HOMOSAPIEN
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 745
- 271
Asemalo Zombe lina ukweli ndani yake,kwani alishakuwa RCO Arusha,kwa maana nyingine afisa mkubwa kabisa wa upelelezi Arusha,LAZIMA anajua anga za Lema au walishawahi kukutana kikazi somewhere asipuuzwe kabisa.Kwa mawazo yangu madogo nafikiri Lema kwa sababu ni mbunge anataka kumpandishia pua au kumuonesha Zombe naye anaweza kulipiza kisasi kisa cha kudai CDM ikiingia madarakani Zombe hawezi kupona ni nini,hawa wanajuana na Zombe anamjua Lema vilivyo yawezekana kweli ni MWIZI hata matendo yake mbona tunayatilia shaka?.