Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

Kuna habari za kiintelijesia kuwa haya mabomu yamechochewa na Chadema... Uchunguzi zaidi unaendelea, eti wanataka nchi isitawalike ndio maana wamechochea mabomu ya lipuke.
 
Hivi na leo tena hakuna atakayewajibika au kuwajibishwa, kwa wanaokumbuka mwaka 2002 milipuko ile hakuna hatua zilichukuliwa, ikaja tena mwaka juzi, hakuna lolote, leo tena!!!

Watawajibika vipi kama hatuwajibishi? Watanzania tumepumbazwa na maneno, 'amani na utulivu', na tumedanganyika kweli maana sasa ujinga na upumbavu wetu wa kutokuwachukulia hatua viongozi na watendaji wanaposhindwa kutimiza majukumu yao, ndiyo vinatumaliza. Kwaajili hiyo, watanzania tutaendelea kuishi kwa wasiwasi na mateso, tukitegemea kupata ahueni labda huko mbinguni/ahera LAKINI kwa vile ujinga na upumbavu siyo sehemu ya utakatifu, hata hiyo mbingu/ahera hatutaiona.

Ee Baba utusamehe kwa kosa hili la kushindwa kutumia akili na nguvu zetu ilizotupatia ili zitusaidie kuishi kwa furaha kama wanadamu wengine. Angalia sasa watanzania wenzetu tuliowapa mamlaka watuongoze, wametugeukia hata hawajishughulishi kwaajili yetu bali nguvu zao wamezielekeza kwenye nafsi zao na kufurahia utawala badala ya kufurahia kututumikia sisi viumbe vyako. Utajalie ujasiri na hekima ili tujue nguvu na uwezo uliotupa kwaajili ya maisha yetu ya sasa na baadaye ili tuwaondoe wasiotenda kwa manufaa yetu, tuwaweke viongozi wenye uwezo wa kuwalinda, kuwalisha na kuwavisha wanyonge wote bila upendeleo.
 
IS it!They have said the situation currently is under their control!it is amazingly!!

Wewe bado huwa unasikiliza maneno yao? Usiwaamini hata kidogo. Rais mwaka 2009 alisema tukio kama lile la Mbagala halitatokea tena - limetokea au halijatokea?

Wananchi wa Gongo la Mboto, mrudi mtakapohakikisha na kushawishika wenyewe kuwa mambo yapo shwari, siyo kwa kuambiwa na kiongozi yeyote wa serikali hii. Mkiwasikiliza, kama tulipoteza 32 jana, tunaweza kupoteza wengine ambao wamenusurika.

Never trust any statement from this government, never.
 
It wont step down by us writting here! If Those Egyptians were complaining only in Forums, Mubarak would not have gone. We need to act. if anything I will be in the front line. Sijui mnataka tuanzeje? Mwenye wazo jamani!
Hatuwezi kukaa na uongozi umeshindwa kutatua suala la umeme
Hatuwezi kukaa na viongozi mafisadi
Hatuwezi kukaa na viongozi wasio jali uhai wetu (mabomu mbagala na gomz)
Hatuwezi kukaa na viongozi wanaosababisha uchumi kudorora
hatuwezi kukaa na viongozi wanao.....

Acha kupotosha watu.
Kaandamane mwenyewe, hatuna muda wa kupoteza kwenye mambo ya kipuuzi.
Matatizo hayaondoki kwa kuandamana. Wacha serikali ifanye kazi katika kipindi hiki kigumu.
Siyo kuiongezea mzigo wa maandamano ya kijinga.
 
go14.jpg


go9.jpg


Ni full kuunga mkono azimio kwa wakazi wa Gongo la mboto na vitongoji jirani kama inavyoonekana kwenye picha (hisani ya Fullshangwe)
 

Attachments

  • go14.jpg
    go14.jpg
    48 KB · Views: 60
Kuna habari za kiintelijesia kuwa haya mabomu yamechochewa na Chadema... Uchunguzi zaidi unaendelea, eti wanataka nchi isitawalike ndio maana wamechochea mabomu ya lipuke.


Inaelekea wewe huna akili sawasawa!! Makamba design??? Uzemembe wa jeshi na serikali unasema CDM!!
 
