fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Wakuu mkisikia uzinzi ulotukuka na tamaa mbaya ndio huu, yaani ushaanza kutamani kimwanafunzi, kwanza uache uonge kama kako f3 wewe unaweza kweli kukasubiri miaka zaidi ya 4 kweli :A S 13: mkuu unaelekea kubaya usikaharibie maisha katoto ka wenzio tafuta wa umri wako.....
UMEKURUPUKA wewe, ulipaswa kumwelewa mwenzako kisha umpatie majibu..