Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,208
Unajua kama Mwenyekiti wa Chama na Mwenyekiti wanaelewana hivi huwa CCM wanapata maumivu mabaya sana.
hizi shahada za india.sasa hapa umeandika nini? dogo
Unajua kama Mwenyekiti wa Chama na Mwenyekiti wanaelewana hivi huwa CCM wanapata maumivu mabaya sana.
Hapa umechangia? si bora ungesoma kisha usepe?
Mkuu ya kwako ya chuo gani?hizi shahada za india.sasa hapa umeandika nini? dogo
Mkuu Molemo asante kwa taarifa pia shukurani kwa kuzingatia itifaki! Najua unajua nasema nini!
Siku hizi naona unatoa taarifa za chama vipi Mnyika na Tumaini Makene mbona kimya hawaenezi? Mkuu Molemo nawe ni mwandamizi au uko karibu na mwandamizi manake unapata taarifa muhimu.
Sasa huko ndio kutikisa?
Watu wameisha washitukia wachezeshaji wa karata tatu
kwani bado ni mwaka 1959.ruzuku mnafanyia biashara tu
Unajua kama Mwenyekiti wa Chama na Mwenyekiti wanaelewana hivi huwa CCM wanapata maumivu mabaya sana.
Ni vyema hata ikiwa hivyo kwani hata BABA WA TAIFA enzi zile za TANU akipambania ukombozi wa kwanza wa TAIFA 1959 & 1960 alikuwa akichangiwa thumni thumni.
Mkuu mbona unawashwa sana wewe! Naona Lumumba imekutuma uongelee kiingilio tu!
Hivi wanawalipa kiasi gani vile
Vipi unhamia lini Moshi manake nakuona unajitahidi kadri ya uwezo wako uonekane Chadema ndani ya CCM.Hili la majimbo linawatesa sana ccm.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
No hatakuwepo 120% guarantee!vp kuhusu zito?hatakuwepo?
Yeah kwa sababu katibu kakubali masharti yote na mwenyekiti hana choice kwa sababu ukiacha Dr anayefuata ni Zitto hapo sasa...Unajua kama Mwenyekiti wa Chama na Mwenyekiti wanaelewana hivi huwa CCM wanapata maumivu mabaya sana.
Unadharau sana wanawake eeh?
Ulizaliwa na nani mwenzetu?
Yeah kwa sababu katibu kakubali masharti yote na mwenyekiti hana choice kwa sababu ukiacha Dr anayefuata ni Zitto hapo sasa...
Kaka umepata kidogo nini? Sasa umeandika nini hapa au umechanganyika baada ya Sumu ya kumuua zitto kudakwa.
Kuwa makini zito anatoka kigoma na kwao ameaga sijui kama umeaga kwenu?
Mkuu Kimbunga Asante kwa shukrani.Naona unanipachika cheo kisicho changu na labda nisichostahili kabisa.
Siku zote ninaamini JF ni source of information.Kwahiyo katika pitapita zangu nikikuta habari ninayoamini ni muhimu kwa wanajamvi ninatoa pasinashaka....
Hajasema unawadharau ila hiyo ID imemchanganya akadhani wewe una jinsia ya kike....akaona unawadhalilisha wanawake (yaani wewe unawafanya wadharaulike) sie yeye!
Tumia ile ID ya Chris Lukosi!