Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Najua mtanicriticize ila ndo hivyo imetokea....
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!
Habari zenu kwanza...poleni na hali ngumu ya maisha ndugu zanguni!
To the point:
Ni binti wa kidato cha tatu...kwa tabia na sifa na maumbile anaonekana atakuwa kitu kikali sana...!
Kwa umri kweli ukilinganisha na mimi (working, nakaribia two yrs cnc graduation..) ni mdogo..
ila nahisi kama huyu binti atanifaa kuwa mke wangu kwa kweli. niko radhi kusubiri (na sijamwambia lolote!) but tu marafiki sana..kwa sababu ya my young sista. so ye huniita Mjomba since my sis is (was...she jus cleared form6) her school mum!
Wakuu ebu niambieni...kuna possibility apo ama niendelee tu na maisha!??
sina mpango mbaya na yeye..na nadhani hata reputation yangu hapa JF inanisupport!
Could I chill for her labda mpaka amalize form 6 walau nimwambie au nitafute tu mwingine!??
Kazi njema na ninatanguliza shukrani..!