasa yuko kwenye kipindi ch akumekucha anazoza yeye hata mzungumzaji hatujui kamuitia nini studio maana angeongea yeye tu
Worth reading!!Hapo pa red, NEVER! labda huko mbele isiyo karibu!
Ushauri mzuri mkuu!Ndugu much as I respect maoni na mtazamo wako lakini sidhani kama vi vema uka-generalize kana kwamba kila mtu anaona na kufikiri unachokifikiri. What I mean is epuka kuweka pleuralism kwenye statement zako. Wewe semea moyo wako na si ya wengine
Binafsi nampa big up gondwe, anajitahidi sana. Wewe unasema amesoma kwenye shule za kata, so what? Nafahamu amesoma Tumaini-Iringa which is quite a good higher learning institution. Wewe uliyesoma Harvard au Oxford wapi kazi yako? wapi impact yako kwenye jamii? Sishangai ndio nyie mnaokuja na hoja kwamba fulani ni failure kaishia tu darasa la saba au form 4 hivyo hawezi kuongoza wakati mtu anadeliver.....
Ushauri wangu kwako ni kwamba ainisha mapungufu ya gongwe na ikiwezekana toa na maboresho au yeye kama yeye a-build kuanzia hapo otherwise THIS IS PURE CRAP NA UNA CHUKU BINAFSI juu ya mafanikio ya mwenzako
It's so obvious and direct.....Jinsia ya mleta Mada ni MEMleta uzi ni KE au ME