Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,208
Hakuna kulala kanyaga twende.
usisahau kam mchango ketu ka m4c ni elfu tano hadi kumi pia tshert,magwanda ya rangi zote .kofia pia yeboyebo za m4c
Hakuna kulala kanyaga twende.
Wanajua tushawapa dole la katiMagamba wanajinyea nyea tu...
Kumbe akili yako inadaka matusi kuliko mam o ya maana. Unashabikia watu wanaopenda mambo ya Sodoma na Gomora? Mtu mstaarabu anatakiwa ayakemee kwa nguvu zote.labda angekuweko Zitto ndio wakazi wa Dodoma tungeshtuka kwani yeye sio msema hovyo anakwenda kwa data lakini hawa wengine ni sawa na msemo wa Mbunge wa Magomeni mahammud Chomboh
"ILI SINDANO ISHONE NI LAZIMA IINGIZIWE UZI KWA NYUMA NA TENA TARAAAAATIBU"
sawa taarabu kutoka kwa halima mdee na kamanda lisu itakuwepo ila kama ilivyo ada kiingilio chetu ni kile kile buku tano hadi kumi
Sasa huko ndio kutikisa?
Watu wameisha washitukia wachezeshaji wa karata tatu
Unadharau sana wanawake eeh?
Ulizaliwa na nani mwenzetu?
vp kuhusu zito?hatakuwepo?
Naibu Katibu Mkuu ni kiongozi mwandamizi hivyo lazima awepo.
labda angekuweko Zitto ndio wakazi wa Dodoma tungeshtuka kwani yeye sio msema hovyo anakwenda kwa data lakini hawa wengine ni sawa na msemo wa Mbunge wa Magomeni mahammud Chomboh
"ILI SINDANO ISHONE NI LAZIMA IINGIZIWE UZI KWA NYUMA NA TENA TARAAAAATIBU"
Sasa huko ndio kutikisa?
Watu wameisha washitukia wachezeshaji wa karata tatu
Wanajua tushawapa dole la kati
Ni vyema hata ikiwa hivyo kwani hata BABA WA TAIFA enzi zile za TANU akipambania ukombozi wa kwanza wa TAIFA 1959 & 1960 alikuwa akichangiwa thumni thumni.
Mkuu mbona unawashwa sana wewe! Naona Lumumba imekutuma uongelee kiingilio tu!kumuona slaa buku ten tu