Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
wanaume wa tanzania ni wanafiki kwa kila kitu....hii nchi haitokaa iendelee hadi wanaume wote watoke madarakani....yanajivalia tu suti kichwani wizi mtupu
Mbona hapo 'Gender' imebalance....Zitto na Ole Sendeka vs Sara Msafiri na Anne Kilango! Hili si tatizo la jinsia fulani, waume kwa wake...waTanzania wengi wezi! We angalia mtu akichaguliwa/teuliwa kushika nafasi ya uongozi...magazeti yaandika ' Fulani Kaula'...Kaula nini rtumemkabidhi majukumu mazito? Lakini kwa sababu mentality yetu ni 'wizi mtupu' tunaona mtu sasa 'kaula' kwani kapata nafasi ya kuiba aka 'kula'!