Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Lema mwongo kashindwa kupeleka watu mia moja kwa Babu Loliondo ataweza kusomesha wanafunzi 400.Lema yuko busy anamalizia kibanda chake Njirooooooooooo.Tunasubiri ahadi ya machinga complex na hospital tatu.
Kupeleka watu loliondo kwa babu haikuwa kwenye manifesto yake.
Kusomesha watoto kutoka familia zisizo na uwezo ilikuwa kwenye manifesto yake, kwahiyo si jambo la ajabu kutopeleka watu loliondo lakini akaweza kusomesha watoto!!
Kwani akijenga kibanda njiro ni nongwa?? ama ulitaka mshahara wake na malipo mengine afanyie nini, akakae kiti kirefu?
ArDF ndiyo inafanya kazi ya kukusanya fedha na kusomesha hao watoto, sasa usichoelewa hapo ni nini?