IS it!They have said the situation currently is under their control!it is amazingly!!Mabomu bado yanaendelea kulipuka mpaka sasa hivi!
IS it!They have said the situation currently is under their control!it is amazingly!!
The situation is bad, kuna mabomu yameanguka Tabata na inasemekana hayaja lipuka!!!!
Ni kwamba mzee, karibu na shule ya Tusimee kuna bomu limeanguka usiku na inasemekana bado halijalipuka na watalilipua saa tisa, pia majumba sita inasemekana kuna kitu kama hicho.Hapa sijaelewa mkuu. I reside in Tabata ila sasa nipo ofisini, Hebu nieleweshe vizuri angalau nifanye kazi
Ni kwamba mzee, karibu na shule ya Tusimee kuna bomu limeanguka usiku na inasemekana bado halijalipuka na watalilipua saa tisa, pia majumba sita inasemekana kuna kitu kama hicho.
Kwa maelezo yaliyotolewa na mkazi wa gongolambota karibu na Camp (Mahojiano na Wapo Radio), alisema baada ya kama milipuko minne ya mwazo zilifika gari za Jeshi tatu zikiwa na takribani askari 50, alisema alimsikia kiongozi wa ule msafara akiongea kwa Radio call akimjulisha mkubwa wake kuwa pale camp hali ni mbaya sana sana ...lakini yule mkubwa akawa anasistiza wale askari waingie kule ndani ya Camp!!! Kijana anasema wale wote walikuja na yale magari hajatoka hata mmoja hao ni askari kutoka nje ya Camp....akaongeza kuwa milipuko ilipoaanza wapo watu walikimbilia kwenda kushangaa nini kimetokea nao hao pia hakuna aliye rudi sasa hiii ni mbali na wale askari waliokuwa wanaishi ndani ya camp......Idadi ya watanzania walikufa kwenye tukio hili itakuwa ni kubwa sana....wataficha tuu...haya mabomu yamefanya mafaa hata mbali kabisa na eneo hilo mpaka Pugu, chanika huko.....hali ni mbaya sana sana wasiundangaye Umma wa Watanzania!!!!
Mi wala sioni mantiki ya kubishana kuamini/kutoamini watu wangapi wamekufa...afe mmoja, wawili watatu, 17, 20, 32, 200 au 300..ukweli unabaki pale pale, kuna waTanzania wamekufa 'bila hatia' kwa uzembe wa viongozi pamoja na majeshi yetu!