So sad! I am confused and speechless, I can sense what is happening there!

I hate those who are talking and forcing some leaders to resign because they wont do so, I will love and support those who will demonstrate for that leaders must resign! guys lets fight for our real freedom, kubinya binya keyboard wont help anything, I know someone will say 'anza wewe' the question here is how many are thinking the same and are ready for this peaceful demo??

nafikiri tuwe serious sasa..
nilishasema tuset tarehe, tukutane mnazi mmoja na si kuandamana.. tukufika pale kilamtu anyanyue bendera nyeupe na mabango yetu
 
Acha kupotosha watu.
Kaandamane mwenyewe, hatuna muda wa kupoteza kwenye mambo ya kipuuzi.
Matatizo hayaondoki kwa kuandamana. Wacha serikali ifanye kazi katika kipindi hiki kigumu.
Siyo kuiongezea mzigo wa maandamano ya kijinga.

khaaa kuna watanzania kweli kabisa wanaamini matatizo, umaskini , shida, vifo vya kizembe NI HAKI YAO
 
Acha kupotosha watu.
Kaandamane mwenyewe, hatuna muda wa kupoteza kwenye mambo ya kipuuzi.
Matatizo hayaondoki kwa kuandamana. Wacha serikali ifanye kazi katika kipindi hiki kigumu.
Siyo kuiongezea mzigo wa maandamano ya kijinga.

Sadist.
 
Acha kupotosha watu.
Kaandamane mwenyewe, hatuna muda wa kupoteza kwenye mambo ya kipuuzi.
Matatizo hayaondoki kwa kuandamana. Wacha serikali ifanye kazi katika kipindi hiki kigumu.
Siyo kuiongezea mzigo wa maandamano ya kijinga.



wewe kishongo ndiyo topical .... huu ndio muda wenu wa kuwa wehu ..... sijui mpo nchi gani ..... topical amekula ban
 
Duu! yaani hizo picha ukizitazama utasema tuko Congo au Burundi.
Inasikitisha na inatia simanzi kupita maelezo. Hii nchi inaelekea wapi?
 
Inaeleweka wazi, kama waswahili wasemavyo kuwa 'kila kinachoteguliwa msingi wake huwa ni kutegwa' sasa inakuwaje walete wataalam wa kutegua mabomu? Wanataka tuamini kuwa yalitegwa na sasa yamelipuka?! Teh! Teh! Natania bwana, sipo serias ktk hili, nataka japo tufurah pamoja coz mpaka sasa panya wapatao 73 wametoroka Chuo cha kilimo Tumbi baada ya kupangiwa FIELD Gongo la mboto kwa ajili ya kutegua mabomu! Mmefurahi hao teh! NATUMIA FURSA HII KUTOA POLE KWA WAHANGA WA MLIPUKO WA MABOMU GONGO LA MBOTO, KWA MAREHEMU WOTE MOLA AWALAZE PEMA!
 
UNICEF, Red Cross and Ustawi wa jamii are at the National stadium helping victims of the Bomb blast. They need food, clothes,etc Please go and help call Julius Kejo 0784 571888 who is on the ground coordinating. Also some of the critically injured victims at Muhimbili need blood, please play your part and give what you can! Thanks you.
Jamani tuache masiala, Damu inahitajika, Mavazi na chakula. Wahanga ni wengi sana, Plz Tanzanians people wenzetu wanahitaji msaada mkubwa sana.
/QUOTE]


Jamani jamani tuwe serious!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
UNICEF, Red Cross and Ustawi wa jamii are at the National stadium helping victims of the Bomb blast. They need food, clothes,etc Please go and help call Julius Kejo 0784 571888 who is on the ground coordinating. Also some of the critically injured victims at Muhimbili need blood, please play your part and give what you can! Thanks you.
Jamani tuache masiala, Damu inahitajika, Mavazi na chakula. Wahanga ni wengi sana, Plz Tanzanians people wenzetu wanahitaji msaada mkubwa sana.
/QUOTE]


Jamani jamani tuwe serious!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kuna watu wengine nilipowaambia zinahitajika fedha waliniona mpuuzi mpaka umoja wa mataifa waseme sijui anyway safi mkuu tuko pamoja katika hilo
 
Back
Top Bottom