Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,681
- 27,007
Wewe park bus kama mbwa koko aliyeficha mkia wake, sisi hiyo sio falsafa yetu.wazee wa kumiliki mpira, ila wanakandwa
Mwisho wa yote si mmetoka lakini?
Wewe park bus kama mbwa koko aliyeficha mkia wake, sisi hiyo sio falsafa yetu.wazee wa kumiliki mpira, ila wanakandwa
Tutapindua meza kibabe sisi wanasimbaaaaGemu baaaado...!
Alafu sio watanzania tu, hata wasouth na toka mataifa mengine. Ona hawa.wapi tumekandwa kote tumeshikilia bomba hadi refa kaingilia kati kuwaokoa watoto wa motsepe
nenda page ya caf ista uone watu wanavyo lalamika huko
Usinikumbushe yule fala kaniuzi leo, alikuwa anapiga penalty haraka haraka awahi kushikilia zigo la caren simbaaziz anafunga kwa ugumu, eti laini anakosaaa, uchuro huu.
mrudi makwenu na mabegi yenu ya magoli mkuu..Kesho unayoizungumzia ni ipi mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣 kabisa mtawapiga 5 mtaniTutapindua meza kibabe sisi wanasimbaaaa
tumetolewa kwa utashi wa refa sio uwezo wa mpinzaniWewe park bus kama mbwa koko aliyeficha mkia wake, sisi hiyo sio falsafa yetu.
Mwisho wa yote si mmetoka lakini?
Kwa mlegezo nakubali Ayoub hamfikii Diarrakabisa sema hawezi mfikia diara
Umetoka acha mbwembwe. Umetoka ni umetoka. In short UMETOKA hata simba ikifungwa haipunguzi lolote.tumetolewa kwa utashi wa refa sio uwezo wa mpinzani
wewe umetolewa kwa uwezo wa mpinzani kakukanda nje ndani
yanga hawezi ruhusu iyo fedheha
huko mitandaoni mataifa yanashangaa mambo yaliyo tokeaAlafu sio watanzania tu, hata wasouth na toka mataifa mengine. Ona hawa.
View attachment 2955050
uduguu em huko bhana.Usinikumbushe yule fala kaniuzi leo, alikuwa anapiga penalty haraka haraka awahi kushikilia zigo la
🤣🤣🤣🤣🤣 Mi nawaza kesho sura yangu nitaiweka wapi?? Sema ntajifichia kwenye mwamvuli wa simba😂😂😂
Maumivu ya Leo ni insomnia tosha..!🙌
ajaruhusu bao michezo miwili kipa wako kaokota 2 hadi sasaKwa mlegezo nakubali Ayoub hamfikii Diarra View attachment 2955051
Mlikuwa na second chance ya kuwafanya mpite lakini mmeshindwa kuitumiawapi tumekandwa kote tumeshikilia bomba hadi refa kaingilia kati kuwaokoa watoto wa motsepe
nenda page ya caf ista uone watu wanavyo lalamika huko
falsafa ya nyoooooo.....!!Wewe park bus kama mbwa koko aliyeficha mkia wake, sisi hiyo sio falsafa yetu.
Mwisho wa yote si mmetoka lakini?