Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mkuu candid,...
samahani kidogo,me kisima nachotaka sio cha matumizi ya kawaida ya nyumbani ila ni kwa ajili
ya ufugaji na kilimo cha mboga mboga,...so
hicho kisima chako unaweza pata kama lita ngapi za maji kwa siku?
Napia,kupata maji mengi ni kina kirefu zaidi au inategemea sehemu pia kama kuna mkondo wa maji?
samahani kidogo,me kisima nachotaka sio cha matumizi ya kawaida ya nyumbani ila ni kwa ajili
ya ufugaji na kilimo cha mboga mboga,...so
hicho kisima chako unaweza pata kama lita ngapi za maji kwa siku?
Napia,kupata maji mengi ni kina kirefu zaidi au inategemea sehemu pia kama kuna mkondo wa maji?