Form 3

Wakuu mkisikia uzinzi ulotukuka na tamaa mbaya ndio huu, yaani ushaanza kutamani kimwanafunzi, kwanza uache uonge kama kako f3 wewe unaweza kweli kukasubiri miaka zaidi ya 4 kweli :A S 13: mkuu unaelekea kubaya usikaharibie maisha katoto ka wenzio tafuta wa umri wako.....

UMEKURUPUKA wewe, ulipaswa kumwelewa mwenzako kisha umpatie majibu..
 
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!



Pole Mentor...we songa mbele na maisha Kaka.... kimeo ni kwamba dogo bado yuko kwenye foolish age na bado anasafari ndefu ya kukutana na mambo kibao hapo alipo O level ...bado A level...chuoni ndo kabisaaaaaaa umempoteza ... (move on bro). Itaku cost na utakuwa umepoteza sana muda wako.. Nawasilisha
 
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!

Hapo kwenye red umeanza vibaya kwa kuwa na defensive mechanism. Ila mi naona anaweza asiwe wako moja kwa moja. Kwanza hujatuonesha how far amekukubali mbali na wewe kutaka KUMFATAKI. Pili huyo mtoto hajawa na maamuzi ya kiutu uzima na wewe pengine ulitakiwa utuambie miaka yako na yake, kwa maana kwamba akiwa huko shule anaweza kupata chaguo lake na si la kaka ya rafiki yake,
TUWAACHE WATOTO WA KIKE WASOME NDUGU YANGU.
 
Pole Mentor...we songa mbele na maisha Kaka.... kimeo ni kwamba dogo bado yuko kwenye foolish age na bado anasafari ndefu ya kukutana na mambo kibao hapo alipo O level ...bado A level...chuoni ndo kabisaaaaaaa umempoteza ... (move on bro). Itaku cost na utakuwa umepoteza sana muda wako.. Nawasilisha

Duh, asante for your discouraging encouragement...time will tell my dia, ama!??
 
Hapo kwenye red umeanza vibaya kwa kuwa na defensive mechanism. Ila mi naona anaweza asiwe wako moja kwa moja. Kwanza hujatuonesha how far amekukubali mbali na wewe kutaka KUMFATAKI. Pili huyo mtoto hajawa na maamuzi ya kiutu uzima na wewe pengine ulitakiwa utuambie miaka yako na yake, kwa maana kwamba akiwa huko shule anaweza kupata chaguo lake na si la kaka ya rafiki yake,
TUWAACHE WATOTO WA KIKE WASOME NDUGU YANGU.

Defense mechanism sometimes inasaidia...lol!
well, soma posts zilizopita kwanza ndo utajua nia yangu kwa huyu binti ikoje!!
 
Ina wezekana sana tumewaona wengi tu na wamewasubiri wapenzi wao na wanaishi kwa upendo mpaka leo. matatizo yakikupata ni mipango tu ya maisha uliyopangiwa kuyapitia. umri si kigezo kaka angu ila jiandae kwenda kumsubiri bilcanas huku wewe kipindi hicho unasinzia na kukoroma pembeni ya speaker


HAHAHAHA ..... nakubaliana na wewe kabisa KATIKA SWALA LA UMRI lakini tatizo amwita jamaa MJOMBA
 
Maajabu ya ulimwengu,yani frm uncle 2 mpenzi...!!ebu muache dogo apige shule kwa amani bwana,we tafuta wazee wenzio 2.
 
Mwambie ajue waweza fika wakati wa kuambiwa akakwambia mi nalikuwa nakuheshimu kama kaka yangu, au ukakuta umechelewa wenzako walishamwambia siku nyiiiiiingi, ukishamwambia usimharibu sasa muelekeze katika njia iliyo nzuri aje kuwa mke bora
Me nilimwambia wangu mapema toka 2001 akiwa form 4 na ndo nimemuoa/tumeoana mwaka huu! Mwambie tu mkuu ili ajue mapema kama ni kukumwaga au kukubali akwambie mapema...
 
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
haki elimu itakusu
 
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!To the point:Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
dah mentor hapo umechemka, mpaka amalize form 6 wamaume wengine watakuwa wanasubiri nini? Au utamfunga mgomba?usisahau ukimwambia sa hivi umechemka koz utamfanya mtoto wa wa2 adate mwisho wa siku afeli, pia itakuwa hatari kwako.
 
dah mentor hapo umechemka, mpaka amalize form 6 wamaume wengine watakuwa wanasubiri nini? Au utamfunga mgomba?usisahau ukimwambia sa hivi umechemka koz utamfanya mtoto wa wa2 adate mwisho wa siku afeli, pia itakuwa hatari kwako.
mkuu hilo pozi la huyo sokwe wako bana, ananipa mzuka wa mtandao wetu wa bei nafuu, 071......!!
 
Kupenda bwana ni ki2 kingine kabisa.sikushangai kwa kudata na huyo binti.Ila sikupi ushauri wa kumwambia sasa kwani atachanganyikiwa kiskul kwani wachache wanaoweza kubalance 2 thngs at ze sem time,pia kwa umri wako hamna ubaya kuja kuwa nae,lakini co kwa sasa. Pia kusubiri nako akampata mtu hasa akifika ktk level ya advance hapa wengi wanadatishwa,kwahiyo vuta subra kama kweli unampenda na endelea kuwa karibu nae kikawaida ujue anavyoendelea kitabia,hapo baadae hata akifika chuo unamtel,kwani muda uliobaki mwingi kimtazamo lkm pia co mwingi kimalengo!I THINK U GAT ME'
 

HAHAHAHA ..... nakubaliana na wewe kabisa KATIKA SWALA LA UMRI lakini tatizo amwita jamaa MJOMBA


Jamani, huu ujomba kauanzisha yeye na mdogo wangu...hauna any blood ties!!!!
 
Vyovyote vile, katoto utakachanganya.

ndo maana niko tayari kusubiri...hitaji langu lilitaka kujua kama ni jambo la maana ama napoteza muda plus kama kuna m2 mwenye ka-experince kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom