watu wenye hoja nyepesi kawaida yao ndo hiyo! ka lema ni mwalifu na zombe anajua hilo alikuwa wapi kusema na hali alikuwa bosi mkubwa ndani ya jeshi la polisi?na bado atachizika sana make damu ya mtu sio kitu cha kawaida!we know that it is political consipiracy!